hapo hamna kitu. kile ulicho kilenga hutokipata Bora ungeanza diploma ya clinical medicine tuHabari ndugu zangu wana Jf, naombeni mwenye ufahamu kuhusu kozi ya microbiology na kpzi molecular biology and biotechnology anisaidie kunielezea baada ya kuhitimu wanafanya kazi gani hasa? uwezekano wa kupata kazi au kujiajiri kwa hapa Tanzania upoje
Sio wote wanandoto ya kufanya kazi kama Health Provider au kuhusika moja kwa moja na mgonjwa!! Huenda hata vigezo vya kusoma hiyo CM hana, kaona huko ndio anafit au ndio mapenzi yake yalipo ndio maana hakuhoji hata Kati ya hizo Programme na CM ipi nzuri!!hapo hamna kitu. kile ulicho kilenga hutokipata Bora ungeanza diploma ya clinical medicine tu
nawaelewa akili zao wote, sio kwamba huwa wanapenda kujiunga na hizo programme. Ukweli ni kwamba hawa vijana hujiunga na hizo programme mara baada ya kushindwa kuchaguliwa hizo nursing, medicine na pharmacy. Full stopSio wote wanandoto ya kufanya kazi kama Health Provider au kuhusika moja kwa moja na mgonjwa!! Huenda hata vigezo vya kusoma hiyo CM hana, kaona huko ndio anafit au ndio mapenzi yake yalipo ndio maana hakuhoji hata Kati ya hizo Programme na CM ipi nzuri!!
Kwangu zote ni Programme nzuri ila jiandae kwa lolote baada ya chuo!!!
AU KASOME Bsc. Education utapata maisha tuhapo hamna kitu. kile ulicho kilenga hutokipata Bora ungeanza diploma ya clinical medicine tu
Microbiology Ina deal na microorganism kwenye maeneo makuu mawili:Habari ndugu zangu wana Jf,
Naombeni mwenye ufahamu kuhusu kozi ya microbiology na kpzi molecular biology and biotechnology anisaidie kunielezea baada ya kuhitimu wanafanya kazi gani hasa? uwezekano wa kupata kazi au kujiajiri kwa hapa Tanzania upoje
Kwa kifupi sasa kwa Tanzania hapa wanafanya kazi wapi?Microbiology Ina deal na microorganism kwenye maeneo makuu mawili:
Medical microobiology study microorganism of medical importance those which are responsible for causing diseases such Salmonella typhi cause Tuberclosis
Haemophilius influenza, Vibrio cholera, to mention few
Here you will study how to isolate, culture these microorganism and identify them in laboratory.
Application/industrial microbiology: it deal with the study of use microorganism to produce different things
Production of alcohol drinks such as beers , clean of environment use microorganism such Biotreatment of water
Biotechnology simply application of biology in production :
Medical Biotechnology: use of biology to treat different diseases such as cancer, genetic therapy,stem cell technology
Industrial bitechonolgy it deal with production of wine, cheese, coffee, cocoa, paper ,bioethanol, biodesel and many other product.
Environmental biotechnology: Biotreatment,use of microorganism to clean environment, biosensor.
Blue biotechnolgy: use of biotechnology in acquatic science. However this field is still in research.
Ipi uchague kati ya Microbiology na biotechnology, zote ni sawa na wanafanya kazi sawa kabisa tofauti ni units wanazosoma.
Maeneo mengi tuUm
Kwa kifupi sasa kwa Tanzania hapa wanafanya kazi wapi?
Unaona sasa, mambo yalivyo magumu,Maeneo mengi tu
Nimr( National institute for medical research)
Tari ( Tanzania agriculture research institute)
National Health laboratory
Tanzania veterinary laboratory agency
Government chemist laboratory authority.
Taliri ( Tanzania livestock research institute)
Tawiri( Tanzania wildlife research institute)
Salmonella typhi cause Tuberculosis!?? Mwamba hapa umetupiga FIX!!!Microbiology Ina deal na microorganism kwenye maeneo makuu mawili:
Medical microobiology study microorganism of medical importance those which are responsible for causing diseases such Salmonella typhi cause Tuberclosis
Haemophilius influenza, Vibrio cholera, to mention few
Here you will study how to isolate, culture these microorganism and identify them in laboratory.
Application/industrial microbiology: it deal with the study of use microorganism to produce different things
Production of alcohol drinks such as beers , clean of environment use microorganism such Biotreatment of water
Biotechnology simply application of biology in production :
Medical Biotechnology: use of biology to treat different diseases such as cancer, genetic therapy,stem cell technology
Industrial bitechonolgy it deal with production of wine, cheese, coffee, cocoa, paper ,bioethanol, biodesel and many other product.
Environmental biotechnology: Biotreatment,use of microorganism to clean environment, biosensor.
Blue biotechnolgy: use of biotechnology in acquatic science. However this field is still in research.
Ipi uchague kati ya Microbiology na biotechnology, zote ni sawa na wanafanya kazi sawa kabisa tofauti ni units wanazosoma.
Yes sorry nilikosea Mycobacterium tuberculosis cause Tuberculosis and Salmonella typhi cause Typhoid.Salmonella typhi cause Tuberculosis!?? Mwamba hapa umetupiga FIX!!!
Molecular biology wanafanya kazi kwenye medical lab tu sanasana issue za viral mf mdh nk ambao wanadeal na kupima viral load kutoka kwenye hiv+ specimens, Biotechnology anaweza fanya kazi kwenye viwanda cha kusindika vyakula nkHabari ndugu zangu wana Jf,
Naombeni mwenye ufahamu kuhusu kozi ya microbiology na kpzi molecular biology and biotechnology anisaidie kunielezea baada ya kuhitimu wanafanya kazi gani hasa? uwezekano wa kupata kazi au kujiajiri kwa hapa Tanzania upoje
Molecular biology is wide field it is applicable in all areas of biology: human being, agriculture, animal. The central are of molecular biology is transcribed DNA into RNA and translate it to protein.Molecular biology wanafanya kazi kwenye medical lab tu sanasana issue za viral mf mdh nk ambao wanadeal na kupima viral load kutoka kwenye hiv+ specimens, Biotechnology anaweza fanya kazi kwenye viwanda cha kusindika vyakula nk
Hao microbiologists wanafanya kazi kwenye medical lab pia kitengo cha microbiology ...
Naona nzuri zaidi ni bach of molecular biology ndio biotechnology
Bila kusahau molecular biology unaeza fundisha watu Wa MD biochemistry ref. Dr Thomas Marandu yupo udsm department ya biochemistry college ya afya ila pigs msuli mneneMolecular biology wanafanya kazi kwenye medical lab tu sanasana issue za viral mf mdh nk ambao wanadeal na kupima viral load kutoka kwenye hiv+ specimens, Biotechnology anaweza fanya kazi kwenye viwanda cha kusindika vyakula nk
Hao microbiologists wanafanya kazi kwenye medical lab pia kitengo cha microbiology ...
Naona nzuri zaidi ni bach of molecular biology ndio biotechnology