Pre crime technology ni nini?

Pastory Kimaryo

JF-Expert Member
Jan 16, 2018
967
664
Habarini wana tech JF, katika pita pita zangu za kuwatch movie na nini, nikakutana na movie(sikuweza kulijua jina lake) inahusisha maswala ya pre crime technology ambayo kwa humo ndani police wanatumia science fulan kuzuia crimes kabla hazijatokea ni kama kuna namna kuna watu wanaprophesy next coming crimes na kuzizuia, nikajaribu kugoogle hiyo technology basis ya utendaji kazi wake upoje sikupata jibu la kueleweka. Naomba nieleweshwe kama kuna mtu anajua coz pia nilivyogoogle nikaona kwamba hiyo technology ni real na inatumika huko Marekani.

Naomba kuwasilisha!
 
Simply police wanafanya mass surveillance, wana track activities za watu katika mitandao ya kijamii na katika mitaa kupitia CCTV cameras.

Kwa njia hiyo ni rahisi kuweza ku predict uhalifu kabla haujatokea na kuweza ku arrest wahalifu kabla hawajatenda kosa.

Mfano kikundi fulani kinajadili mpango wao wa kuvamia bank flani na police wakaweza kuwa track mazungumzo yao ni rahisi kuwathibiti kabla ya kutekeleza mpango wao.

Downside ya hii kitu ni kuwa privacy ya watu inakuwa haipo na ndio jambo ambalo lilimfanya Snowden akavujisha taarifa za siri kuhusu mass surveillance ya NSA 2013 huko US.
 
Simply police wanafanya mass surveillance, wana track activities za watu katika mitandao ya kijamii na katika mitaa kupitia CCTV cameras.

Kwa njia hiyo ni rahisi kuweza ku predict uhalifu kabla haujatokea na kuweza ku arrest wahalifu kabla hawajatenda kosa.

Mfano kikundi fulani kinajadili mpango wao wa kuvamia bank flani na police wakaweza kuwa track mazungumzo yao ni rahisi kuwathibiti kabla ya kutekeleza mpango wao.

Downside ya hii kitu ni kuwa privacy ya watu inakuwa haipo na ndio jambo ambalo lilimfanya Snowden akavujisha taarifa za siri kuhusu mass surveillance ya NSA 2013 huko US.
Oh okay, lakin ile movie unaipata?
 
Kwenye hiyo movie ndio kuna chemba wamewakamata watu watatu wamewadeep kwenye pool flan hiv ya liquid flan wameconnect bongo zao na mitambo yao then yupo mmoja huyo anatabiri, ila plot yenyewe ni mwaka 2045 future kinoma, smart cities mtupu, matech tu. Ila mass surveillance ndio hamna labda walitumia tu hiyo term "pre crime" kumaanisha prevention of crimes ambazo actually zina probability kubwa ya kutokea.
Star mwenyewe ni jamaa mmoja aliye-star series ya "the tomorrow people" sijui wanamuitaje, kafanana na Christian Ronaldo
 
Kwenye hiyo movie ndio kuna chemba wamewakamata watu watatu wamewadeep kwenye pool flan hiv ya liquid flan wameconnect bongo zao na mitambo yao then yupo mmoja huyo anatabiri, ila plot yenyewe ni mwaka 2045 future kinoma, smart cities mtupu, matech tu. Ila mass surveillance ndio hamna labda walitumia tu hiyo term "pre crime" kumaanisha prevention of crimes ambazo actually zina probability kubwa ya kutokea.
Star mwenyewe ni jamaa mmoja aliye-star series ya "the tomorrow people" sijui wanamuitaje, kafanana na Christian Ronaldo
Okay hizo ni science fictions (sci-fi) tu ila in reality ni kama nilivyokueleza hapo juu.
 
Habarini wana tech JF, katika pita pita zangu za kuwatch movie na nini, nikakutana na movie(sikuweza kulijua jina lake) inahusisha maswala ya pre crime technology ambayo kwa humo ndani police wanatumia science fulan kuzuia crimes kabla hazijatokea ni kama kuna namna kuna watu wanaprophesy next coming crimes na kuzizuia, nikajaribu kugoogle hiyo technology basis ya utendaji kazi wake upoje sikupata jibu la kueleweka. Naomba nieleweshwe kama kuna mtu anajua coz pia nilivyogoogle nikaona kwamba hiyo technology ni real na inatumika huko Marekani.

Naomba kuwasilisha!
Mambo ya science fiction hayo.

Ila kwa kifupi ni kwamba Pentagon walikuwa na hiyo project na uenda bado ipo ambapo wanafanya survellance, wanaiba data wanafuatilia watu wanachopost na kufanya kwenye social media kutokana na hizo data mfumo unaweza otea nani ni criminal na nani anaelekea kutenda uovu. Kupitia data wanaweza kujua tabia za watu.
 
Mambo ya science fiction hayo.

Ila kwa kifupi ni kwamba Pentagon walikuwa na hiyo project na uenda bado ipo ambapo wanafanya survellance, wanaiba data wanafuatilia watu wanachopost na kufanya kwenye social media kutokana na hizo data mfumo unaweza otea nani ni criminal na nani anaelekea kutenda uovu. Kupitia data wanaweza kujua tabia za watu.
Hapo nimekupata
 
Habarini wana tech JF, katika pita pita zangu za kuwatch movie na nini, nikakutana na movie(sikuweza kulijua jina lake) inahusisha maswala ya pre crime technology ambayo kwa humo ndani police wanatumia science fulan kuzuia crimes kabla hazijatokea ni kama kuna namna kuna watu wanaprophesy next coming crimes na kuzizuia, nikajaribu kugoogle hiyo technology basis ya utendaji kazi wake upoje sikupata jibu la kueleweka. Naomba nieleweshwe kama kuna mtu anajua coz pia nilivyogoogle nikaona kwamba hiyo technology ni real na inatumika huko Marekani.

Naomba kuwasilisha!
Kwa mfano, unaingiza taarifa za "past crimes" za jiji la Dar es Salaam kwenye software fulani ya ku-predict crime tuseme inaitwa "Crime Prediction Software", halafu inakuonyesha kuwa wakati wa Chrismas, sehemu inayoongoza kwa crime kwa mfano, tuseme ni Mwananyamala Sokoni. Polisi wanachofanya ni kuhakikisha kuwa Mwananyamala Sokoni ndiyo ina Patrol kubwa zaidi wakati wa Chrismas. Christmas ijayo tena wanafeed information na kuona eneo lipi ambalo linaongoiza kwa crime. Hii ndiyo pre-crime technology, ambayo wakati mwingine hata uzoefu tu unaweza ukatumika pale ambapo hakuna software, kwa sababu mara nyingi askari wenyewe wanakuwa wanajua ni maeneo gani korofi. HIi kazi nilikuwa naitamani ila basi tu tulikwepana!
 
Habarini wana tech JF, katika pita pita zangu za kuwatch movie na nini, nikakutana na movie(sikuweza kulijua jina lake) inahusisha maswala ya pre crime technology ambayo kwa humo ndani police wanatumia science fulan kuzuia crimes kabla hazijatokea ni kama kuna namna kuna watu wanaprophesy next coming crimes na kuzizuia, nikajaribu kugoogle hiyo technology basis ya utendaji kazi wake upoje sikupata jibu la kueleweka. Naomba nieleweshwe kama kuna mtu anajua coz pia nilivyogoogle nikaona kwamba hiyo technology ni real na inatumika huko Marekani.

Naomba kuwasilisha!
unaweza ukawa sawa, kuna story niliskia polisi wa china wana mfumo unaoweza kuunganisha matukio uka predict kama mtu anataka kuanya uhalifu sikumbuki sana nathan hiyo pre crime technology inawaza ikawa true

Jaribu ku google ivi pre crime technology china police

 
Kwa mfano, unaingiza taarifa za "past crimes" za jiji la Dar es Salaam kwenye software fulani ya ku-predict crime tuseme inaitwa "Crime Prediction Software", halafu inakuonyesha kuwa wakati wa Chrismas, sehemu inayoongoza kwa crime kwa mfano, tuseme ni Mwananyamala Sokoni. Polisi wanachofanya ni kuhakikisha kuwa Mwananyamala Sokoni ndiyo ina Patrol kubwa zaidi wakati wa Chrismas. Christmas ijayo tena wanafeed information na kuona eneo lipi ambalo linaongoiza kwa crime. Hii ndiyo pre-crime technology, ambayo wakati mwingine hata uzoefu tu unaweza ukatumika pale ambapo hakuna software, kwa sababu mara nyingi askari wenyewe wanakuwa wanajua ni maeneo gani korofi. HIi kazi nilikuwa naitamani ila basi tu tulikwepana!
Ulikuwa unatamani ila basi mkakwepana 🙀🙀🤔🤔🙄
Minority report amecheza tom cruise.
Ile movie ni science fiction hakuna cha kweli ni kama comic book movies.
Sitaki kuamini movie kali kama ile ilichezwa 2002
 
Habarini wana tech JF, katika pita pita zangu za kuwatch movie na nini, nikakutana na movie(sikuweza kulijua jina lake) inahusisha maswala ya pre crime technology ambayo kwa humo ndani police wanatumia science fulan kuzuia crimes kabla hazijatokea ni kama kuna namna kuna watu wanaprophesy next coming crimes na kuzizuia, nikajaribu kugoogle hiyo technology basis ya utendaji kazi wake upoje sikupata jibu la kueleweka. Naomba nieleweshwe kama kuna mtu anajua coz pia nilivyogoogle nikaona kwamba hiyo technology ni real na inatumika huko Marekani.

Naomba kuwasilisha!
2y##f!!#22###22!#!22$6666!%&!-+5|£££!!!2!-j !!2#655667####÷oggdog&wmt9mto!#e#2ueSzeueeuuWeuzeszr!2¢`2#`uzsusweuezww#3!5772#!#£÷¢÷•Πeuzw8!723!!!7!⅞!#!5!7#3##27!7!2283!73!!737!4!7377!!2#63#72!735#5#75#!#5!2!|###########3#!!####⅞7!3%£££÷£££|£££££!##!#$##2!!####!!!2#!##
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom