Suala hili limeshajadiliwa mno na wadau mbalimbali, hivyo, mimi ninapendekeza sauti hizi zipitishwe rasmi kuwa kitu kimoja. Yani, watumiaji wachague kile wanachoona kinawafaa.
Utafiti wangu mdogo unaonesha hata walimu, wapo wengi wana tatizo hili.
Kiambatisho kwenye bango hili ni ushahidi wa...