technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Tuna tatizo la kusoma na kutoelimika, Tuna tatizo la upumbavu ambalo unakuta mtu ana mpaka degree lakini bado ni mpumbavu. Tuna Tatizo la kutokuwa na elimu ya uraia, Tuna tatizo la kuamini CCM CHADEMA au ACT watatuletea maendele. hakuna mwanasiasa ambaye anaweza kuwaletea maendeleo sababu yupo chama fulani.
Miaka 58 ya uhuru bado nchi haina barabara nzuri, maji, umeme, madawati, madarasa ya kutosha sisi tunashangilia siasa na wanasiasa wanakimbia vyama. watanzania wengi bado ni wapumbavu na wajinga na inawezekana hata viongozi wengi wanaotawala ni wajinga na wapumbavu ndio maana hatuna chochote cha kujivunia zaidi ujinga maradhi(ukimwi) na umaskini.
Miaka 58 ya uhuru bado nchi haina barabara nzuri, maji, umeme, madawati, madarasa ya kutosha sisi tunashangilia siasa na wanasiasa wanakimbia vyama. watanzania wengi bado ni wapumbavu na wajinga na inawezekana hata viongozi wengi wanaotawala ni wajinga na wapumbavu ndio maana hatuna chochote cha kujivunia zaidi ujinga maradhi(ukimwi) na umaskini.