DPP wa Tanzania amepora uhuru wa mahakama, Mahakama nayo imeridhia

G Sam

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
11,555
35,880
DPP wa Tanzania amepora uhuru wa mahakama, mahakama nayo imeridhia.

Ni jambo la aibu kuwa DPP anamkamata mtu anamfungulia mashtaka yasiyo na dhamana kisha kila mshtakiwa akipelekwa mahakamani DPP anaiambia mahakama kuwa upelelezi haujakamilika. Aibu yako kubwa wewe DPP usiye hata na chembe ya utu.

Binadamu wa kitanzania anaona ameshateseka vya kutosha kutokana na nguvu uliyonayo juu yake anaamua kukubali yaishe. DPP kuna kupanda na kushuka. Ole wako! Unamkamataje mtu unamfungulia mashtaka hayo yasiyo na dhamana kisha kila uchwao unasema upelelezi bado? Iko wapi nguvu ya mahakama kutetea uhuru wake?

Mahakama ya Tanzania imegeuka kuwa msikilizaji wa anayosema na kuamua DPP, kama nchi tuna tatizo kubwa la udikteta. Narudia kusema tena na tena, huu utawala kuna watu wataandikwa kwenye vitabu maalum ili waje walipie wanayoyafanya kwa sasa! Nasema ole!

Kwa haya yanayoendelea ni bora Tundu Lissu asirudi kwa sasa. Haki ya wakosoaji nchi hii ipo katika mashaka makubwa.
 
Duh! Upelelezi wa Brigedia general wenye 99.9% ya uhujumu uchumi tuuombee.
 
Huu uzi umeletwa hapa mwezi februari, lakini kwa sasa ujumbe wake alioutoa mleta uzi ndio unazidi kuwa na nguvu.
 
DPP wa Tanzania amepora uhuru wa mahakama, mahakama nayo imeridhia.

Ni jambo la aibu kuwa DPP anamkamata mtu anamfungulia mashtaka yasiyo na dhamana kisha kila mshtakiwa akipelekwa mahakamani DPP anaiambia mahakama kuwa upelelezi haujakamilika. Aibu yako kubwa wewe DPP usiye hata na chembe ya utu.

Binadamu wa kitanzania anaona ameshateseka vya kutosha kutokana na nguvu uliyonayo juu yake anaamua kukubali yaishe. DPP kuna kupanda na kushuka. Ole wako! Unamkamataje mtu unamfungulia mashtaka hayo yasiyo na dhamana kisha kila uchwao unasema upelelezi bado? Iko wapi nguvu ya mahakama kutetea uhuru wake?

Mahakama ya Tanzania imegeuka kuwa msikilizaji wa anayosema na kuamua DPP, kama nchi tuna tatizo kubwa la udikteta. Narudia kusema tena na tena, huu utawala kuna watu wataandikwa kwenye vitabu maalum ili waje walipie wanayoyafanya kwa sasa! Nasema ole!

Kwa haya yanayoendelea ni bora Tundu Lissu asirudi kwa sasa. Haki ya wakosoaji nchi hii ipo katika mashaka makubwa.
TRA nao wamefuata mkumbo. Wakijua una mpunga mnene, wanakubambikizia Kodi ndeeefu ya kubuni + Riba + Faini..

"Wanateka" akaunti zako benki.

Then unapatana na kugawana nao mpunga wako, au wanakufilisi mazima🙄
 
TRA nao wamefuata mkumbo. Wakijua una mpunga mnene, wanakubambikizia Kodi ndeeefu ya kubuni + Riba + Faini..
"Wanateka" akaunti zako benki.
Then unapatana na kugawana nao mpunga wako, au wanakufilisi

Sio hao tu, kuna uporaji mwingine ulifanyika, waulize waliokuwa na bureau de change
 
DPP wa Tanzania amepora uhuru wa mahakama, mahakama nayo imeridhia.

Ni jambo la aibu kuwa DPP anamkamata mtu anamfungulia mashtaka yasiyo na dhamana kisha kila mshtakiwa akipelekwa mahakamani DPP anaiambia mahakama kuwa upelelezi haujakamilika. Aibu yako kubwa wewe DPP usiye hata na chembe ya utu.

Binadamu wa kitanzania anaona ameshateseka vya kutosha kutokana na nguvu uliyonayo juu yake anaamua kukubali yaishe. DPP kuna kupanda na kushuka. Ole wako! Unamkamataje mtu unamfungulia mashtaka hayo yasiyo na dhamana kisha kila uchwao unasema upelelezi bado? Iko wapi nguvu ya mahakama kutetea uhuru wake?

Mahakama ya Tanzania imegeuka kuwa msikilizaji wa anayosema na kuamua DPP, kama nchi tuna tatizo kubwa la udikteta. Narudia kusema tena na tena, huu utawala kuna watu wataandikwa kwenye vitabu maalum ili waje walipie wanayoyafanya kwa sasa! Nasema ole!

Kwa haya yanayoendelea ni bora Tundu Lissu asirudi kwa sasa. Haki ya wakosoaji nchi hii ipo katika mashaka makubwa.
Kwa jinsi jiwe alivyoupata uraisi wa nchi hii,mtu yeyote anaweza kupata,Bashite,Ndugai,polepole,Kangi lugora,
Wote Hawa wanaweza kupata uraisi,maana tuna mfumo mbaya sana,jiwe hakutegemea kupata uraisi,Kikwete alivyoona,janja yake ya kumkata Lowasa,inaenda vibaya,akaona atafute jitu linalofahamika kidogo,jiwe akapatikana.
 
Back
Top Bottom