Kenya wamefanya lock down na hasa katika miji mikubwa kama Nairobi na Mombasa ambayo ndio malango makuu ya Kenya.
Sasa wana visa 490 wakati Tanzania ina visa 480.
Kenya wanaripoti visa vipya (updates) kila siku, sisi mara moja kwa wiki 2.
Kenya wamepima watu 24,784, Tanzania imepima watu 652...