tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. The Assassin

    Tanzania inaongoza Duniani kwa miundombinu mibovu

    Tanzania ni moja ya nchi 10 masikini zaidi Duniani, hii ni rekodi ambayo Tanzania tumeishikilia kwa miaka mingi na wala hatuna mpango wa kuachia nafasi yetu hii adhimu kwa sababu kwa miaka yote tumekua tukifabya kila jitihada ili tuendelee kubakia pale pale au angalau kwenye 10 bora. Kwenye...
  2. Erythrocyte

    Uingereza yasikitishwa na yaliyotokea kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa nchini Tanzania

    Kitendo cha Watendaji kuamriwa kujificha kwa gharama yoyote ile ili kuhakikisha Wagombea wa vyama vya upinzani hawachukui ama kurudisha fomu za uchaguzi wa serikali za mitaa kwa lengo la kuwabeba wagombea wa CCM kwa mbeleko ya chuma, kimeusikitisha mno ubalozi wa Uingereza. My take: Nchi...
  3. B

    Mtandao wa Jumia wafunga biashara yake nchini Tanzania

    Kampuni ya kuuza bidhaa mtandaoni JUMIA yenye branch zake mbalimbali Afrika leo tarehe 27/11/2019 imefunga ofisi zake ramsi, hata hivyo imebakisha kitengo kimoja kinachohusisha mauzo ya chakula pekee. Ukitoa ofisi za Tanzania pia wamefunga ofisi zao za nchini Cameroon, kwa madai kuwa ofisi hizi...
  4. GENTAMYCINE

    Utashangaa bado kuna Watanzania 'watabisha' kuwa Tanzania hakuna kabisa uhuru wa vyombo vya habari

    “ Katika siku za karibuni kumeibuka tena tabia ya baadhi ya vyombo vya habari hapa nchini kushabikia, kutumika na kuwa mawakala wa kusambaza habari za uongo, uzushi na propaganda dhidi ya nchi yetu kutoka mashirika ya kimataifa au wawakilishi wa mataifa ya nje “. @TZMsemajiMkuu Ndugu zangu wa...
  5. Jamii Opportunities

    Mechanical Technician at Coca-Cola Kwanza (Tanzania)

    Job Title: Mechanical Technician Reference Number CCB191118-1 Function Manufacturing Company Coca-Cola Kwanza (Tanzania) Job Type Permanent Location - Country Tanzania Location - Province Not Applicable Location - Town / City Dar es Salaam Coca-Cola Kwanza Ltd has an exciting opportunity in...
  6. N'yadikwa

    Matukio mbalimbali katika picha: Tanzania ya wakati huo

    Dar es salaam Tanzania 1960s Barua kutoka Misri kuja Tanzania (Tanganyika) 1950s Lori aina ya Leyland Beaver likiwa Iringa katika Bohari ya bidhaa - 1963. Basi la abiria mkoa hadi mkoa likipakia abiria na mizigo stendi kuu ya Iringa tayari kwenda mjini Dar es salaam - 1963. Mabasi mapya...
  7. J

    Prof. Kabudi ahudhuria hafla ya uzinduzi ripoti ya BBI nchini Kenya inayopendekeza uwepo wa cheo cha Waziri Mkuu na Kiongozi wa Upinzani Bungeni

    Waziri wa mambo ya nje Prof. Kabudi amehudhuria hafla ya uzinduzi wa ripoti ya Building Bridge Initiatives (BBI) nchini Kenya ambayo imehudhuriwa na viongozi wote wakuu wa Jamhuri ya Kenya. Miongoni mwa mapendekezo ya BBI ni haya: 1. Uwepo wa cheo cha Waziri mkuu ambaye ni lazima awe Mbunge wa...
  8. MZK

    Mradi wa umeme wa maporomoko ya Rusumo gharama kubwa mara 4 ya mradi wa umeme Stiegler’s Gorge pigo kwa walala hoi wa (Tanzania, Rwanda na Burundi)

    Mradi wa Umeme wa maporomoko ya Mto Rusumo uliopo mpakani wa Tanzania na Rwanda, unazishirikisha Nchi tatu za Tanzania, Rwanda na Burundi unaendeshwa kwa mkopo Benki ya Dunia na Benki ya Maendeleo Afrika kupitia taasisi au mtu kati anayeitwa NELSAP, mradi huu unatarajiwa utakapokamilika...
  9. GENTAMYCINE

    Hivi wanaotakiwa kupendelewa na kupewa vipaumbele na Rais John Pombe Magufuli Tanzania nzima ni JWTZ (TPDF) pekee?

    Rejea kichwa cha Habari hapo juu kisha anza kutiririka na kuserereka kwani mimi GENTAMYCINE tayari nimeshachoka na hii tabia ya Mheshimiwa Rais kuonyesha anawapenda sana wanajeshi wa Tanzania kuliko makundi mengine yote wakati ukweli ni kwamba kila Tasnia (kada) ya uwajibikaji nchini Tanzania...
  10. K

    Ushindi wa kishindo uliopata CCM umemuongezea Rais wetu hamasa ya kuendelea kututumikia vyema zaidi. Tanzania ipo nawe, tuvushe twende mbali zaidi

    Hakuna ushindi wenye raha kama wa kishindo. Ushindi wa namna hiyo unatoa hakikisho kuwa chochote unachofanya kinapata baraka kutoka kwa watu. Kila mmoja hawezi kukupongeza kwa kazi nzuri unayofanya lakini kupitia sanduku la kura ndio utajua mwitikio wa kile unachofanya. Wiki hii ni ya shangwe...
  11. Msanii

    Matokeo Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Novemba 24, 2019: CCM yashinda kwa 99.9%, CHADEMA wapata Kijiji kimoja na Vitongoji 19, CUF nao Kijiji

    Wananchi leo wanapiga kura kuchagua viongozi wao wa Serikali za Mitaa ambapo zoezi hilo linaanza saa mbili kamili asubuhi hadi saa kumi kamili jioni na wale wote watakao kuwa kwenye foleni muda huo wataruhusiwa kupiga kura Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo amesema Uchaguzi huo utafanyika katika...
  12. Sky Eclat

    Elizabeth Michael (Lulu) abeba ujauzito wa Majizzo

    ELIZEBERT MICHAEL (LULU) ABEBA UJAUZITO WA MAJIZO Mwigizaji wa Filamu Nchini Tanzania Elizebert Michael ambaye pia ni maarufu kwa jina la Lulu hatimaye ni mjamzito na hivi karibuni atajifungua mtoto wake wa kwanza. Lulu ametumia ukurasa wake wa Instagram kupost picha hiyo kitu ambacho kila mtu...
  13. N

    Repoti ya Tume ya Haki za Binadamu Afrika ikizungumzia Tanzania

    Mabeberu meusi yameingia kwenye vita na Tanzania, vita ya kiuchumi imenoga tunaonewa wivu kila kona hadi na weusi wenzetu, hii inamanisha kwamba tupo pazuri mnooo,haijawahi kutokea tangu uhuru Hii ni ripoti ya Tume ya Haki za Binadamu Afrika ikiisuta awamu ya tano.
  14. waltham

    Demokrasia Tanzania yazidi kukita mzizi, Kenya tupate funzo gani hapa?

    HAPA KAZI TU, ASILIMIA MIA BIN MIA....!!!!! UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA: CCM YASHINDA KWA ASILIMIA 99.9 - Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo ametangaza kuwa CCM imeshinda Vijiji 12,260 sawa na 99.9% - Pia, kimeshinda Mitaa 4,263 sawa na 100% na kikishinda Vitongoji 63,970 sawa na 99.4% Soma...
  15. Influenza

    Magufuli aagiza wananchi walipwe bilioni 3.4

    Rais John Magufuli ameliagiza Jiji la Dodoma kuanzia Desemba mosi mwaka huu lianze kulipa fidia kwa wananchi wa Kikombo Dodoma ambao maeneo yao yamechukuliwa kwa ajili ya ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi Tanzania. Ametoa agizo hilo leo muda mfupi baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi huo na...
  16. Jamii Opportunities

    Finance Officer at Aga Khan Health Services Tanzania (AKHST)

    Aga Khan Health Services Tanzania (AKHST) – an agency of the Aga Khan Development Network (AKDN) is a non-profit international organization that supports social development programs in Tanzania completed a major expansion to position the institution to become a leading and integrated tertiary...
  17. K

    CCM ni chama pekee Tanzania chenye kutoa fursa sawa kwa wote kuchaguliwa nafasi za uongozi, vyama vingine ni ubabaishaji tu unafanyika

    Wakati CHADEMA ikiwa inajiandaa kufanya uchaguzi wa viongozi ndani ya chama chao, wametoa orodha ya wagombea uenyekiti kanda mbalimbali za kichama. Orodha hiyo imenishangaza katika mambo mawili: la kwanza, orodha ya wagombea wote wa kanda zote 10 ni waheshimiwa kwa maana ya kwamba wana nafasi...
  18. P

    Ushauri kwa Mhe. Dkt Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu bodi za wakurugenzi

    Mheshimiwa Rais kwanza nikupongeze sana kwa jitihada ulizozichukua kuhakikisha mashirika ya umma yanalipa gawio kwa serikali. Tumeona mwaka 2014/15 ni kiasi kidogo tu kilichokuwa kikitolewa kwa serikali na mashirika mengi yalikuwa hayafanyi vizuri,lakini sasa tunaona tunapata hadi Tshs Trilioni...
  19. K

    Prof. Kabudi katufundisha jambo juu ya utanzania na umuhimu wa kuilinda Tanzania ili tuendelee kuitwa watanzania. Ni mzalendo wa kweli

    Kila mara Prof. Kabudi anapoongea uwa nakuwa makini kutega sikio kuchota busara na hekima, hakika kwangu ni moja ya watu ambao sichoki kuwasikiliza. Kwa wengine inawezekana anaongea vitu vikubwa kuliko uelewa wao na wanashindwa kumuelewa lakini tunaomuelewa Prof. Kabudi hatuna mashaka na uchungu...
  20. britanicca

    Wasanii wangu 20 wa Muda wote TOP 20 of all time in Tanzania

    Vigezo vyangu A. Mashairi B. Ujumbe C. Heshima ndani ya Mashairi D. kucheza na jukwaa E. Muda wa Mziki wake kudumu Hizo index mbele zimetokana na Calculator ambayo imeshusisha umri wa wasikilizaji, kukubalika, muda wake kudumu, Rate ya vyombo vya habari kumkuza mtu nje ya uhalisia. 1. Dr...
Back
Top Bottom