Uchaguzi 2020 Tanzania inaenda kuwa nchi tofauti sana kama hii mipango itafanikiwa

technically

JF-Expert Member
Jul 3, 2016
11,975
48,843
1: Tundu Lissu kuwekewa pingamizi ya kugombea Urais

2: Zanzibar kuwekwa mgombea ambaye ataunga mkono kubadilishwa kwa katiba na kuongezwa muda kwa Rais wa JMT.

3: Kuchezea uchaguzi na kushinda kwa 90+% kote Zanzibar na Bara kwenye Udiwani, Ubunge na Urais.

4: Makonda kuwa Spika 2020-2025 ili kusaidia kupush agenda ya kuongezewa muda.

5: Kuwakamata na kuwaweka kizuizini wote uwe CCM au wapinzani watakao pinga kubalishwa kwa katiba.

Kama Mambo haya yatakamilika na kufanikiwa basi Tanzania inaenda kuwa tofauti sana.

Poleni sana Watanzania
 
Hapa ndipo ninajifunza, mwenye maamuzi ya mwisho kwenye ustawi wa hili taifa ni mwananchi mwenyewe, tuamke usingizi sasa.

Tukiendelea kuwatazama wakituchezea michezo yao, basi watatuchezea kila aina ya mchezo, na hatutakiwi kukasirika, tuendelee kuwatazama kila aina ya igizo lao watakaloamua kutuletea.

Mfano: Maigizo ya bungeni kuongeza muda wa Rais kubaki madarakani, naamini na mengine yatafuata.
 
Kwani kama watakubali kwa hiari yao wewe shida ni nini?
Mbona mbowe alibadili katiba ya chadema na maswahiba wake na kufuta ukomo ila mkatuia tu?

Kama wengi wataridhia hakuna shida, ila ukisikia maumivu sana unaweza hama kwa muda ukaishi ubelgiji mpaka huo muda uishe.
Kabisa hata buku 7 waondoe
 
Hapa ndipo ninajifunza, mwenye maamuzi ya mwisho kwenye ustawi wa hili taifa ni mwananchi mwenyewe, tuamke usingizi sasa.

Tukiendelea kuwatazama wakituchezea michezo yao, basi watatuchezea kila aina ya mchezo, na hatutakiwi kukasirika, tuendelee kuwatazama kila aina ya igizo lao watakaloamua kutuletea.

Mfano: Maigizo ya bungeni kuongeza muda wa Rais kubaki madarakani, naamini na mengine yatafuata.
Wananchi wapi hao mazombi??

Hilo ni taifa la wajinga
 
technically,

Kwani kama watakubali kwa hiari yao wewe shida ni nini?
Mbona mbowe alibadili katiba ya chadema na maswahiba wake na kufuta ukomo ila mkatuia tu?

Kama wengi wataridhia hakuna shida, ila ukisikia maumivu sana unaweza hama kwa muda ukaishi ubelgiji mpaka huo muda uishe.
Uko Sawa ! Mkuki kwa nguruwe Bali kwa binadamu...mchungu .teh teh
 
1: Tundu Lissu kuwekewa pingamizi ya kugombea Urais

2: Zanzibar kuwekwa mgombea ambaye ataunga mkono kubadilishwa kwa katiba na kuongezwa muda kwa Rais wa JMT.

3: Kuchezea uchaguzi na kushinda kwa 90+% kote Zanzibar na Bara kwenye Udiwani, Ubunge na Urais.

4: Makonda kuwa Spika 2020-2025 ili kusaidia kupush agenda ya kuongezewa muda.

5: Kuwakamata na kuwaweka kizuizini wote uwe CCM au wapinzani watakao pinga kubalishwa kwa katiba.

Kama Mambo haya yatakamilika na kufanikiwa basi Tanzania inaenda kuwa tofauti sana.

Poleni sana Watanzania
Uliyoyaandika yanapaswa yachunguzwe na Takukukuru maana hii nayo ni rushwa! Yaani unayataja haya ili usichokitaka kisifanikiwe! Maanake ungekuwa na uwezo wa kifedha ungetoa!
 
Kiukweli haitakiwi kumuombea mtu kifo, lkn ule ukweli mi namuombe kifo kwa spika ndugai na jiwe..cku hawa watu wakifa nchi itapumua kwa furaha, yaani sio siri aisee.. watanzania wanawaombea kifo bc tu m/mungu naona anawalia timing..hadi October Kuna cku utapigwa wimbo wa Taifa tena saa 4 asbh tu na bendera nusu mlingoti...
 
Kiukweli haitakiwi kumuombea mtu kifo, lkn ule ukweli mi namuombe kifo kwa spika ndugai na jiwe..cku hawa watu wakifa nchi itapumua kwa furaha, yaani sio siri aisee.. watanzania wanawaombea kifo bc tu m/mungu naona anawalia timing..hadi October Kuna cku utapigwa wimbo wa Taifa tena saa 4 asbh tu na bendera nusu mlingoti...
Kumuombea mtu kifo Ni ushenzi wa Hali ya juu, unajiweka Kama vile wewe una hatimiliki ya uhai? Badili mtazamo,!
 
Kiukweli haitakiwi kumuombea mtu kifo, lkn ule ukweli mi namuombe kifo kwa spika ndugai na jiwe..cku hawa watu wakifa nchi itapumua kwa furaha, yaani sio siri aisee.. watanzania wanawaombea kifo bc tu m/mungu naona anawalia timing..hadi October Kuna cku utapigwa wimbo wa Taifa tena saa 4 asbh tu na bendera nusu mlingoti...

Wameziba mianya yenu ya udokozzi sasa hampumui?
Kuna mtu alijifanya mtabili huko arusha
Walipompereka gereza la kisongo akapoteana na utabili wake, mpaka sasa hajui kama alitabili nini?
Maana 2020 ndo hii mwamba anapasua anga tu.
Na wewe iko siku utajikuta unapigania roho yako ukiwaacha unaotaka wafe wanatafuna pop con.
 
Wameziba mianya yenu ya udokozzi sasa hampumui?
Kuna mtu alijifanya mtabili huko arusha
Walipompereka gereza la kisongo akapoteana na utabili wake, mpaka sasa hajui kama alitabili nini?
Maana 2020 ndo hii mwamba anapasua anga tu.
Na wewe iko siku utajikuta unapigania roho yako ukiwaacha unaotaka wafe wanatafuna pop con.
Mwaka huu lazima mmoja wapo arudishe namba... lazima nakwambia.. lazima
 
Potelea mbali mbona wao wanaua na bado wanaishi tu...Hawa nao si wauaji tu kama wauaji wengine?? Hata wao ni washenzi tu
Fikiria wewe Ni msafi kiasi gani? Unahisi wewe unamfurasha Sana Mungu na una haki kuliko hao?

Mangapi unayoyafanya kuumiza wengine na hujiombei kifo?

Think like a man!
 
Back
Top Bottom