Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,166
- 4,581
zitto junior Mbona kaka yako anakurupuka hovyo? Anafahamu juu ya mkataba wa Montevideo on the rights and duties of states?
Kwanini munasema mukotayari kulinda mungano kwa nguvu zote hebu twambie kunasirigani hapoUNICEF wana afisi Zanzaibar aache kupotosha watu!!!
Mnadanganya watu kuwa CCM inawachagulia wazanzibari mgombea, niwaulize huyo maalim Sefu mbona naye amechaguliwa na ACT bara? Mgombea wa CHADEMA naye pia alichaguliwa Dsm.hilo liko wazi
Wazanzibar walitaka kujenga bandari nyingine, Serikali ya muungano ikawazuia kwa madai kuwa bandari hiyo itaiua bandari ya Dar
Wazanzibar hawajawahi kupata gawio la pesa za Muungano (4% +) .
Wazanzibar hawawezi kuvua kwenye bahari kuu iliyoko Kwao mpaka waje waombe kwenye serikali ya muungano
Wazanzibar hawawezi kukopa nje kuebdekeza kilimo chao cha karufuu, au kuhudumia afya (siyo jambo la muungan) mpaka kwanza waje kupiga magoti kwa serikali ya muungano itoe kibali ikope
Wazanzibar hawawezi kuchagua viongozi wao kwa uhuru, ni mpaka sisi tuwapelekee majeshi ya kusimika vibaraka wetu tunaowateua dodoma
Sasa wewe ungekuwa mzanzibari usingetaka muungano wa haki?
Mnadanganya watu kuwa CCM inawachagulia wazanzibari mgombea, niwaulize huyo maalim Sefu mbona naye amechaguliwa na ACT bara? Mgombea wa CHADEMA naye pia alichaguliwa Dsm.
Ukweli ni kuwa kutokana na muundo wa vyama vyote vya siasa, wagombea wao wote wa urais wa Zanzibar wanateuliwa huku bara wakati wa aidha mikutano mikuu au halmashauri/ baraza kuu ambayo wajumbe wake wengi wanatoka bara. Zitto na Lissu kwa sababu kazi yao ni kuimba kama kasuku ndio maana wanadai CCM inawachagulia wazanzibari jambi ambalo si kweli.
Hakuna wa kujibu hizi nondohilo liko wazi
Wazanzibar walitaka kujenga bandari nyingine, Serikali ya muungano ikawazuia kwa madai kuwa bandari hiyo itaiua bandari ya Dar
Wazanzibar hawajawahi kupata gawio la pesa za Muungano (4% +) .
Wazanzibar hawawezi kuvua kwenye bahari kuu iliyoko Kwao mpaka waje waombe kwenye serikali ya muungano
Wazanzibar hawawezi kukopa nje kuebdekeza kilimo chao cha karufuu, au kuhudumia afya (siyo jambo la muungan) mpaka kwanza waje kupiga magoti kwa serikali ya muungano itoe kibali ikope
Wazanzibar hawawezi kuchagua viongozi wao kwa uhuru, ni mpaka sisi tuwapelekee majeshi ya kusimika vibaraka wetu tunaowateua dodoma
Sasa wewe ungekuwa mzanzibari usingetaka muungano wa haki?
Kuwa na ofisi si maana kuwa zanzibar ni mwanachama wa unicef, bashiru na chakubanga wakanushe kama si kweliUNICEF wana afisi Zanzibar aache kupotosha watu!!!
Hivi bandari ni suala la muungano au sio?hilo liko wazi
Wazanzibar walitaka kujenga bandari nyingine, Serikali ya muungano ikawazuia kwa madai kuwa bandari hiyo itaiua bandari ya Dar
Wazanzibar hawajawahi kupata gawio la pesa za Muungano (4% +) .
Wazanzibar hawawezi kuvua kwenye bahari kuu iliyoko Kwao mpaka waje waombe kwenye serikali ya muungano
Wazanzibar hawawezi kukopa nje kuebdekeza kilimo chao cha karufuu, au kuhudumia afya (siyo jambo la muungan) mpaka kwanza waje kupiga magoti kwa serikali ya muungano itoe kibali ikope
Wazanzibar hawawezi kuchagua viongozi wao kwa uhuru, ni mpaka sisi tuwapelekee majeshi ya kusimika vibaraka wetu tunaowateua dodoma
Sasa wewe ungekuwa mzanzibari usingetaka muungano wa haki?
Upo sawa.Kuwa na ofisi si maana kuwa zanzibar ni mwanachama wa unicef, bashiru na chakubanga wakanushe kama si kweli
Kwa nini ACT ihangaike kubariki? Kwa nini uteuzi wa ACT usiishie huko huko Zanzibar?Ameteuliwa na wazanzibar wenyewe, ACT imebariki tu yeye kugombea.
Hussein Mwinyi CCM wenzie wa Zanzibar walimkataa, kateuliwa huku bara
Pia ACT haina majeshi ya kufanya "ujecha" Zanzibar.
Zanzibar wameporwa chaguzi zao toka mwaka 1995
Kwa nini ACT ihangaike kubariki? Kwa nini uteuzi wa ACT usiishie huko huko Zanzibar?
Hata Mwinyi aliteuliwa na wazanzibari na Halmashauri kuu ya CCM ilibariki wakiwemo wajumbe toka Zanzibar.