Atcl inakuja lini
Anytime otherwise a ban to KQ incase of any attempt to block ATCL to ply ur territory!Atcl inakuja lini
😆😆😆 Nn kimekupa ukakasi hapo_The united Republic of Tanzania shall always strive to adhere to the fundamental principles of Chicago convention 1944 and Bilateral Air Services Agreement between two states_ ...
Nn kimekupa ukakasi hapo
_Jamhuri ya muungano wa Tanzania itajitahidi daima kuzingatia kanuni za kimsingi za mkataba wa Chicago 1944 na Mkataba wa Huduma za Anga baina ya nchi mbili_ ..._The united Republic of Tanzania shall always strive to adhere to the fundamental principles of Chicago convention 1944 and Bilateral Air Services Agreement between two states_ ...
A wapi!!14 days auarantine ilikua ni manyanyaso tena kwa gharama zenu, hapo kidogo tumebugi ndio manake jiwe kaona enough is enough..Anytime otherwise a ban to KQ incase of any attempt to block ATCL to ply ur territory!
lets wait n see sina muda wa ku-argue upumbavu unaotaka kuanzisha! BTW si mara ya kwanza tunawafinya!A wapi!!14 days auarantine ilikua ni manyanyaso tena kwa gharama zenu, hapo kidogo tumebugi ndio manake jiwe kaona enough is enough..
Kumbe ilikua mnadungwa 14 days kutoka kitambo sana usione zile mbwembwe zote km hamna haja ya kuja kenya
Umetafsiri vyema sana_Jamhuri ya muungano wa Tanzania itajitahidi daima kuzingatia kanuni za kimsingi za mkataba wa Chicago 1944 na Mkataba wa Huduma za Anga baina ya nchi mbili_ ...
Atcl hawana ruti ya NBO hata kabla ya corona...labda waianzishe sasa.Atcl inakuja lini
Muda tuliokaa kimya umetosha sana kuwafundisha kitu.Daaah tungewalia ngumu kwanza