Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,000
- 9,862
Kenya imetoa orodha ya nchi 147 ambazo raia wake wataruhusiwa kuingia nchini humo bila kukaa karantini
Katika orodha ya sasa, Tanzania imetajwa kuwa miongoni mwa nchi hizo ambapo katika orodha ya awali Tanzania haikuwepo
Awali nchi hiyo ilikuwa inalazimisha raia wanaotoka nchi zenye hatari kubwa ya maambukizi ya CoronaVirus kukaa karantini kwa sababu za kiusalama
Katika orodha ya sasa, Tanzania imetajwa kuwa miongoni mwa nchi hizo ambapo katika orodha ya awali Tanzania haikuwepo
Awali nchi hiyo ilikuwa inalazimisha raia wanaotoka nchi zenye hatari kubwa ya maambukizi ya CoronaVirus kukaa karantini kwa sababu za kiusalama