Forex inataka niua

aroon dismon

Member
Joined
Sep 20, 2024
Posts
28
Reaction score
66
Habari wana jamvi,
Mimi ni kijana mwenye miaka (27) nlikua vizuri tangu nmehitimu chuo nlikua natrade forex ,kwa miaka mitatu sasa , ila upepo umejigeuka nmepata hasara kubwa ,na sasa Nina tapatap yaani kiufupi sina mwelekeo isitoshe nlipanga nioe mwaka huu,
Naona kama ndoto zangu zimekatika ,najihisi kukata tamaaaa, biashara yangu imeanguka sasa nawaza labda nkajichanganye Ata nikachimbe madini kibarua geita au chunya

Au wakuuu kama Kuna mtu anaweza nisaidia mchongo wa kunisogeza popote , na wowote naweza Fanya naombeni wakuuu
Unaweza nishauri pia nifanyaje??
Kipindi kama hiki
 
Kiwanda cha rasta mbagala , kiwanda cha bakheresa kazi ni nnje nnje , ukitaka kibarua cha kupalilia na kazi za mashambani cha 8000 kwa kutwa nitafute
Kaka Mimi nipe iyo ya mashambani itanifaa sana kaka.

Cha Rasta Mbagala @8000 kula juu yangu ? Kuhusu nauli piaa... Mpaka nifike let's say gongolamboto mpaka mbagala nauli go & return 4000 kwaio naifuata 8000

N.b Wanaume tumeumbwa mateso kuhangaika
 
Back
Top Bottom