tanga

Tanga is both the name of the most northerly port city of Tanzania on the west of the Indian Ocean, and the surrounding Tanga Region. It is the regional headquarters of the region. With a population of 273,332 in 2012, Tanga is one of the largest cities in the country. It is a quiet city compared to, for example, Arusha or Moshi with a comparable number of inhabitants.
The city of Tanga sits on the Indian Ocean, near the border with Kenya. Major exports from the port of Tanga include sisal, coffee, tea, and cotton. Tanga is also an important railroad terminus, connecting much of the northern Tanzanian interior with the sea. Via the Tanzania Railways Corporation's Link Line and Central Line, Tanga is linked to the African Great Lakes region and the Tanzanian economic capital of Dar es Salaam. The city is served by Tanga Airport.
The harbour and surrounding is the centre of life in Tanga. It has several markets in several neighbourhoods.

View More On Wikipedia.org
  1. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Historia ya mkoa wa Tanga

    Mkoa wa Tanga una eneo la 27,348 km² na uko Kaskazini Mashariki mwa Tanzania ukipakana na Kenya upande wa Kaskazini, Bahari Hindi upande wa mashariki na mikoa ya Morogoro, Manyara na Kilimanjaro. Mpaka upande wa kusini unafuata mto wa Mligaji. Mkoa wa Tanga unaunganisha sehemu za pwani pamoja na...
  2. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Office Secretary at TANROADS Tanga

    Educational/Professional qualifications:- Must have a Certificate in secretarial Service or equivalent from any recognized Learning Institution/colleges; A National Form IV/VI certificate; Computer literate; Work Experience: At least 3 years cumulative experience related to clerical/...
  3. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi TANROADS Tanga

    The Tanzania National Roads Agency (TANROADS) on behalf of the Government of the United Republic of Tanzania entered into a Contract for the Upgrading of Bagamoyo – (Makurunge) – Saadani – Pangani – Tanga (256km) to Bitumen Standard, LOT 1: Pangani – Tanga Section (50Km). The Contract period is...
  4. F

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Fedha zilizookolewa ktk uchaguzi Njombe, Tanga, Mtwara, Katavi na maeneo mengine zijenge vituo vya Afya

    Mada hapo juu yaeleweka vizuri sana. Mnafahamu kiendeleacho nchini hivi sasa. Katavi, Njombe, Mtwara na Tanga hakuna uchaguzi. Hela nyingi zimenusirika kulipa posho za wasimamizi, karatasi, wino, visanduku, usafirishaji nk. Hata mitaa na vijiji vingi kwingineko hakuna uchaguzi wa serikali y...
  5. J

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli CCM inapendwa kwa 100% huko Tanga, Katavi na Ruvuma au wakuu wao wa mikoa wanaogopa changamoti za uchaguzi?

    Kwa mkoa wa Ruvuma sikushangaa uchaguzi wa serikali za mitaa kutofanyika kwani kule ndiko uliko moyo wa CCM. Hakuna mkoa wowote Tanzania ambao CCM imejichimbia mizizi kama Ruvuma ndio maana huwezi kuwasikia Chadema wanaizungumzia mkoa huo. Kilichonishangaza ni Tanga.......yaani mkoa mzima wa...
  6. R

    JamiiForums Tanzania Ujenzi wa barabara ya Tanga hadi Pangani, malipo ya watakaopitiwa na barabara mustakabali wake ni upi?

    Hii barabara inapitia mitaa hii ambayo ina wakazi ambao nyumba za zimewekewa X na namba nyekundu. Ni Mwembeduga-Mwan'gombe- Mwakidila- Mwahako- Neema mpaka Pangani. Sehemu nilizotaja watu wako wansubiria kwa hamu walipwe wapate ziada wajenge na kupata myaji. Lakini nijuavyo (I stand to be...
  7. Alex Fredrick

    JamiiForums Tanzania Kilindi, Tanga: Naibu Waziri wa Kilimo Mh. Omary Mgumba azindua kampeni ya "Cassava for Life"

    Campaign kubwa ya Kitaifa ya Cassava for life yazinduliwa Kilindi Mkoani Tanga. Naibu wa Waziri wa Kilimo Mh Omary Mgumba amezindua kampeni kubwa sana Nchini ya Cassava for life Kilindi Mkoani Tanga. Campaign hiyo iliandaliwa na taasisi ya Progress Center chini ya mkurugenzi wake Madam Rose...
  8. GuDume

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ole wenu wanaume mnaoenda Tanga kwa sasa. Kuna Mabadiliko makubwa kwa Wanawake wa huko

    Aisee... leo asubuh ndo jamaa yangu mmoja anaitwa Amani ndo kanipigia simu. jamaa alienda Tanga week tatu zimepita kikazi. mara ya mwisho tumewalisiliana nliongea naye kwa simu akanambia kuna kazi anataka afanye ilikuwa saa mbili usiku ndo akapotea hewani mpaka leo hii. nlishaanza hadi kupata...
  9. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Chongoleani, Tanga: Rais Magufuli na Museveni waweka la jiwe la Msingi mradi wa bomba la mafuta kutoka Hoima - Tanga

    Tayari Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli amefika eneo la tukio. Wapo pia Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan na Waziri Mkuu wa Tanzania Majaliwa Kassim Majaliwa. Wapo pia viongozi waandamizi wa serikali akiwemo Naibu Spika wa...
  10. Komeo Lachuma

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Onyo: Usikubali kwenda mikoa hii. Mke usiruhusu mumeo aende. Mimi Tanga na Tabora siendi tena

    Wadau, Kutokana na mikasa mingi ambayo nimewahi kuipata na pia kusikia kwa ndugu, jamaa na marafiki nawashauri sana kuna mikoa msikanyage kabisa hizi ni story za kweli na nimezikatisha sana ili isiwe kero kwa wavivu wa kusoma kwa waliokuwa ndugu zangu hasa wale ambao wanatumia vichwa vidogo...
Back
Top Bottom