Nani aliilaza Tanga ? na huyo mama ako mdogo ameisimamishaje?Hata wakiwa 100....hoja ni jinsi alivyoisimamisha Tanga
Subiri kivumbi cha tundu lissu tutamsahay na.kwaya take ya qasaniii 100Hata wakiwa 100....hoja ni jinsi alivyoisimamisha Tanga
Mussa Mbarouk cuf!Nani aliilaza Tanga ? na huyo mama ako mdogo ameisimamishaje?
Ndiyo. Ana minyama.kuna shida?
ndiyo anapokea kodi hapo Tanga?Mussa Mbarouk cuf!
Hapa ndipo mnapofeli!ndiyo anapokea kodi hapo Tanga?
Hivi mbunge wa CuF ndiyo ameua viwanda na bandari ya Tanga?Hapa ndipo mnapofeli!