Magufuli, Museveni wakubaliana kuufufua mradi wa Bomba la Mafuta

Kibakuli

Member
Sep 11, 2013
10
5
July 31, 2020

Rais John Magufuli na mwenzake wa Uganda, Yoweri Museveni wamekubaliana kurejesha kwenye Ikulu zao mchakato wa kutandaza bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki.

Bomba hilo linaloanzia Hoima, Uganda na kuishia Chongoleani, Tanga nchini Tanzania, limekwama baada ya kuwepo kwa “vizingiti” ndani ya serikali zao na hata wawekezaji katika mradi huo.

Wawekezaji katika mradi huo mkubwa wa kusafirisha mafuta, ni Total, Tullow na Kampuni ya Taifa ya Mafuta ya China.

Chanzo: Magufuli, Museveni wakubaliana kuufufua mradi wa Bomba la Mafuta
 
July 31, 2020

Rais John Magufuli na mwenzake wa Uganda, Yoweri Museveni wamekubaliana kurejesha kwenye Ikulu zao mchakato wa kutandaza bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki.

Bomba hilo linaloanzia Hoima, Uganda na kuishia Chongoleani, Tanga nchini Tanzania, limekwama baada ya kuwepo kwa “vizingiti” ndani ya serikali zao na hata wawekezaji katika mradi huo.

Wawekezaji katika mradi huo mkubwa wa kusafirisha mafuta, ni Total, Tullow na Kampuni ya Taifa ya Mafuta ya China.

Chanzo: Magufuli, Museveni wakubaliana kuufufua mradi wa Bomba la Mafuta
Huu ni mradi mwingine bogus kabisa na ninashauri tusitupe fedha zetu kwenye mradi huu. Biashara ya mafuta inakwenda kutoweka miaka 15 hadi 20 tu ijayo kutokana na kukua kwa kasi kwa biashara ya magari ya umeme duniani. Hadi sasa bei ya mafuta imekuwa ikiyumba sana na ndio maana mmeona mafuta yakishuka bei kila siku. Laiti mtu angesikia na kuelewa nachosema. Miaka 20 ijayo magari ya petrol na dizeli yatakuwa machache sana barabarani. Ukitaka kujua zaidi fuatilia mambo ya renewable energy na yanayojiri nchi zilizoendelea.
 
Huu ni mradi mwingine bogus kabisa na ninashauri tusitupe fedha zetu kwenye mradi huu. Biashara ya mafuta inakwenda kutoweka miaka 15 hadi 20 tu ijayo kutokana na kukua kwa kasi kwa biashara ya magari ya umeme duniani. Hadi sasa bei ya mafuta imekuwa ikiyumba sana na ndio maana mmeona mafuta yakishuka bei kila siku. Laiti mtu angesikia na kuelewa nachosema. Miaka 20 ijayo magari ya petrol na dizeli yatakuwa machache sana barabarani. Ukitaka kujua zaidi fuatilia mambo ya renewable energy na yanayojiri nchi zilizoendelea.
Well said. Na sisi na gas yetu tunayolinga nayo bila kutuletea manufaa yeyote ..... itaozea hukohuko ardhini!!
 
Hivi mpaka leo bado mazungumzo nilidhani bomba limeshafika nusu ya ujenzi.

Ama kweli Afrika bado sana.
Jamaa wa TOTAL walishajitoa kitamboo na Museven hawezi chukua hela za ndani kugharamia huu mradi kama afanyavyo Magufuli kwa kuwadhulumu wafanyakazi na wawekezaji stahiki zao. Huu mradi ni kama haupo labda Magufuli ampe Museven hela za ujenzi wake
 
Unawaza kama mimi. Ningekuwa na pesa ndefu now ningeanza kujenga vituo vya kichaji magari ya umeme. In 15 yrs itakuwa ni biashara tamu
 
Kwani mradi ulikufa mpaka waufufue....hii habari ya lini mkuu....Jpm kaongea lini M7?
 
Well said. Na sisi na gas yetu tunayolinga nayo bila kutuletea manufaa yeyote ..... itaozea hukohuko ardhini!!

Gas LNG na LPG bado itakua na matumizi ya nyumbani(Domestic heating and Cooking) na pia kwenye viwanda

Ila mafuta yaliyokua yanategemea kuendesha transportation Tesla/ Elon Musk amewakalia kooni kweli kweli wanaelekea kupotea

Nawahurumia sana House of Saudi bora wenzao kina Makhtoum walianza ku-diversify😄😄
 
Jamaa wa TOTAL walishajitoa kitamboo na Museven hawezi chukua hela za ndani kugharamia huu mradi kama afanyavyo Magufuli kwa kuwadhulumu wafanyakazi na wawekezaji stahiki zao. Huu mradi ni kama haupo labda Magufuli ampe Museven hela za ujenzi wake
Tena walizindua kwa mbwembwe sana.na pesa atazitoa wapi labda wamchangie watu wa CHATO.
 
Uh
Huu ni mradi mwingine bogus kabisa na ninashauri tusitupe fedha zetu kwenye mradi huu. Biashara ya mafuta inakwenda kutoweka miaka 15 hadi 20 tu ijayo kutokana na kukua kwa kasi kwa biashara ya magari ya umeme duniani. Hadi sasa bei ya mafuta imekuwa ikiyumba sana na ndio maana mmeona mafuta yakishuka bei kila siku. Laiti mtu angesikia na kuelewa nachosema. Miaka 20 ijayo magari ya petrol na dizeli yatakuwa machache sana barabarani. Ukitaka kujua zaidi fuatilia mambo ya renewable energy na yanayojiri nchi zilizoendelea.
unataka gari za umeme huo umeme uko wapi? Kwa mazingira yetu bado sana mkuu
 
Huu ni mradi mwingine bogus kabisa na ninashauri tusitupe fedha zetu kwenye mradi huu. Biashara ya mafuta inakwenda kutoweka miaka 15 hadi 20 tu ijayo kutokana na kukua kwa kasi kwa biashara ya magari ya umeme duniani. Hadi sasa bei ya mafuta imekuwa ikiyumba sana na ndio maana mmeona mafuta yakishuka bei kila siku. Laiti mtu angesikia na kuelewa nachosema. Miaka 20 ijayo magari ya petrol na dizeli yatakuwa machache sana barabarani. Ukitaka kujua zaidi fuatilia mambo ya renewable energy na yanayojiri nchi zilizoendelea.
Unajua unachosema au ndio hadithi za mtandao?
Ukichoma mafuta ili uendeshe generator ya kuzalisha umeme ili umeme huo ndio ucharge battery ya gari HUJAKWEPA MAFUTA.

Matumizi ya mafuta bado ni makubwa sana labda useme kuna ongezeko la upatikanaji wa mafuta zaidi from traditional conventional method kuongezea na shale oil.

Idadi ya watu inaongezeka na matumizi ya nishati ya mafuta inaongezeka.
Meli na ndege hutumia mafuta,matumizi ya meli ni makubwa sana.

Bei za nishati mbadala kama solar na Upepo ni kubwa sana kwa sasa.

Matumizi ya nishati ya Nuclear ya kufulia umeme inazidi kudolola sababu ya madhara makubwa ya mionzi,inakataliwa sababu ya usalama.

Hizo green energy bado safari ndefu kukidhi mahitaji ya dunia hii.
Nakuuliza swali la kitoto je nyumba yako unatumia solar au umeme wa Tanesco?
 
July 31, 2020

Rais John Magufuli na mwenzake wa Uganda, Yoweri Museveni wamekubaliana kurejesha kwenye Ikulu zao mchakato wa kutandaza bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki.

Bomba hilo linaloanzia Hoima, Uganda na kuishia Chongoleani, Tanga nchini Tanzania, limekwama baada ya kuwepo kwa “vizingiti” ndani ya serikali zao na hata wawekezaji katika mradi huo.

Wawekezaji katika mradi huo mkubwa wa kusafirisha mafuta, ni Total, Tullow na Kampuni ya Taifa ya Mafuta ya China.

Chanzo: Magufuli, Museveni wakubaliana kuufufua mradi wa Bomba la Mafuta
Hizi ni siasa za uchaguzi ili mdanganye wanyonge wa ccm.

Kwa huu mradi ulikufa au kusimama lini hadi mseme mnaufufua tena sasa hivi kuelekea October?

Sisi tunavyojua mradi unakamilika June 2020. Tunaomba June 2020 ikifika msiache kuita TOT waje wawapige vijembe wapinzani

Bomba la Mafuta Ghafi kutoka Uganda kukamilika Juni 2020
 
Unajua unachosema au ndio hadithi za mtandao?
Ukichoma mafuta ili uendeshe generator ya kuzalisha umeme ili umeme huo ndio ucharge battery ya gari HUJAKWEPA MAFUTA.

Matumizi ya mafuta bado ni makubwa sana labda useme kuna ongezeko la upatikanaji wa mafuta zaidi from traditional conventional method kuongezea na shale oil.

Idadi ya watu inaongezeka na matumizi ya nishati ya mafuta inaongezeka.
Meli na ndege hutumia mafuta,matumizi ya meli ni makubwa sana.

Bei za nishati mbadala kama solar na Upepo ni kubwa sana kwa sasa.

Matumizi ya nishati ya Nuclear ya kufulia umeme inazidi kudolola sababu ya madhara makubwa ya mionzi,inakataliwa sababu ya usalama.

Hizo green energy bado safari ndefu kukidhi mahitaji ya dunia hii.
Nakuuliza swali la kitoto je nyumba yako unatumia solar au umeme wa Tanesco?
Watu wengi wanafikiri kwamba petrol itatumika hata miaka 100 ijayo, sio kweli tupo tayari siku za mwisho sana za petrol/dizel pengine sio zaidi ya miaka 30. Nchi mbalimbali zimeshajiwekea mkakati wa kuachana na magari ya petrol/dizel na tayari nchi kama Norway kwa mfano tu zina zaidi ya asilimia 30 ya magari yakitumia umeme. China wanafanya utengenezaji mkubwa wa magari ya umeme na hydogen. Marekani nao wanashindana na China na Ulaya kwenye biashara ya magari ya umeme. Kuna mengi yanaendelea huwezi amini na kwamba bei ya magari ya umeme imeshuka sana kiasi cha kufikia ya magari ya kawaida. Tesla ya Elon Musk wameshajenga viwanda vikubwa sana vinavyozalisha maelfu ya magari ya umeme kila wiki na wanaendelea kwa kasi kubwa. Makampuni makubwa ya magari yameshatoa matoleo kadhaa ikiwa ni pamoja na Toyota, Hyundai, Nissani, Benz, Tata, etc.

The internal combustion engine appears to be on its last lap. More than nine countries and a dozen cities or states have announced what the media has called “bans” in the last few years. Copenhagen mayor Frank Jensen wants the city to end all new diesel cars starting next year. Last December, Paris, Madrid, Athens and Mexico City said they would remove diesel cars and vans by 2025. Norway will phase out conventional cars by 2025, followed by by France and the United Kingdom in 2040 and 2050, respectively.
Uh

unataka gari za umeme huo umeme uko wapi? Kwa mazingira yetu bado sana mkuu
 
Gas LNG na LPG bado itakua na matumizi ya nyumbani(Domestic heating and Cooking) na pia kwenye viwanda

Ila mafuta yaliyokua yanategemea kuendesha transportation Tesla/ Elon Musk amewakalia kooni kweli kweli wanaelekea kupotea

Nawahurumia sana House of Saudi bora wenzao kina Makhtoum walianza ku-diversify😄😄
Lakini kumbuka kuna wanamazingira ambao wanazidi kupamba moto ...... Naona hata makaa yetu ya mawe yakiozea ardhini bila kufaidika nayo.
 
Watu wengi wanafikiri kwamba petrol itatumika hata miaka 100 ijayo, sio kweli tupo tayari siku za mwisho sana za petrol/dizel pengine sio zaidi ya miaka 30. Nchi mbalimbali zimeshajiwekea mkakati wa kuachana na magari ya petrol/dizel na tayari nchi kama Norway kwa mfano tu zina zaidi ya asilimia 30 ya magari yakitumia umeme. China wanafanya utengenezaji mkubwa wa magari ya umeme na hydogen. Marekani nao wanashindana na China na Ulaya kwenye biashara ya magari ya umeme. Kuna mengi yanaendelea huwezi amini na kwamba bei ya magari ya umeme imeshuka sana kiasi cha kufikia ya magari ya kawaida. Tesla ya Elon Musk wameshajenga viwanda vikubwa sana vinavyozalisha maelfu ya magari ya umeme kila wiki na wanaendelea kwa kasi kubwa.

The internal combustion engine appears to be on its last lap. More than nine countries and a dozen cities or states have announced what the media has called “bans” in the last few years. Copenhagen mayor Frank Jensen wants the city to end all new diesel cars starting next year. Last December, Paris, Madrid, Athens and Mexico City said they would remove diesel cars and vans by 2025. Norway will phase out conventional cars by 2025, followed by by France and the United Kingdom in 2040 and 2050, respectively.
Tatizo lako hujajibu swali la msingi nimekuuliza hiyo electric car inatumia battery, nayo battery inapata charge kutoka mitambo inaendeshwa na mafuta.Je umeishakwepa kutumia mafuta au umbadirisha njia ya kutumia mafuta.

Hydogen fuel(fuel cell) bado ni gharama kubwa ni majaribio.

Huko China,India,Indonesia kuna idadi ya watu wengi wanahitaji kutumia nishati ya mafuta na gesi asili haikwepeki.
Sio kila kingaacho ukaona ni dhahabu .Hayo ni mambo ya Al Gore.
 
Lakini kumbuka kuna wanamazingira ambao wanazidi kupamba moto ...... Naona hata makaa yetu ya mawe yakiozea ardhini bila kufaidika nayo.

Ndio ni kweli wanamazingira wanajaribu kupaza sauti sana ila kwa vitu kama makaa ya mawe kwa industrial level bado kidogo kupata mbadala wake kwakua umeme ni gharama kubwa sana. Na njia pekee ya kupata umeme mwingi nafuu ni nyuklia bado pia hio sio njia sahihi kuifwata. Hapo ndo changamoto ilipo

Ila teknolojia inakimbia sana ndani ya miaka 20 tumepiga hatua parefu ngoja tusubiri tuone
 
Back
Top Bottom