Kero hii ya abiria kushushwa kwenye mabasi ili wakaguliwe vitambulisho check point ya Vijinga, Wiliya ya Mkinga Mkoa wa Tanga itaisha lini?

MGANGA WA KIENYEJI

JF-Expert Member
Sep 10, 2012
521
170
Hii ni kero ya muda sasa katika Check Point ya Vijinga, Wilaya ya Mkinga, Mkoa wa Tanga, kwa abiria bila kujali vikongwe au wazawazito au wagonjwa wote kushuka chini wafikapo Check Point hiyo ili kukaguliwa vitambulisho vya kura au uraia. Kwa kweli mantiki yake haionikani kwani kwa mtu yoyote ambae uraia wake au mhalifu hawezi kupitia through check points.

Hili linatukera. Wenye dhamana ya Nchi Liangalieni hili.
 
Ni kero lakini tz tuko free mno wageni kuingia.Mfano mpakani mwa kenya na tz ,mtz ukikutwa ndani ya kenya baada ya saa 11 jioni hujavuka lazima ulale gerezani na hawana subira na wewe. Lakini wao na pikipiki zao na magari wanavuka wako tz hadi saa 5 ucku wako baa wanakunywa.

Na km vp anachukua lodge analala na hamna tabu kabisa.Kenya wako strict kwelikweli na omba ucje kamatwa na hao nyang'au halafu we Ni mtz.
 
Ni kero lakini tz tuko free mno wageni kuingia.Mfano mpakani mwa kenya na tz ,mtz ukikutwa ndani ya kenya baada ya saa 11 jioni hujavuka lazima ulale gerezani na hawana subira na wewe. Lakini wao na pikipiki zao na magari wanavuka wako tz hadi saa 5 ucku wako baa wanakunywa.Na km vp anachukua lodge analala na hamna tabu kabisa.Kenya wako strict kwelikweli na omba ucje kamatwa na hao nyang'au halafu we Ni mtz.

Hhha kweliii Mkuu...kuna watz wengi sana wamefungwa Kenya na wengine hata ndugu zao hawana habari
 
Mkuu hyo ni kawaida mkuu,,safiri japo Mozambique ,,na south Africa utajionea zaidi ya hayo...
 
Ni sawa,hizo njia zinapitishaga waethiopia na wasomali,wahamiaji haramu
 
Ni kero lakini tz tuko free mno wageni kuingia.Mfano mpakani mwa kenya na tz ,mtz ukikutwa ndani ya kenya baada ya saa 11 jioni hujavuka lazima ulale gerezani na hawana subira na wewe. Lakini wao na pikipiki zao na magari wanavuka wako tz hadi saa 5 ucku wako baa wanakunywa.Na km vp anachukua lodge analala na hamna tabu kabisa.Kenya wako strict kwelikweli na omba ucje kamatwa na hao nyang'au halafu we Ni mtz.
Hahahaha! Hata huko Kenya wanasema polisi na maofisa wa uhamiaji wa Tanzania wapo strict sana. Kila mmoja huma upande wake una unafaa.. Kweli muwamba ngoma ngozi huvutia kwake.
 
Ni kero lakini tz tuko free mno wageni kuingia.Mfano mpakani mwa kenya na tz ,mtz ukikutwa ndani ya kenya baada ya saa 11 jioni hujavuka lazima ulale gerezani na hawana subira na wewe. Lakini wao na pikipiki zao na magari wanavuka wako tz hadi saa 5 ucku wako baa wanakunywa.Na km vp anachukua lodge analala na hamna tabu kabisa.Kenya wako strict kwelikweli na omba ucje kamatwa na hao nyang'au halafu we Ni mtz.
 
Mkuu acha watu wafanye kazi zao, maana wakiwaachia Sana kukitokea majanga mtakua wa Kwanza kulalamika kua hakuna Jambo linafanyika mpakani sababu ya free movement za maraia.

Ijapokua Kuna uwezekano wa kupitia porini Kama ulivyosema lakini hii ya kukagua inasaidia kupunguza urahisi wa kuingia maana akipitia porini akikamatika tunajua kabisa sio mwema.
 
Kukagua sio kosa mkuu ni kwa ajili ya kuwapata wahamiaji haramu

Kuna siku tulikaguliwa pale mikese morogoro walipatikana wasomalia wasio na vibali zaidi ya 30 wakiwa wamepanda ma bus ma 4 tofauti wanaenda kyela
 
Ni kero lakini tz tuko free mno wageni kuingia.Mfano mpakani mwa kenya na tz ,mtz ukikutwa ndani ya kenya baada ya saa 11 jioni hujavuka lazima ulale gerezani na hawana subira na wewe. Lakini wao na pikipiki zao na magari wanavuka wako tz hadi saa 5 ucku wako baa wanakunywa.Na km vp anachukua lodge analala na hamna tabu kabisa.Kenya wako strict kwelikweli na omba ucje kamatwa na hao nyang'au halafu we Ni mtz.
well said bro!!
 
Hiyo ndo kazi ya uhamiaji siyo kutafuta wagombea Udiwani wa CHADEMA na kuwavua uraia kwa muda mpaka muda wa kurudisha fomu upite.
 
Tembea na kitambulisho usilete mazoea. Nenda msumbiji ndio utaelewa vizuri, hadi bar na dukani unakaguliwa
 
Kukagua sio kosa mkuu ni kwa ajili ya kuwapata wahamiaji haramu

Kuna siku tulikaguliwa pale mikese morogoro walipatikana wasomalia wasio na vibali zaidi ya 30 wakiwa wamepanda ma bus ma 4 tofauti wanaenda kyela
Hivi kweli wewa ukiwa Mhamiaji Haramu au una biashara haramu utathubutu kupitia Check Points, hili mbona haliniingii akililini. Kwa ambao wana experience hii adha.
 
Back
Top Bottom