Chuki iliyopo mtaani kuhusu Tanesco kukata umeme hovyo ni kubwa na inatisha!
Shughuli nyingi za kujikwamua kiuchumi hasa kwa vijana mfano Saloon, uchomeleaji wa vitanda, milango na madirisha unakwamishwa kwa kiwango cha kukatisha tamaa.
CCM lisimamieni hilo kwa kuwataka wateule wanaohusika...