Hebu tuitazame ZESCO ya Zambia na TANESCO ya Tanzania kisha tujiulize what went wrong

The Assassin

JF-Expert Member
Oct 30, 2018
4,355
17,321
1. Zesco ni shirika la umeme Zambia kama ilivyo TANESCO ya Tanzania.

2. Zesco wana umeme ama wanazalisha umeme unakaribia Megawati 3700 ama 3.7GW huku Tanesco ikizalisha umeme uziozidi megawati 1700.

3. Zambia ina watu wasiozidi 20M, Tanzania ina watu zaidi ya milioni 61.

4. Zesco ama Zambia 80% ya umeme wao ni wa maji, 20% ndio makaa ya mawe, mafuta mazito na thermal. Tanzania 31% ni maji, 50% Gesi na vyanzo vingine.

5. 2024 Zesco watawasha/commissioning umeme wa Solar wa Megawati 2,000 mjini Lusaka, sawa na Bwawa la Mwalimu Nyerere hapa Tanzania. Tanzania tunategemea Bwawa la Mwalimu Nyerere mwaka 2024.

6. Zambia ama Zesco watarajia kua na umeme unazidi Megawati 7,000 kwa mwaka 2026 Tanzania bado tutakua na Megawati 3,700 baada ya mwalimu Nyerere.

7. Wakati Wazambia wakibuni na kuendeleza vyanzo vipya vya umeme kama Maji, makaa ya mawe nk. Tanzania haina mradi wa hivi karibuni wa kuzalisha umeme kwa miaka 2 ama 3 ijayo. Kama ipo badi hata kuanza bado.

8. Ukiacha Burundi na Rwanda, hakuna nchi kusini mwa jangwa la sahara ambayo Tanzania inaizidi uwezo wa kuzalisha umeme.

9. Swali, je wakati wenzetu wanaongeza vyanzo vipya vya umeme sisi Tulikua wapi?

Makamba na Maharage kwa miaka 2 wameshindwa kuendeleza hata mradi mmoja wa megawati 10 pale Tanesco, kila siku ilikua ni publicity na media coverage, haijawahi kutokea, haijawahi kutokea kwa miaka 2. Wameondoka hakuna legacy yoyote walioacha pale.

Shida iko wapi wakuu, kama taifa tunakwama wapi?
 
Me nilikua nashangaa waziri mzima kajitengea kabisa bajeti yeye na waandishi wa habari kijiji kwa kijiji anagawa mitungi mitatu ya gesi anarushwa kwenye taarifa ya habari nkawa najiuliza ivi uko wizarani hamna shughuli za kufanya?

Hatimae ndo nmepata majibu kwa huu mgao unaoendelea
 
Tatizo ni CCM na Serikali kwa ujumla ,na imefanikiwa kuaminisha wananchi kwamba sisi ni maskini , hatuwezi fanya kitu bila mataifa yaliyoendelea ,hakuna chama kinachoweza ongoza hii nchi nje ya CCM ,Umeme wa maji umepitwa na wakati huku Nchi nyingi zilizoendelea bado zinaongeza vyanzo vya umeme wa maji eg China na propaganda nyingi zinatumika kuhakikisha wanaendelea kuwepo madarakani .​
 
1. Zesco ni shirika la umeme Zambia kama ilivyo TANESCO ya Tanzania.

2. Zesco wana umeme ama wanazalisha umeme unakaribia Megawati 3700 ama 3.7GW huku Tanesco ikizalisha umeme uziozidi megawati 1700.

3. Zambia ina watu wasiozidi 20M, Tanzania ina watu zaidi ya milioni 61.

4. Zesco ama Zambia 80% ya umeme wao ni wa maji, 20% ndio makaa ya mawe, mafuta mazito na thermal. Tanzania 31% ni maji, 50% Gesi na vyanzo vingine.

5. 2024 Zesco watawasha/commissioning umeme wa Solar wa Megawati 2,000 mjini Lusaka, sawa na Bwawa la Mwalimu Nyerere hapa Tanzania. Tanzania tunategemea Bwawa la Mwalimu Nyerere mwaka 2024.

6. Zambia ama Zesco watarajia kua na umeme unazidi Megawati 7,000 kwa mwaka 2026 Tanzania bado tutakua na Megawati 3,700 baada ya mwalimu Nyerere.

7. Wakati Wazambia wakibuni na kuendeleza vyanzo vipya vya umeme kama Maji, makaa ya mawe nk. Tanzania haina mradi wa hivi karibuni wa kuzalisha umeme kwa miaka 2 ama 3 ijayo. Kama ipo badi hata kuanza bado.

8. Ukiacha Burundi na Rwanda, hakuna nchi kusini mwa jangwa la sahara ambayo Tanzania inaizidi uwezo wa kuzalisha umeme.

9. Swali, je wakati wenzetu wanaongeza vyanzo vipya vya umeme sisi Tulikua wapi?

Makamba na Maharage kwa miaka 2 wameshindwa kuendeleza hata mradi mmoja wa megawati 10 pale Tanesco, kila siku ilikua ni publicity na media coverage, haijawahi kutokea, haijawahi kutokea kwa miaka 2. Wameondoka hakuna legacy yoyote walioacha pale.

Shida iko wapi wakuu, kama taifa tunakwama wapi?
Zambia wana Democrasia ya kweli hakuna kumchagua mtoto wa dada wau rafiki kwenye vyeo lazima wawe mbali Tz siasa,ukanda na undugunaisation vimetuacha ktk janga la kitaifa🤐
 
1. Zesco ni shirika la umeme Zambia kama ilivyo TANESCO ya Tanzania.

2. Zesco wana umeme ama wanazalisha umeme unakaribia Megawati 3700 ama 3.7GW huku Tanesco ikizalisha umeme uziozidi megawati 1700.

3. Zambia ina watu wasiozidi 20M, Tanzania ina watu zaidi ya milioni 61.

4. Zesco ama Zambia 80% ya umeme wao ni wa maji, 20% ndio makaa ya mawe, mafuta mazito na thermal. Tanzania 31% ni maji, 50% Gesi na vyanzo vingine.

5. 2024 Zesco watawasha/commissioning umeme wa Solar wa Megawati 2,000 mjini Lusaka, sawa na Bwawa la Mwalimu Nyerere hapa Tanzania. Tanzania tunategemea Bwawa la Mwalimu Nyerere mwaka 2024.

6. Zambia ama Zesco watarajia kua na umeme unazidi Megawati 7,000 kwa mwaka 2026 Tanzania bado tutakua na Megawati 3,700 baada ya mwalimu Nyerere.

7. Wakati Wazambia wakibuni na kuendeleza vyanzo vipya vya umeme kama Maji, makaa ya mawe nk. Tanzania haina mradi wa hivi karibuni wa kuzalisha umeme kwa miaka 2 ama 3 ijayo. Kama ipo badi hata kuanza bado.

8. Ukiacha Burundi na Rwanda, hakuna nchi kusini mwa jangwa la sahara ambayo Tanzania inaizidi uwezo wa kuzalisha umeme.

9. Swali, je wakati wenzetu wanaongeza vyanzo vipya vya umeme sisi Tulikua wapi?

Makamba na Maharage kwa miaka 2 wameshindwa kuendeleza hata mradi mmoja wa megawati 10 pale Tanesco, kila siku ilikua ni publicity na media coverage, haijawahi kutokea, haijawahi kutokea kwa miaka 2. Wameondoka hakuna legacy yoyote walioacha pale.

Shida iko wapi wakuu, kama taifa tunakwama wapi?
Kwanza ukumbuke kwamba Makamba na maharage ni vilaza waliokutanishwa Tanesco na Mama SAMIA, ktk kichwa cha kilaza,jumlisha degree na masters za mchongo LAZIMA jibu liwe ni sifuri.Pili ss Tanzania mpaka dakika hii akili inayotumika kuongoza nchi ni ya vilaza watupu wasio na jipya wala creativity yoyote.Tatu hatujapata nafasi ya kubadilisha chama kuongoza hivyo kupata akili mbadala kwa ajili ya maendeleo.Hayo ndio yanalitesa Taifa nchi imeatamiwa na vilaza na wapumbavu wasio akili ya kujenga nchi.
 
1. Zesco ni shirika la umeme Zambia kama ilivyo TANESCO ya Tanzania.

2. Zesco wana umeme ama wanazalisha umeme unakaribia Megawati 3700 ama 3.7GW huku Tanesco ikizalisha umeme uziozidi megawati 1700.

3. Zambia ina watu wasiozidi 20M, Tanzania ina watu zaidi ya milioni 61.

4. Zesco ama Zambia 80% ya umeme wao ni wa maji, 20% ndio makaa ya mawe, mafuta mazito na thermal. Tanzania 31% ni maji, 50% Gesi na vyanzo vingine.

5. 2024 Zesco watawasha/commissioning umeme wa Solar wa Megawati 2,000 mjini Lusaka, sawa na Bwawa la Mwalimu Nyerere hapa Tanzania. Tanzania tunategemea Bwawa la Mwalimu Nyerere mwaka 2024.

6. Zambia ama Zesco watarajia kua na umeme unazidi Megawati 7,000 kwa mwaka 2026 Tanzania bado tutakua na Megawati 3,700 baada ya mwalimu Nyerere.

7. Wakati Wazambia wakibuni na kuendeleza vyanzo vipya vya umeme kama Maji, makaa ya mawe nk. Tanzania haina mradi wa hivi karibuni wa kuzalisha umeme kwa miaka 2 ama 3 ijayo. Kama ipo badi hata kuanza bado.

8. Ukiacha Burundi na Rwanda, hakuna nchi kusini mwa jangwa la sahara ambayo Tanzania inaizidi uwezo wa kuzalisha umeme.

9. Swali, je wakati wenzetu wanaongeza vyanzo vipya vya umeme sisi Tulikua wapi?

Makamba na Maharage kwa miaka 2 wameshindwa kuendeleza hata mradi mmoja wa megawati 10 pale Tanesco, kila siku ilikua ni publicity na media coverage, haijawahi kutokea, haijawahi kutokea kwa miaka 2. Wameondoka hakuna legacy yoyote walioacha pale.

Shida iko wapi wakuu, kama taifa tunakwama wapi?
Kuiba mitihani ni Mipango yetu
 
Zambia,utaifa kwanza, Chama ndiyo kinafuata. Kama wewe ni mzambia na una Sera na mipango mizuri, wananchi wanakupatia uongozi, ulete maendeleo au utimize ahadi zako, usipotimiza wenye nchi wanakushusha chini, ndiyo maana wazambia wanapata maendeleo.
 
Kwanza ukumbuke kwamba Makamba na maharage ni vilaza waliokutanishwa Tanesco na Mama SAMIA, ktk kichwa cha kilaza,jumlisha degree na masters za mchongo LAZIMA jibu liwe ni sifuri.Pili ss Tanzania mpaka dakika hii akili inayotumika kuongoza nchi ni ya vilaza watupu wasio na jipya wala creativity yoyote.Tatu hatujapata nafasi ya kubadilisha chama kuongoza hivyo kupata akili mbadala kwa ajili ya maendeleo.Hayo ndio yanalitesa Taifa nchi imeatamiwa na vilaza na wapumbavu wasio akili ya kujenga nchi.
Umenena ukweli usio na shaka, yaani mtu anatuhuma za kuiba mitihani ndo waziri, hivi ni vichekesho, Kuna mmoja ni CEO wa kampuni yetu, wanadai alipata zero mtihani wa kidato Cha Nne, lakini Cha kushangaza alipata degree na masters na sasa ni Honorable causa
 
Mkuu ungeweka na bei ya Umeme Zambia Tsh 5000 ya Tanzania unapata karibu unit 98 na muda mwingine wanatoa Bonus zinafika 110 unapika kwa kutumia Jiko la umeme na vitu vingine vipo unafika mwezi mzima kwa matumizi wanatushangaa huku kuwa Matumizi ya Umeme kuwa juu kama tupo Hong Kong...wanasema Tanzania maisha yapo ghari sana
 
Mkuu ungeweka na bei ya Umeme Zambia Tsh 5000 ya Tanzania unapata karibu unit 98 na muda mwingine wanatoa Bonus zinafika 110 unapika kwa kutumia Jiko la umeme na vitu vingine vipo unafika mwezi mzima kwa matumizi wanatushangaa huku kuwa Matumizi ya Umeme kuwa juu kama tupo Hong Kong...wanasema Tanzania maisha yapo ghari sana
Congo hawana mita!! Umeme ukitoka kwenye nguzo unaingia ndani moja kwa moja
 
Back
Top Bottom