ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,964
- 3,895
Katika sehemu au shirika lililoboronga EWURA ni namba moja, ikifuatiwa na TANESCO, ILA Mabadiliko yaliyofanyika hayajagusa kabisa EWURA, na sisi wananchi tunashangaa jambo hili.
Tulitegemea EWURA nao waguswe, ila wameguswa wengine, Kuna Nini hapa , mana hata sielewi kabisa, Kilichomponza maharage si kwamba ni mtendaji mbaya Bali ni Kwa sababu ya ukaribu wake na Makamba ambaye naye anawindwa vikali na Sukuma Gang.
Tulitegemea EWURA nao waguswe, ila wameguswa wengine, Kuna Nini hapa , mana hata sielewi kabisa, Kilichomponza maharage si kwamba ni mtendaji mbaya Bali ni Kwa sababu ya ukaribu wake na Makamba ambaye naye anawindwa vikali na Sukuma Gang.