tamisemi

  1. N

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mtumishi TAMISEMI Dodoma aliyekutwa kafa ndani gari kwenye maegesho ya hoteli ya Morena, stori yake inasikitisha sana

    Wanabodi,nimepewa story na mtu wa karibu na marehemu kuwa huenda kilichosababisha jamaa kujiua ni pamoja na misukosuko ya ndoa yake. Inasemekana marehemu alikuwa akiishi vizuri tu na mke wake na alimuoa kipindi jamaa yuko TAMISEMI kashaajiriwa. Baada ya kuoa akaamua kumpeleka kumsomesha wife...
  2. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Kwa uchafu unaoendelea nchi nzima ni vema Waziri wa Tamisemi akajiuzulu au atimuliwe

    Huu ujinga unaotendwa na watendaji wa vijiji na kata nchi nzima wa kuhakikisha fomu za wagombea wa upinzani hazipokelewi kwa udi na uvumba, haujawahi kuwepo kwa kiwango kama hiki tangu nipate akili, sijawahi kuona serikali ya ccm isiyojiamini kama hii tangu nchi hii iachwe na wakoloni, ni aibu...
  3. J

    JamiiForums Tanzania Waziri Jaffo ampa siku 14 DC wa Iringa Mjini kukamilisha ujenzi wa Hospitali ya Wilaya

    Waziri wa Tamisemi mh Jaffo amesikitishwa na viongozi wa mkoa wa Iringa kushindwa kujenga hospitali ya wilaya kwa wakati. Mh Jaffo amempa siku 14 mkuu wa wilaya ya Iringa mh Kasesela awe amekamilisha ujenzi huo kwa 100% vinginevyo wasilaumiane. DC Kasesela ameahidi kukamilisha ujenzi huo ndani...
  4. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania TAMISEMI tunaomba majumuisho ya mapato ya kila halmashauri kwa mwaka 2018/2019 kwenye tovuti yenu

    Hadi sasa Tumeingia robo ya pili kwa mwaka 2019/20 lakini tovuti yenu haina majumuisho ya mapato ya kila halmashauri kwa mwaka wa fedha 2018/19. Waziri wakati anatangaza alisema watu wa mapato wanafanya usuluhishi wa mahesabu ndio wataweka, lakini tovuti haina kitu zaidi ya taarifa za mapato ya...
  5. Abraham Vardy

    JamiiForums Tanzania Tetesi: TARURA Wanafeli

    Wakati Mh Rais Magufuli anataka kusogeza huduma kwa wananchi kwa kuwahudumia kwa ukaribu zaidi wilayani Tarura wakala wa barabara vijijini wanapanga kulipa watumishi wake wahamie ofisi za mkoa. Fedha hizo zingetumika kufunga mifumo ya ulipaji kila wilaya. Huu ni ubadhilifu mkubwa wa fedha za...
  6. hashimrashidy

    JamiiForums Tanzania Mfumo wa *Online Teachers Applications System(OTEAS)* upo hewani. Waombaji wa kazi za ualimu wanaweza kuendelea.

    *Muhimu* 1. Hakikisha upo katika internet nzuri. 2. Nyaraka ziwe katika pdf na kila moja isizidi 1Mb. 3. Mwombaji akiwa na changamoto apige simu zilizopo kwenye video manual. 4. Deadline ya kuwasilisha maombi ni 15.03.2019. Kila la kheri DICT TAMISEMI. 04.03.2019 BONYEZA HAPA KUPATA MAELEKEZO...
  7. Interest

    JamiiForums Tanzania Spika Ndugai: TAMISEMI inaniudhi sana; kwanini inapora Madaraka ya Halmashauri?

    Dodoma. Spika wa Bunge, Job Ndugai amepinga mpango wa Serikali wa kuwapangia vituo vya kazi moja kwa moja walimu wanaoajiriwa, akihoji ni kwanini inapoka madaraka ya Halmashauri. Ndugai ametoa kauli hiyo leo Jumamosi Desemba 23, 2017 ikiwa ni siku moja baada Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais...
Back
Top Bottom