Kim Jong Un
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 496
- 258
Wanabodi Muundo wa wizara ya TAMISEMI ulivyo unaanzia kwa Rais mwenyewe kama waziri Mwenye mamlaka ya hii wizara.
Kwamfano mamlaka ya kuteua baadhi ya nafasi Huko halmashauri yapo Chini ya waziri na Rais anateua hizo nafasi kwasababu yeye ndo mwenye dhamana ya wizara.
Hivyo maamuzi yeyote kutoka TAMISEMI yanastahili kutoka kwake Rais.
Kwamfano mamlaka ya kuteua baadhi ya nafasi Huko halmashauri yapo Chini ya waziri na Rais anateua hizo nafasi kwasababu yeye ndo mwenye dhamana ya wizara.
Hivyo maamuzi yeyote kutoka TAMISEMI yanastahili kutoka kwake Rais.