Abraham Vardy
Member
- Oct 11, 2019
- 5
- 0
Wakati Mh Rais Magufuli anataka kusogeza huduma kwa wananchi kwa kuwahudumia kwa ukaribu zaidi wilayani Tarura wakala wa barabara vijijini wanapanga kulipa watumishi wake wahamie ofisi za mkoa. Fedha hizo zingetumika kufunga mifumo ya ulipaji kila wilaya. Huu ni ubadhilifu mkubwa wa fedha za serikali na kuzidi kuwakimbia wananchi.