tajiri

  1. figganigga

    JamiiForums Tanzania Hakika Tanzania ni Tajiri hadi maji yanawaka

    Halafu Matajiri wanamuweka Rais wetu mfukoni kwa Gharama ya Bilioni 10 kwa mgongo wa Harambee ili waendelee kuchota maji. Hata hawataki tujue maji yanawaka
  2. N

    JamiiForums Tanzania Mama Mobeto amnyakua mume wa tajiri Jesca kitambaa cheupe. Ama kweli mashangazi ni hatari

    Yaliyojiri siku za karibuni, Kuna taarifa kwamba mama yake Hamisa Mobeto ambae ni Mama Mobetto amemnyakua bwana/ mume wa boss wa kitambaa cheupe Jesca Kikumbi. Kufuatia mnyakuo huo bi Jesca amedata na kwenda vacation huko Serengeti, Huku akionyesha mwili wake mzuri kwa mavazi ya kuogelea, kitu...
  3. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Nimeghairi kuwa tajiri

    Aah basi Tu nimejikinai nishaona hakuna dalili za kutoboa nimeridhikiwa nimeona niishie level hii hii inanitosha.mahitaji ya msingi ni malazi,mavazi na chakula mengine sitaki tutawasindikiza ndotoni usiku. Maana nimeona wananipa pressure wanadamu kwamba ooh unakunywa pombe huwezi kutajirika...
  4. Mstahiki Mea

    JamiiForums Tanzania Tajiri wa dunia

    Elon Musk is now officially worth $405.6 billion, projected to become the world’s first trillionaire by 2027. Becoming the second wealthiest man in Africans history and worldwide. He is original from South Africa. If nations were determined through wealth , Republic of Elon Musk would be a...
  5. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Kumbe kuna Timu ilimtaka Jonathan Sowah kwa Mkopo kama ilivyozea huku ikijitamba ni Tajiri na ina Mtu wao huko huko alikotoka Sowah?

    Mwenye nae aliwaambia pamoja na kwamba Mimi ni Mwenzenu na nawapenda mno halafu nimeshawapeni sana Wacherzaji wazuri kwa bure bure ila kwa huyu Jonathan Sowah siwapeni hadi mniingizie Shilingi Bilioni 1 ili inisaidie pia katika Kampeni zangu Mkoa wenye Wanawake wazuri, wepesi Kutongozeka na...
  6. Boss la DP World

    JamiiForums Tanzania Tajiri yenu anaeleweka au nije mniuzie hiyo timu?

    Ndugu zangu nadhani mmeona manufaa ya kuniuzia bandari, mnaonaje mkiniuzia na hii timu inayo suasua?
  7. J

    JamiiForums Tanzania Kisa Cha kweli cha Rafiki yangu Tajiri ambaye kwa sasa anaokota Makopo

    Tafadhali naomba usikilize radio yetu hapa kisha add kama favorite Jesus News Radio Leo nataka nikupe kisa cha kweli cha rafiki yangu wa O-level. Mwamba huyu aliyetoka familia ya kawaida kabisa, lakini alikuwa na kiu ya mafanikio isiyo na mfano. Tukiwa shule hakuwa mwanafunzi wa kushika namba...
  8. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Nasikia Tajiri Kakasirika na kaachia Mzigo wa maana wa Usajili hivyo kuanzia Wiki hii ni Vyuma tu Vinashuka Lawama Kugombana Sports Club

    Wadanganyeni wengine ila siyo Mimi oky?
  9. Ndagullachrles

    JamiiForums Tanzania Tajiri Temba Watch amchapa risasi kijana huko Kilimanjaro

    ISIDORI Temba yupo kitandani ghorofa na pili Hospital ya rufaa ya Kanda ya KCMC akiendelea na matibabu ya jeraha la risasi analodaiwa kupigwa na mfanyabiashara muuza vifaa vya kielektloniki la Temba Watch lililopo Double Road mjini moshi. mfanyabiashara huyo kwa sasa yupo mikononi mwa polisi...
  10. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Mainfluensa njaa na uchwara wa Simba SC Wiki nzima walitiuaminisha kuwa Tajiri keshamalizana na Kiungo Conte, mbona sasa keshasinya Yanga SC?

    Halafu kutwa nikiwa nasema hapa kuwa Mo Dewji si Mtu sahihi Simba SC na Simba SC ya sasa imejaa Fools hamniamini.
  11. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Nikiwa mkuu wa mkoa wa Tabora nitahakikisha mkoa unakuwa tajiri kwa kuzalisha pombe ya asali(Mead)

    Wakuu mi sitaki vyeo vikubwa kama ndugu Dennis Robert Shughuru , ukuu wa mkoa tu unanitosha. Pombe/wine ya asali ni pombe moja ghali sababu ya ughali wa asali. Tanzania ni ya pili Afrika baada ya Ethiopia kwa uzalishaji wa asali. Mkoa wa Tabora ni mkoa unaoongoza kwa kuzalisha zao hilo nchini...
  12. jamaikatz

    JamiiForums Tanzania Maisha magumu, Dunia haina huruma, duniani unaishi kwa mateso na bado ukifa unaenda kuteseka, bora kuwa tajiri wa ushirikina

    Sisi binadamu tunaishi maisha yenye dhambi sana duniani, bado ni maskini lakini tunazidi kufanya maovu unafikiri siku ukifa je utaenda peponi hilo ni jambo gumu sana, ni bora uishi maisha ya raha yenye utajiri, yenye dhambi na hata kwa kutoa kafara ila tu umeifaidi dunia, kuliko kuishi maisha...
  13. Muimba SINGELI

    JamiiForums Tanzania Tajiri Sina BAYA nimefilisika kwa sasa ni kijana Masikini kama zamani

    Ilikuwa ni taarifa tu nisiwachoshe wapambanaji, endeleeni na Threads za msingi zenye mustakabali wa kulijenga taifa letu. Niwatakie jioni njema. dosho12 Harmful Mama Ndege Intelligent businessman
  14. The redemeer

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kuwa tajiri kwa njia ya nuru kupitia malaika wako

    Njia ya kuwa tajiri kwa kutumia Nuru (mwanga wa kiroho) na msaada wa malaika wa mwanga (divine angels) inahusisha kujenga muunganiko wa kina wa kiroho, nidhamu ya kiroho, na mazoea ya kiimani ambayo huamsha nguvu za mbinguni ndani yako na kuvuta baraka za kiroho na kifedha. Hapa chini ni...
  15. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Kumbe tajiri kataitishwa na hamsemi?

    GENTAMYCINE alijitamba sana kuwa wao ni watu wa kimya kimya na ndio imetoka hiyo. Haya boss kubwa kataitishwa katema bungo na ratiba ni kama ilivyopangwa :p :p:p Pole sana GENTAMYCINE pia pole kwa boss najua baada ya hekaheka hizi atazira.
  16. Fbn

    JamiiForums Tanzania Mfanyabiashara Tajiri wa India Afariki Ghafla Uwanjani Baada ya Kumeza Nyuki

    Tajiri mwenye asili ya India, mwenye umri wa miaka 53 na mpenzi maarufu wa mchezo wa polo, ambaye pia alikuwa karibu sana na Prince William, amefariki dunia kwa kusikitisha wakati wa mechi ya polo huko Windsor mnamo Juni 12. Mashuhuda wanasema alilalamika ghafla akisema, “Nimekimeza kitu,” na...
  17. kyagata

    JamiiForums Tanzania Huyu tajiri wa mabasi ya Jonhavia investment ni nani hapo Musoma?

    Siku za hivi karibuni hii kampuni ya Jonhavia investment yenye makao makuu yake Musoma mkoani mara imekua ikitoa ushindani kwa wakongwe wa kanda ya ziwa,jamaa nadhani kila mwezi anaingiza vyuma vipya barabarani. Ningependa kumjua huyu mmiliki ni nani hapo Musoma?
  18. FYATU

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu Muha tajiri wa Tanroad

    Ananisimulia Bukembe Mtobo, rafiki wa Muha. Baada ya mambo kuniendea kombo mjini Arusha au Chuga kama waitavyo wengine. niliamua kukimbilia jijini Dar ili kuunusuru mtaji mdogo uliosalia. Mwaka mmoja baadae nikiwa jiji Dar mambo bado hayakwenda kama nilivyotarajia. Nilifilisika kabisa. Ndipo...
  19. M

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Tanzania ndio nchi pekee kusini mwajangwa la Sahara ambayo tajiri na masikini wanalingana kwa tofauti nyembamba ya kipato

    === Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha ubia nchini Tanzania PPPC Bwana David Kafulila akiwa katika mahojiano na kituo cha runinga cha ITV kwenye kipindi maarufu zaidi cha DK 45 kinachoongwa na mwanadada machachari Ms Farhia Medley, Pamoja na mambo mengine Mkurugenzi Kafulila akirejelea ripoti ya...
  20. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Unaweza kuwa tajiri kwa kuwekeza kwenye Betting

    Najua wengi humu mtabisha maana mnajifanya mnagwajimanize kila kitu. Nilichokisema nakijua kiundani na ninamaanisha kuwekeza rasilimali ulizonazo kwenye betting. Utavuna mabilioni ya pesa ndani ya muda mfupi hadi watu wakuonee wivu na kukuita majina ya ajabu. Chakufanya funguackampuni ya...
Back
Top Bottom