taifa

The taifas (singular taifa, from Arabic: طائفة‎ ṭā'ifa, plural طوائف ṭawā'if, a party, band or faction) were the independent Muslim principalities of al-Andalus (Spain) that emerged from the decline and fall of the Umayyad Caliphate of Córdoba between 1009 and 1031. They were a recurring feature of Andalusian history. Conquered by the Almoravids in the late 11th century, on its collapse many taifas re-appeared only to be subsumed by the Almohads. The fall of the latter resulted in a final flourishing of the taifas, but by the end of the 13th century only one remained, Granada, the rest being incorporated into the Christian states of the north.

View More On Wikipedia.org
  1. GoldDhahabu

    JamiiForums Tanzania Zanzibar ni nchi au Taifa?

    Kwa Kizungu, nchi ni COUNTRY na Taifa ni NATION. TAFSIRI: COUNTRY - a nation with its own government, occupying a particular territory. NATION - a large body of people united by common descent, history, culture or language, inhabiting a particular country or territory. Kwa mujibu wa Katiba ya...
  2. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Tunahitaji mjadala wa kitaifa kuhusu umri sahihi wa mtu kuitwa kijana

    Binafsi mimi ni kijana mdogo wa miaka 38 na mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi. Huu uzi umeandikwa na kijana. Pamoja na kujitambulisha ila kama kichwa cha habari kinavyosomeka imefika sehemu kama taifa tunahitaji mjadala kuhusu upi ni umri sahihi wa mtu kuendelea kuitwa kijana tofauti na hali...
  3. D

    JamiiForums Tanzania Taifa stars wa rebuild kikosi kwa yanga kwa afcon ya 2027. Kama South Africa Mamelodi, here is why?

    Reasons 1. Players chemistry yanga wana players chemistry nzuri sana . One the best in Tanzania 🇹🇿 . 2 : GAMONDI BALL mpira upo chini. Awabutui . Wa nafanya build up vizuri . Creativity . The best manager in football in tz 3: DEVELOPMENT IN YOUTH : youth wa napewa time in yanga. Na mpira...
  4. Msanii

    JamiiForums Tanzania Tunataka kuwa Taifa takatifu? Bila sexual workers? Tufanye haya

    Ripoti zote za mkaguzi wa hesabu za serikali (CAG) zifanyiwekazi bila uonevu wala kuoneana haya Sauti ya umma isikilizwe na kuheshimiwa Polisi waishi kwenye viapo vyao wasivuke mipaka ya PGO Utawala Bora iwe ni mandatory siyo option Kuku wote watagie bandani (wenye akili wamenielewa) Baada ya...
  5. G

    JamiiForums Tanzania Kiingereza kimetuaibisha tena, Mzungu kugawa vitabu kwa watoto na kuzushiwa vitabu havifai bila kuelewa kilichoandikwa ni fedheha na aibu kwa taifa

    UZI UMEFUNGWA >> Kuna ushahidi usio na shaka kwamba ni kweli vitabu vinahusu mmonyoko wa maadili
  6. Mjanja M1

    JamiiForums Tanzania Taifa Stars kurudi nchini kwa Awamu (Mafungu)

    Katibu mkuu wa wizara ya Utamaduni, sanaa na Michezo Gerson Msigwa, amesema timu ya taifa "Taifa Stars" itarudi nchini kwa makundi na sio kwa pamoja "Kuna changamoto kidogo ya usafiri. Hatukufanikiwa kupata tiketi za timu nzima kwa mara Moja kwahiyo walioanza kuwasili nchini jana ni wachezaji...
  7. Lidafo

    JamiiForums Tanzania Taifa lisilo kuwa na Umeme wa uhakika ni Taifa liloamua kuwa masikini

    Habari wanajamvi! Kwa muda sasa tatizo la umeme linazidi kumea na hakuna matumaini ya huu mgao kuisha, Najaribu kujiuliza kama Mtanzania hivi serikali imeshindwa kabisa kumaliza tatizo la mgao wa umeme? Sina haja ya kuelezea Faida za nishati hii muhumu kwa maendeleo ya nchi hilo kila mtu...
  8. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Sasa adui wa Taifa la Tanzania si ujinga bali ni upumbavu

    UPUMBAVU ni hali ya mtu au watu waliopata elimu lakini wameshindwa kuitumia kujikomboa wao wenyewe au kuikomboa jamii yao katika adha , dhiki, shida au aina yoyote ya mkwamo. MPUMBAVU, ni mtu alitebahatika kupata elimu lakini kwa makusudi kabisa au kwa kutokujua hawezi kuitumia elimu yake...
  9. Black Legend

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu, ofisi za Hazina ni janga lingine la Taifa

    Kumekuwa na ukilitimba wa hali ya juu ya ufanyaji wa malipo toka ofisi za hadhina mikoa mpaka Taifa. Watumishi au taasisi nyingi zimekuwa zikipata ugumu wa kupata malipo kwa wakati na kutimiza majukumu yao ya Kila siku. Unaweza request fedha zilizotumwa na makao makuu wizarani lakini treasure...
  10. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Simon Msuva basi hata kama uliamua Kumpigia pande huyo Shemeji yako Mzungu Taifa Stars, mbona ana Kiwango kibovu hivyo?

    Halafu hapo hapo tena tukaambiwa kuwa huyo Shemeji yako ( Mchezaji Mweupe kutokea Uingereza ) anacheza Ligi Daraja la Tatu wakati kumbe anacheza Ligi Daraja la Tano Uingereza ambalo kwa huku Kwetu Tanzania ni sawa tu na Ndondo Cup ile ya Shaffih Dauda. Kwahiyo Simon Msuva ( Shemeji Mtu ) na TFF...
  11. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania ONYO; Wafuatao wasithubutu kuilaumu au kuidharau Taifa Stars

    Watu wengi wanailaumu na kuibeza Taifa Stars kwa kufanya vibaya ila wafuatao marufuku hata kufikiria kutamka neno baya dhidi ya Taifa Stars; 1. Kiongozi yeyote mwenye dhamana na michezo ambaye hutafuna pesa za maendeleo ya soka. Badala ya kukuza soka yeye anakuza tumbo lake. 2. Mtu yeyote...
  12. kavulata

    JamiiForums Tanzania Wachezaji 12 wageni kwenye timu ni sumu kwa Taifa stars

    Lawama la kushindwa kwa Taifa stars AFCON kwanza liende kwa TFF kabla ya sehemu nyingine. Timu zetu kubwa kwenye ligi haziandai Wachezaji wa kuichezea timu ya taifa kwakuwa wamepewa ruksa ya kutafuta wachezaji 12 nje ya nchi. Hii inasababisha vijana kama Mzize na wengine wasipate muda wa kukosea...
  13. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Kundi la M23 latangaza uongozi wake katika eneo la Kivu, hofu ya kuundwa taifa huru yaibuka

    DR CONGO: Kundi la Waasi la M23 limeripotiwa kutangaza Uteuzi wa Uongozi wake katika maeneo yaliyopo chini ya udhibiti wake huko Mashariki mwa DRC, hali inayodaiwa kuzua wasiwasi kwamba linapanga kuunda Taifa huru katika eneo hilo. Kupitia taarifa yake iliyochapishwa katika Mtandao wa X (zamani...
  14. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Wimbo wa 'lakini tumejitahidi' usianze Kuimbwa kwa Taifa Stars baada ya Kuaga Mashindano bali lawama ziende kwa Wachezaji kwa Kutopambana hasa

    Na tayari nimeshaanza Kuusikia huu Wimbo ukianza Kuimbwa na Watangazaji kadhaa wa Redio Asubuhi hii na najua kwa sasa baada ya Bahasha za Pesa za Makusanyo za Saidia Taifa Stars kupenyezwa kwa Wahariri, Watangazaji na Wachambuzi na ili Kujikomba kwa Mheshimiwa Rais huu Wimbo utaimbwa kila mara...
  15. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Naomba Kikosi kijacho cha Taifa Stars kiteuliwe kwa Kuangalia Uzalendo, Uchungu na Upambaji wa Beki Ibrahim Baka

    Laiti Wachezaji wote wa Taifa Stars iliyoyaaga Usiku huu Mashindano ya AFCON huko nchini Ivory Coast wangekuwa na Spirit ya Beki Ibrahim Bska nina uhakika Tanzania tusingetolewa mapema hivi. Kwangu Mimi huyu Beki Ibrahim Baka ndiyo ambaye Watanzania tunatakiwa tumpokee kwa Heshima zote...
  16. R

    JamiiForums Tanzania Natoa pongezi nyingi kwa timu yetu ya Taifa kwa kazi kubwa waliyofanya

    Natoa pongezi nyingi kwa timu yetu ya Taifa kwa kazi kubwa waliyofanya. Natoa pongezi kwa wale wote waliofika Ivory Cost kuwapa joto. Natoa pongezi kwa kila mmoja wetu ambaye ni mzalendo anayekubali kwamba kuna kufunga na kufungwa lakini pia kuna droo Vijana wetu na watoto wetu wameupiga mwingi...
  17. R

    JamiiForums Tanzania Mliopanga kuipa Taifa Stars 1.2 Bilion kwa mchezo wa leo hata wakifungwa wapeni Milioni 600 kama kifuta jasho please

    Leo kila Mtanzania anafaraja kwamba baada ya kujitafuta sana leo tumejipata. Siyo kwamba hatuna team ila team inayopelekwa mbele inakosewa. Kikosi cha leo kuna watu waliwaambia kuna 1.2 bilioni, natambua walisema hivyo hawakumaanisha ila tuwashinikize watekeleze. Kama waliweza kuahidi fedha...
  18. Msanii

    JamiiForums Tanzania Katiba ikiheshimiwa na kulindwa basi Taifa litabaki salama na umoja muda wote. Tujifunze kupitia maandamano ya 24/01/2024

    Niwapongeze CHADEMA kwa kuandaa maandamano haya muhimu. Mimi huwa nadeclare interest mara zote kwamba ni mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi. Sijawahi kuwa nje ya chama hiki asilani. Lakini kuna wakati mnauguza mgonjwa na haponi hivyo mnaomba Mungu amtwae kumpunguzia mzigo. Mgonjwa hakimbiwi...
  19. Vincenzo Jr

    JamiiForums Tanzania FT: Tanzania 0 - 0 DR congo | AFCON 2024 | Amadou Gon Coulibaly | 24 .01 .2024

    Leo Jumatano 24.01.2024. Tanzania (Taifa Stars) Tunatupa karata yetu ya tatu katika Mashindano haya ya AFCON 2024 kumenyana na Timu ya Taifa ya DR congo mechi ni saa 5 usiku mungu ibariki Tanzania Kikosi cha Tanzania Kikosi cha DR Congo fiston mayele kaanza leo Mpira Umeanza... Tanzania...
  20. L

    JamiiForums Tanzania Rais Samia atatimiza na kusherehekea Umri wa miaka 64 Jumamosi ya wiki hii, huku Taifa likiwa na imani kubwa kwake

    Ndugu zangu Watanzania, Jumamosi ya wiki hii ya Tarehe 27 januari 2024 Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania Mama Samia Suluhu Hasssan, mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nuru ya wanyonge na nyota ya matumaini atakuwa...
Back
Top Bottom