Salaam,Shalom.
Mimi ni Mtanzania mzalendo wa Nchi yangu nzuri Tanzania, naijua thamani ya Bendera ya Taifa LANGU.
Bendera yetu ya Taifa Ina RANGI kuu nne, Bluu, Njano, Kijani na Nyeusi. RANGI hizo za Bendera ya Taifa naziona katika sakafu za ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Sitaki kuhoji Uzalendo wa mtoa wazo la kupaka RANGI za Bendera ya Taifa katika sakafu za ndani ya Bunge la JMT, inawezekana, mtoa wazo Hilo alisukumwa na Uzalendo uliopitiliza.
Kwa maoni yangu kama Mtanzania, bendera au RANGI za Bendera Inatakiwa iwekwe juu, ukutani, au katika nguzo, Si katika sakafu.
Ninashauri yafanyike marekebisho, RANGI hizo ziondolewe chini, ikae red carpet pekee.
MUNGU ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni🙏
Mimi ni Mtanzania mzalendo wa Nchi yangu nzuri Tanzania, naijua thamani ya Bendera ya Taifa LANGU.
Bendera yetu ya Taifa Ina RANGI kuu nne, Bluu, Njano, Kijani na Nyeusi. RANGI hizo za Bendera ya Taifa naziona katika sakafu za ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Sitaki kuhoji Uzalendo wa mtoa wazo la kupaka RANGI za Bendera ya Taifa katika sakafu za ndani ya Bunge la JMT, inawezekana, mtoa wazo Hilo alisukumwa na Uzalendo uliopitiliza.
Kwa maoni yangu kama Mtanzania, bendera au RANGI za Bendera Inatakiwa iwekwe juu, ukutani, au katika nguzo, Si katika sakafu.
Ninashauri yafanyike marekebisho, RANGI hizo ziondolewe chini, ikae red carpet pekee.
MUNGU ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni🙏