Wanariadha 9 Kuliwakilisha Taifa kwenye Mashindano ya Dunia ya Nyika, Belgrade Nchini Serbia

Melubo Letema

JF-Expert Member
Apr 1, 2020
310
288
IMG_8802.jpeg

IMG_8789.jpeg

Rais wa Shirikisho la Riadha Tanzania, Silas Lucas Isangi akikabidhi vifaa vya Michezo kwa nahodha wa timu Dectaforce Boniface na Msaidizi wake Hamida Nassoro Mussa Kwa niaba ya Wanariadha 9 na Kocha mmoja wanaokwenda kwenye Mbio za Dunia za Nyika Huko Belgrade, Nchini Serbia.

Rais amekabidhi vifaa hivyo Kwa Wanariadha 9 ; Wanawake 4 na wanaume 4 kwa timu ya wakubwa (Seniors)

, na Mwanariadha mmoja wa kiume wa Mbio hizo Kwa kilomita 8 kwa umri wa Chini ya miaka ishirini (U20) "Junior" ambaye ni John Nahhay Wele pamoja Kocha Marcelina Gwandu , katika kambi ya timu hiyo iliyokuwa jijini Arusha, ambapo wanatarajia kwenda kushindana Mbio hizo tarehe 30/03/2024 Huko Serbia.
 
View attachment 2946410
View attachment 2946411
Rais wa Shirikisho la Riadha Tanzania, Silas Lucas Isangi akikabidhi vifaa vya Michezo kwa nahodha wa timu Dectaforce Boniface na Msaidizi wake Hamida Nassoro Mussa Kwa niaba ya Wanariadha 9 na Kocha mmoja wanaokwenda kwenye Mbio za Dunia za Nyika Huko Belgrade, Nchini Serbia.

Rais amekabidhi vifaa hivyo Kwa Wanariadha 9 ; Wanawake 4 na wanaume 4 kwa timu ya wakubwa (Seniors)

, na Mwanariadha mmoja wa kiume wa Mbio hizo Kwa kilomita 8 kwa umri wa Chini ya miaka ishirini (U20) "Junior" ambaye ni John Nahhay Wele pamoja Kocha Marcelina Gwandu , katika kambi ya timu hiyo iliyokuwa jijini Arusha, ambapo wanatarajia kwenda kushindana Mbio hizo tarehe 30/03/2024 Huko Serbia.
Wale walioenda Ghana kwenye mashindano ya All Africans Game wamerudi mikono mitupu.

Kama hatujajipanga nashauri hizo hela zinazotumika kwenda huko Serbia tuzitumie kwenye maeneo mengine
 
Back
Top Bottom