taifa

The taifas (singular taifa, from Arabic: طائفة‎ ṭā'ifa, plural طوائف ṭawā'if, a party, band or faction) were the independent Muslim principalities of al-Andalus (Spain) that emerged from the decline and fall of the Umayyad Caliphate of Córdoba between 1009 and 1031. They were a recurring feature of Andalusian history. Conquered by the Almoravids in the late 11th century, on its collapse many taifas re-appeared only to be subsumed by the Almohads. The fall of the latter resulted in a final flourishing of the taifas, but by the end of the 13th century only one remained, Granada, the rest being incorporated into the Christian states of the north.

View More On Wikipedia.org
  1. Ulimbo

    JamiiForums Tanzania Kwanini bendera hupandishwa saa 12 asubuhi na kushushwa saa 12 jioni?

    Ndugu wana JF, Ninaswali ambalo nimekuwa najiuliza kwa muda bila kupata jibu. Je ni kwa nini Bendera upandisha asubuhi - saa 12, na ikifika jioni saa 12 ushushwa?. Yawezekana wengi mnafahamu ni kwa nini, hivi msinihukumu kwa kutokujua kwangu, bali mnipe jibu. Nawakilisha.
  2. ubongokid

    JamiiForums Tanzania Sasa ni hatari kama Taifa kuwa na mfumo wa elimu usiojali. Tutafakari,tujipange

    Naandika haya kama Mtanzania Mzalendo ambaye ninaamini kabisa kwamba Tanzania itajengwa na Watanzania wenyewe na kwa faida za Watanzania wenyewe. Ninatambua kwamba katika hili la elimu kunaweza kuwa na mambo mengi sana ila tukubali tukatae "ELIMU YETU INA MATATIZO MAKUBWA SANA" Baadhi ya...
  3. Jumong S

    JamiiForums Tanzania Yanga SC yapokea kichapo cha mbwa koko kutoka Kagera Sugar

    Mpk saa hii ni dakika ya 70! Kagera wako mbele Kwa bao 2. Watani zangu mpira hauna mwenyeji! Ligi kuu inaendelea kunoga! FT: Yanga Kala miguu ya bajaji Aina ya TVS Yanga 0-3 Kagera suger! Sent using Jamii Forums mobile app ====== Dar es Salaam. Kagera Sugar imemkaribisha kocha mpya wa...
  4. Babu sea

    JamiiForums Tanzania Wasio na kitambulisho cha taifa wataruhusiwa kupiga kura Oktoba 2020?

    Kulingana na mambo yalivyo hiki kitambulisho cha taifa kinawanyima watu hadi haki ya mawasiliano kisa tu inashindikana kusajiliwa line zao bila kitambulisho hicho. Wasiwasi wangu ni kuwa, itakuaje kama kitambulisho hicho kitatumika kama kigezo namba moja kwa wananchi kuchagua viongozi wanaowapenda?
  5. B

    JamiiForums Tanzania NIDA pambaneni Watanzania wapate vitambilsho vya taifa ili tusikose kodi

    Nawapongeza NIDA wanavyopambana kuhakikisha kila Mtanzania anafanikiwa kusajili line yake. Kama mnavyojua mzunguko wa pesa sasa upo kwenye simu kitu kinchopelekea serikali na taifa kwa ujumla kupata kodi kutoka makampuni ya simu. Wananchi watakaofungiwa line zao itasababisha serikali kukosa...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Uwezo wa vifaa vya kijeshi vya Mmarekani kutazamwa upya?

    Hivi inawezekana vipi makombora dhaifu ya Muiran yaweze kupenya mifumo imara ya ulinzi wa anga ya Marekani bila kukumbana na kizuizi chochote. Kama hili limewezekana basi siku za taifa teule hapo mashariki ya kati zitakuwa zinahesabika.
  7. Hazina

    JamiiForums Tanzania Philip Mpango: Hali ya Uchumi wa Taifa Mwaka 2019 na Tathimini wa Utekelezaji wa Bajeti kwa Nusu Mwaka wa Fedha 2019/20

    December 31, 2019 Dodoma, Tanzania Taarifa kwa Vyombo vya Habari Kuhusu ya Hali ya Uchumi wa Taifa Katika Mwaka 2019 na Tathimini ya Awali ya Utekelezaji wa Bajeti kwa Nusu ya Kwanza ya Mwaka wa Fedha 2019/20 By Dkt. Philip Mpango (Mb.) Waziri wa Fedha & Mipango 31 Desemba, 2019 - DODOMA 1...
  8. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Uchunguzi: Jinsi watu wanavyoporwa mali zao baada ya mechi kumalizika Uwanja wa Taifa, huku Vyombo vya Ulinzi na Usalama vikitumbua macho

    " Nitasema Kweli daima fitna kwangu mwiko " Zikiwa zimesalia dk 30 mpira kumalizika vijana wezi , vibaka na majambazi kutoka Keko Magurumbasi , Keko Mwanga , Keko torori , keko machungwa na baadhi kutoka Chang'ombe husogea karibu na uwanja wa Taifa , wengi hujikusanya kwenye njia panda ya...
  9. J

    JamiiForums Tanzania DC Mtatiro: Marufuku kufanya Sherehe za darasa la saba, fedha za Sherehe wazitumie kuwasomesha wasiwe mzigo kwa Taifa

    Mkuu wa wilaya ya Tunduru Mh Julius Mtatiro amepiga marufuku sherehe za kuhitimu elimu ya msingi yaani Darasa La Saba wilayani kwake. Mtatiro amesema kuhitimu darasa la saba ni sawa na Sifuri hivyo kufanya sherehe ni kuwadumaza wanafunzi na kuwafanya wawe na mawazo ya kimasikini yatakayoharibu...
  10. Kinoamiguu

    JamiiForums Tanzania Kwanini jana waumini walilazimishwa kuimba wimbo wa Taifa Makanisani?

    Jana waumini wa makanisa mbalimbali walienda makanisani kuabudu kama ishara ya kumshukuru Mungu kwa kumaliza muongo/ mwaka. Cha kushangaza wakati ibada inaendelea walilazimishwa kuimba wimbo wa taifa la Tanzania. Haya niliyashuhudia kwenye kanisa la RC Kimara na LILE pale karibu na ofisi za...
  11. T

    JamiiForums Tanzania Marekani yawawekea vikwazo maafisa wa usalama wa taifa South Sudani kwa kuteka, kupoteza na kuua

    Dong Samuel Luak na Aggrey Idri walitoweka January 2017 Marekani imewawekea vikwazo maafisa watano wa ngazi za juu za Usalama wa Taifa wa South Sudan, NSS, kwa kuhusishwa na utekaji na mauaji ya wakosoaji wawili wa serikali ya Rais Salva Kiir miaka mitatu iliyopita. South Sudan imekuwa ikikana...
  12. technically

    JamiiForums Tanzania Taifa lina Rais gani asiyependa kuongea na wananchi?

    Jamani mwisho wa mwaka baada Rais atokee aongee na taifa atoe matumaini mapya kwa nchi yeye haonekani. Anapenda mpaka awe na jopo la watu wote kufanya uzinduzi wa visima vya shule akiwa live Ila kuchukua hata saa 1 kuongea na taifa na kutoa matumaini mapya kwa mambo ambayo yanaendelea yenye...
  13. F

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Faru Fausta kukaushwa na kuendelea kuliingizia taifa fedha za kigeni

    Baada ya kifo cha kuhuzunisha cha Faru Fausta aliyekuwa moja ya vitega uchumi nchini, sasa inasemekana atakushwa na kuwekwa eneo maalum. Lengo kuu ni kuendelea kuliingizia taifa hela za kigeni kupitia utalii wa ndani na nje na pia utafiti kwa vizazi vya baadae vyenye kuvutiwa na wanyama pori...
  14. Anton mwita

    JamiiForums Tanzania Taifa limekaa mguu sawa

    Taifa la Tanzania kwa miaka ya hivi karibu naweza kusema limekaa mguu sawa.Limekaa mguu sawa kutokana na lilivyo sasa ukilinganisha na miaka ya nyuma. Taifa lilinuka rushwa,wizi wa Mali za umma,uzembe kwa watumishi wa umma,tena uliokidhiri.Haikuwa ajabu mfanyakazi kuingia kazini saa 2:30...
  15. elivina shambuni

    JamiiForums Tanzania Wabadhirifu wa miradi wanaliangamiza taifa

    ASKOFU wa Jimbo Katoliki la Mbinga, John Ndimbo amewaonya wabadhirifu wa fedha za miradi ya umma, kuacha uovu huo, kwani unaliangamiza taifa na kuumiza wananchi wa maeneo zilikoelekezwa kutumika. Aidha, amemtaka kila mwananchi kutenda haki kwa upendo katika eneo lake, iwe kazini au nyumbani...
  16. B

    JamiiForums Tanzania WABADHIRIFU WA MIRADI WANALIANGAMIZA TAIFA

    ASKOFU wa Jimbo Katoliki la Mbinga, John Ndimbo amewaonya wabadhirifu wa fedha za miradi ya umma, kuacha uovu huo, kwani unaliangamiza taifa na kuumiza wananchi wa maeneo zilikoelekezwa kutumika. Aidha, amemtaka kila mwananchi kutenda haki kwa upendo katika eneo lake, iwe kazini au nyumbani ili...
  17. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini taifa la Nigeria limetawala sekta nyingi sana na kuwa na masupa star Wengi Sana na mabilionea?

    Wana bodi, kwenye kufanya utafiti wangu mkubwa nimegundua na kuona kwamba taifa la Nigeria limedominate Karibu mambo mengi sana mfano kwenye muziki Muziki na Wana muziki wa Nigeria ni maarufu sana Africa na duniani kwa ujumla mfano Wizkid, Patoranking, Chidinma, Yemi Alade, Femi Kuti, Davido, Mr...
  18. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania How do you say it in English "Wako katika ujenzi wa taifa"?

    Msaada tafadhali wanabodi kama mjuavyo hiki kizungu kilikuja na meli, sie zetu mashua.
  19. sammosses

    JamiiForums Tanzania Mgawanyo wa kimakundi una vunja mshikamano wa taifa

    Friedrich Nietzsche anatuambia kuwa A politician divides mankind into two classes: tools and enemies. Pia kuna msemo usemao divide and rule. Nauona mshikamano na umoja wa kitaifa ukipangaranyika siku hadi siku. Ombwe kubwa la umoja wa kitaifa limesababishwa na wanasiasa, wanao pingana...
Back
Top Bottom