State Organization for Marketing of Oil (SOMO) is an Iraqi national company responsible for marketing Iraq's oil. It is headquartered in Baghdad, Iraq.
1. Kwanza likizo zimekatazwa, wao wanakaidi
2. Wanawatoza hela watoto kwa kila kipindi watakachofundishwa. Wamewatuma watoto waende na hela(Mwang'ombe)
Prof aliwaonya kuwa shule za serikali watoto waende likizo kama kalenda ilivyo.,
Mmeruhusu haya?
Habari wakuu,
Mimi ni ME, wiki chache zijazo natarajia kuingia katika ndoa, naomba wenye uzoefu na wanaofahamu mambo wanipe maneno ya hekima yatakayonisaidia kwenye maisha ya ndoa. Usiniambie kataa ndoa kwakua nimeshafanya maamuzi ya kuingia kwenye ndoa.
Natanguliza shukran zangu za dhati.
Gia aliyoingia nayo Zelensky kwenye kampeni ya uchaguzi huko Ukraine ni KUAHIDI KULETA AMANI kwenye majimbo mawili ya Donbass yaliyojitenga. Aliahidi kuwa atayaruhusu kuwa na uhuru wa ndani lakini yakiwa ndani ya nchi ya ukraine kama ilivyo Hongkong iliyo huru lakini chini ya himaya ya China...
WanaJF nakuja kwenu kuomba kazi ya Ualimu wa Kingereza. Iwe msingi au sekondari popote naweza kufundisha. Nimemaliza UDSM pale na nina Upper Second (3.8).
Pia nina uzoefu wa kufundisha zaidi ya miaka mitatu maana hadi naandika uzi huu bado nipo kazini. Naweza kufanya kazi popote na niko tayri...
Hili wazo nilikuwa nalo kitambo tu ila nimepitapita humu nimekutana na rasimu kiukweli sijaisoma ila kama hili wazo ambalo nataka kulitoa hapa lipo basi wamecheza kama pele
CCM DAIMA MAFISADI TUWATIMUE (Kibwagizo)
Somo hili ningeshauri lianzie form one upto form four na Advance
Katika miaka...
UTANGULIZI
Uadilifu ni hali ya kuwa mwaminifu na kuzingatia kanuni zote za kimaadili katika jamii inayokuzunguka.
Kwa upande mwingine, utawala bora lazima uwe na uadilifu ndani yake.
Jamii haiwezi kuwa na watawala walio bora ikiwa hawana uadilifu.
UMUHIMU WA UADILIFU KATIKA JAMII
Uadilifu...
Chuo cha utalii nchini (NCT) kimewataka wadau wa uratibu wa matukio (events), kuongeza ujuzi wao kwa kujifunza chuoni ili kukuza weledi na kuacha tabia ya mazoea katika utendaji kazi wao wa kila siku.
Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano kati ya NCT na wadau wa uratibu wa matukio Kaimu...
Wengi wao.....
1. Wana Hasira (Usununu)
2. Wakali
3. Wajeuri (Ngumi Mkononi)
4. Wana PhD"s za Matusi
5. Hawajui Kutabasamu
6. Wana Stress na Frustrations
7. Mabingwa wa Kugongea Misosi ya Watu na Kulazimisha kupewa Lifti nyakati za Jioni / Usiku
Kuna Mmoja nimekutana nae mahala nimemchanganyia...
Amani iwe nanyi,
Kwa mara nyingine ,tutafakari masuala na madai mbalimbali ya wapinzani hususani dai la katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Katika kutafakari huku kila mtu ahitimishe kwa kujiuliza maswali yafuatayo:
i) Je, dai la katiba mpya ni la Wananchi?
ii) Kama ni la Wananchi ,kwa nini...
Kama serikali ina nia kwa wananchi wake kujua kiingereza, basi somo hili lianze kufundishwa tangu darasa la awali kama ilivyokuwa hapo kabla.
Na ikiwa si la muhimu sana basi ni afadhali lifutwe tu, wanafunzi wajifunze mambo mengine ya muhimu.
Atakayehitaji atajifunza kwa wakati wake hata...
Nimeona watu wanatema mapovu mtandaoni kuwa ni vibaya kuwasema watu waliokufa, hata kama walifanya mabaya kiasi gani
Kama watu waliokufa hawasemwi, basi tusingekuwa na somo la historia
Historia ambalo ni somo muhimu zaidi kwenye siasa, msingi wake ni kuyasema mambo yaliyofanywa na wafu, mabaya...
Nilisikia kupitia radio one leo asubuhi kuwa, takribani asilimia 70 ya watahiniwa wa kidato cha nne wamepata alama sifuri katika somo la Hesabu?
Kama ni kweli, nafikiri hakuna haja ya kutafuta Mchawi kwani tatizo liko wazi kabisa ambalo ni ukosefu wa Waalimu wenye sifa ya kufundisha somo la...
SOMO LA KEMIA KANISANI
WIVU + TAMAA X UJINGA WA MAMLAKA = burudani mitandaoni.
1. Kuna watu wamepigwa na kuumizwa, wasizuiwe kulia.
2. Kuna watu hawajui chanzo, wasizuiwe kuhoji hoji.
3. Kuna watu wanaujua ukweli wote; mitandao si mahali pa kuusemea.
4. Kuna watu wamekosea njia; wametibu...
Au mwalimu mpwayungu village unasemaje?
Hii ni thathmini fupi ya masomo ya physics na mathematics kwenye matokeo ya form two yaliyotoka juzi.
1. PHYSICS
A - 0.4% (2,519)
B - 0.77% (4,874)
C - 4.73% (29,851)
D - 12.30% (77,586)
F - 81.79% (515,734)
2. MATHEMATICS
A - 1.96% (12,389)
B - 1.35%...
Kabla hamjafuta Civics nataka nijulishwe,
1. Chama Cha Mapinduzi kilimpindua nani?
2. Tanganyika tunafaidikaje na muungano?
3. Mwenge wa uhuru uko kwa ajili ya maslahi na faida ya nani? Na una faida gani kwa taifa? Kwanini usizimwe na kuhifadhiwa kwenye makumbusho ya Taifa?
Serikali inaandaa syllabus mpya na mfumo wa elimu, katika mambo mapya yanayokuja ni kufutwa kwa somo la Civics.
Japo Watanzania hawaijui katiba ya nchi, walau hili somo liliwasaidia kuijua, sasa linafutwa.
Jadili.
Moja Kwa moja nikupongeze Kwa kupiga chini bonaza la ufunguzi wa bwawa.
Mama tumekuwa tunasikitika na kuumia mno pale unapokuwa mwalikwa kwenye haya mabonanza ya CCM, matokeo yake marehemu mumeo anasimangwa hovyo hovyo.
Tumejitahidi Sana mara kadhaa kukushauri kutupilia mbali haya mtamasha ya...
Biashara ambayo faida ni ndogo kuliko matumizi ni biashara yenye afya?
Mfano ukifanya mauzo, zaidi ya asilimia 60 hadi 70 inaenda kwenye matumizi kama maligafi n.k, na hakuna uwezekano wa kupunguza matumizi.
Karibuni mnielimishe naona natumia nguvu nyingi kwenye hii biashara, ni biashara ndogo tu.
MASWALI:
1. Hii picha ilipigwa wapi?
2. Huyo aliyetoa macho na kubaki mdomo wazi ni nani?
3. Kwa nini macho yalimtoka na kubaki mdomo wazi?
4. Hii picha ni ya tukio gani?
Wazee wa "unbeaten" karibuni kwenye map reading!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.