Nashauri kuwe na somo la Basic Computing shuleni hasa sekondari

Binadamu Mtakatifu

JF-Expert Member
Jan 6, 2021
4,085
8,453
Hili wazo nilikuwa nalo kitambo tu ila nimepitapita humu nimekutana na rasimu kiukweli sijaisoma ila kama hili wazo ambalo nataka kulitoa hapa lipo basi wamecheza kama pele

CCM DAIMA MAFISADI TUWATIMUE (Kibwagizo)

Somo hili ningeshauri lianzie form one upto form four na Advance
Katika miaka miwili ya mwanzo (form one & form four) vijana wajifunze

1.Safety za kutunza na kutumia kompyuta (jinsi ya kuilinda dhidi ya shoti mazingira hatarishi na vitendo ambavyo vitafanya iharibike pia watajifunza kutumia nikimaanisha kuwasha kuzima kuistall program kufungua picha kucrop na kuedit kuusurf mafile na kuunga internet n.k in basic)

2.Wajifunze components of computer in basic kwamba ili kompyuta ikamilike kuna vitu gani (Internal na External) na jinsi zinavyofanya kazi.

3.Diagnosis na troubleshooting (Kupitia kijifunza components mwanafunzi aweze kutambua matatizo basic na visababishi na ikiwezekana aweze kufix kwa kurekebisha (mfano hdd imechoka yeye anairudishia).

3.Kuunda documents Mwanafunzi ajifunze MS Word kwakua anajua kuandika na kusoma aweze kufanya formating za text kuadd picture na kutengeneza simple basic professional document na ili kufanya hili lichukuliwe uzito ikiwa mwanafunzi atahitajika kuandika barua basi achapishe kupitia Ms Word hapohapo shule

4.Ms PowerPoint hii nayo wajifunze ili kuunda presentation nzuri na waweze kuwa nayo compatible katika kuelezea kitu.

Hapo kwa miaka miwili itakuwa imetosha kumpika mtu kabisa na kuiva katika nyanja hiyo sasa ni jukumu la mwalimu wa lunga kufundisha reports ili mwanafunzi mpaka anafika topic ya documents aweze ku apply hapo.

Kuanzia Form three na form four.

1.Kudeal na data hapa mwanafunzi atakuwa yupo vizuri kiakili kuanza kujifunza Ms Excel kuandika formula na vitu vingine vinavyo husiana nayo.

2.Wajifunze Networks how we access it jinsi mtandao unavyofanya kazi hadi mtu anaweza piga simu, kutuma picha kufungua website n.k.

3.Wajifunze web design ( Wajifunze HTML na CMS ya WordPress) hapa ilisomo lichukuwe muda kwani inaweza kuwa ajira tosha.

4.Hosting

5.Wajifunze Basic Graphics (Adobe Photoshop)

Hapa itakuwa imeisha kwa level ya O level

Katika Advance hapa mwanafunzi lazima awe na combination mfano (Basic Computing, Mathematics na Language)

Kwenye Computing ajifunze

1. Basic of programming (JavaScript na PHP)

2. DataBase

3. Networking (advanced kidogo aweze kufunga router na mambo mengine)

Ushauri Wangu Walimu wa hili Somo lazima wawe na professional ya IT cheti cha Diploma na nivizuri awe ameanzia certificate

Na wanafunzi ambao watasoma hili somo O na A level basi wapewe cheti ambacho ofisi ikiitaji mtu mwenye ujuzi huu inaweza kua qualification tosha nashauri kiitwe (certificate of basic computing) na mtu mwenye hiki cheti aruhusiwe kusoma Diploma si lazima aanze certificate na kama atafaulu vizuri degree ya kozi zinazohusiana aende

Hii itasaidia kuleta wataalamu ambao wanajua wanatengeneza nini sio fuatafuata tu irimradi

Ikiwa ombi litachukuliwa ningependa kuwepo kwenye baraza la kuunda mtaala wa somo hili
 
Hili wazo nilikuwa nalo kitambo tu ila nimepitapita humu nimekutana na rasimu kiukweli sijaisoma ila kama hili wazo ambalo nataka kulitoa hapa lipo basi wamecheza kama pele

CCM DAIMA MAFISADI TUWATIMUE (Kibwagizo)

Somo hili ningeshauri lianzie form one upto form four na Advance
Katika miaka miwili ya mwanzo (form one & form four) vijana wajifunze

1.Safety za kutunza na kutumia kompyuta (jinsi ya kuilinda dhidi ya shoti mazingira hatarishi na vitendo ambavyo vitafanya iharibike pia watajifunza kutumia nikimaanisha kuwasha kuzima kuistall program kufungua picha kucrop na kuedit kuusurf mafile na kuunga internet n.k in basic)

2.Wajifunze components of computer in basic kwamba ili kompyuta ikamilike kuna vitu gani (Internal na External) na jinsi zinavyofanya kazi

3.Diagnosis na troubleshooting (Kupitia kijifunza components mwanafunzi aweze kutambua matatizo basic na visababishi na ikiwezekana aweze kufix kwa kurekebisha (mfano hdd imechoka yeye anairudishia) )

3.Kuunda documents Mwanafunzi ajifunze MS Word kwakua anajua kuandika na kusoma aweze kufanya formating za text kuadd picture na kutengeneza simple basic professional document na ili kufanya hili lichukuliwe uzito ikiwa mwanafunzi atahitajika kuandika barua basi achapishe kupitia Ms Word hapohapo shule

4.Ms PowerPoint hii nayo wajifunze ili kuunda presentation nzuri na waweze kuwa nayo compatible katika kuelezea kitu

Hapo kwa miaka miwili itakuwa imetosha kumpika mtu kabisa na kuiva katika nyanja hiyo sasa ni jukumu la mwalimu wa lunga kufundisha reports ili mwanafunzi mpaka anafika topic ya documents aweze ku apply hapo

Kuanzia Form three na form four

1.Kudeal na data hapa mwanafunzi atakuwa yupo vizuri kiakili kuanza kujifunza Ms Excel kuandika formula na vitu vingine vinavyo husiana nayo

2.Wajifunze Networks how we access it jinsi mtandao unavyofanya kazi hadi mtu anaweza piga simu, kutuma picha kufungua website n.k

3.Wajifunze web design ( Wajifunze HTML na CMS ya WordPress) hapa ilisomo lichukuwe muda kwani inaweza kuwa ajira tosha

4.Hosting

5.Wajifunze Basic Graphics (Adobe Photoshop)

Hapa itakuwa imeisha kwa level ya O level

Katika Advance hapa mwanafunzi lazima awe na combination mfano (Basic Computing, Mathematics na Language)

Kwenye Computing ajifunze

1.Basic of programming (JavaScript na PHP)

2.DataBase

3.Networking (advanced kidogo aweze kufunga router na mambo mengine)

Ushauri Wangu Walimu wa hili Somo lazima wawe na professional ya IT cheti cha Diploma na nivizuri awe ameanzia certificate

Na wanafunzi ambao watasoma hili somo O na A level basi wapewe cheti ambacho ofisi ikiitaji mtu mwenye ujuzi huu inaweza kua qualification tosha nashauri kiitwe ( certificate of basic computing) na mtu mwenye hiki cheti aruhusiwe kusoma Diploma si lazima aanze certificate na kama atafaulu vizuri degree ya kozi zinazohusiana aende

Hii itasaidia kuleta wataalamu ambao wanajua wanatengeneza nini sio fuatafuata tu irimradi

Ikiwa ombi litachukuliwa ningependa kuwepo kwenye baraza la kuunda mtaala wa somo hili
Soma haya mapendekezo hasa nimber 27 na 28.

MAPENDEKEZO YA RASIMU YA RIPOTI YA KAMATI YA KITAIFA YA MABORESHO YA MITAALA AMBAYO YANAENDA KUBADILISHA MFUMO WETU WA ELIMU .

Na Baltazari Luhanga.

1. Mtihani wa darasa la saba utafutwa. Mwanafunzi akianza darasa la kwanza lazima amalize kidato cha nne.

2. Kutakuwa mtihani wa upimaji wa kitaifa wa darasa la sita (Standard Six National Assessment).

3. Mwanafunzi atatakiwa asome fani fulani kabla hajamaliza kidato Cha nne ili aweze kujiajiri au kuajiriwa baada ya kumaliza.

4. Lugha ya kufundishia na kujifunzia itakuwa kiswahili, Kiingereza kitakuwa Kama somo kwa shule za Kiswahili medium na lugha ya kufundishia English, kiswahili kitakuwa Kama somo kwa shule za English medium.

5. Elimu ya msingi itakuwa miaka 6. Mwanafunzi ataanza darasa la kwanza akiwa na miaka 6, tofauti na ya sasa miaka 7.

7. Elimu ya awali mwanafunzi ataanza akiwa na miaka 5.

8. Masomo ya elimu ya msingi yatakuwa KKK, Jiografia, kiswahili, Sanaa na michezo, hisabati, sayansi, historia ya Tanzania na maadili, dini na kiingereza na stadi za kazi itachopekwa.

9. Kiingereza kitafundishwa kuanzia darasa la kwanza kwa shule za Kiswahili na kiswahili kitafundishwa kuanzia darasa la kwanza kwanza kwa shule za kiingereza.

10. Shule zenye uwezo zitafundisha walau somo moja la lugha za kigeni kama kichina au kifaransa.

11. Sekondari kutakuwa na mikondo 2, mkondo wa jumla na amali (ufundi). Mwanafunzi atachagua kutokana na
uwezo, matakwa na malengo yake ya badae.

12. Mkondo wa amali (ufundi) utakuwa na fani za:
-kilimo na ufugaji
-umakenika
-biashara na ujasiriamali
-sanaa bunifu
-elimu ya michezo
-ufugaji wa nyuki
-uchimbaji wa madini
-urembo

13. Mwanafunzi wa mkondo wa amali atatakiwa kuchukua masomo manne (4) ya jumla na moja la fani.

14. Masomo ya jumla la wanafunzi wa amali ni:
-hisabati
-elimu ya biashara
-kiingereza
-historia ya Tanzania na maadili

15. Wahitimu wa amali watapata vyeti viwili yaani:
-cheti cha ujumla cha elimu ya sekondari (NECTA)
-cheti cha amali (NACTVET)

16. Kila shule itakuwa na wakala wa VETA ili kusimamia maswala ya ufundi.

17. Kila shule haitakuwa na mikondo zaidi ya miwili ya ufundi, hii ni kwaajili ya ufanisi na fani ziwe zinaendana na fursa za eneo husika.

18. Kutaanzishwa somo jipya la mawasiliano ya kitaaluma (academic communication) katika A-level na ualimu.

19. Coding itafundishwa shule ya msingi.

20. Information and Computer Studies (ICS) itabadilishwa na kuitwa Computer Science. Somo limesukwa upya.

21. Civics itaunganishwa na historia ya Tanzania na maadili kwa O-level.

22. O-level masomo ya lazima yatakuwa 6 badala 7 ya Sasa.

23. Katika O-level masomo ya Biology na Geography yatakuwa masomo ya kuchagua pia kwasababu maudhui yake yamekuwa kwenye masomo ya jiografia na sayansi ya shule ya msingi kwa mfano afya ya jamii, afya ya uzazi, magonjwa ambukizi nk.

24. Civics, maarifa ya jamii, uraia na maadili yamefutwa. Maudhui yake yameingia katika somo la historia ya Tanzania na maadili.

25. General Studies (GS) katika A-level itafutwa na maudhui yake yatawekwa katika somo la historia ya Tanzania na maadili na mawasiliano ya kitaaluma.

26. Kufuta baadhi ya masomo kumefanyika ili kuondoa tatizo la kujirudia rudia kwa maudhui.

27. Michepuo katika elimu ya O-level imeongezeka kutoka minne (4) hadi tisa (9). Michepuko iliyoongezeka ni:
-sanaa
-lugha
-muziki
-michezo
-TEHAMA

28. Masomo ya O-level yatakuwa:
-biology
-physics
-chemistry
-history
-geography
-historia ya Tanzania na maadili
-hisabati
-kiswahili
-english
-elimu ya biashara
-utunzaji wa taarifa za fedha
-computer science
-bible knowledge
-elimu ya dini ya kiislamu etc

29. Astashahada ya ualimu itafutwa kisha itaanzishwa Stashahada (diploma) ya elimu ya awali, ualimu wa msingi na ualimu wa elimu maalumu. Watakaosoma Stashahada watakuwa waliomaliza kidato cha sita na itasomwa kwa miaka miwili.

30. Walimu wa sekondari wote watakuwa na Shahada (degree). Kwasababu nchi nyingi ndio wanaenda muelekeo huu.

31. Vyuo vilivyokuwa vinatoa Stashahada (diploma) ya ualimu wa sekondari vitatumika kutoa continuous professional development.

32. Walimu watakaofundisha mkondo wa amali (ufundi) watakuwa Wahitimu wa kozi mbalimbali za amali na watapewa astashahada
(cheti) ya ualimu huo kwa miezi 6.

33. Vyuo vya elimu ya juu vitaanzisha kozi za ualimu wa uandisi, urembo, uvuvi, sanaa bunifu nk. Hii itasaidia kupunguza tatizo la uhaba wa walimu katika maeneo hayo ya ufundi.

34. Kutakuwa na internship kwa walimu kwa muda wa mwaka mmoja baada ya kumaliza ualimu ili wawe
na umahiri zaidi. Kisha walimu watapata leseni.

35. Mafunzo kwa vitendo ya walimu tarajali yatafanyika katika shule zilizo karibu na vyuo vya ualimu ili zifanyike kwa umakini zaidi.

36. Kutakuwa na motisha kwa walimu na upandaji wa madaraja utakuwa kwa utaratibu mzuri.

37. Bodi ya usajili wa walimu itaanza kufanya kazi.

38. Utekelezaji wa mtaala mpya na sera ya elimu ya mwaka 2023 itaanza kwa awamu kwa darasa moja moja katika kila level. Hii itasaidia kwenda sawa na bajeti kwasababu kuanza kwa madarasa yote na levels zote ni gharama kubwa sana. Utekelezaji utaanza mwaka 2024 kama sera na mtaala zitapitishwa kama ilivyo.


Maoni yangu:

1. Kutolewe mafunzo kwa watekelezaji wa mtaala huu kwa mfano walimu, workshop instructors nk. Hii itasaidia kuendana na mabadiliko haya hasa hasa kwa walimu waliokwepo kabla ya mabadiliko.

2. Kuongeza wafanyakazi kuendana na mahitaji ya utekelezaji wa mtaala kwa mfano walimu wa kozi na masomo mapya

3. Serikali ijipange kwa upande wa bajeti kugharamia miundombinu, mishahara, vitabu, mitambo nk.

4. Career guidance iwepo kwa wanafunzi watakaochukua mkondo wa amali ili wajue ni fani zipi zinaendana na vipaji vyao, malengo yao, uwezo wao na uhitaji katika soko la ajira.

5. Wananchi waelekezwe zaidi kuhusu mabadiliko ya mtaala na fursa zilizopo pale utekelezaji wa mtaala ukianza.


Mwisho:

Naipongeza Serikali kwa maamuzi haya ya kuboresha mfumo wetu wa elimu, ambao unaenda sambamba na mabadiliko yaliyopo katika dunia ya sasa kwa kuzalisha watanzania ambao watakuwa wana utaalamu, wanajiamini, wana mtazamo chanya na wana fikra tunduizi.

Wadau tuendelee kutoa maoni yetu ili rasimu hizi ziboreshwe na ifike hatua ambayo serikali watafanya maamuzi katika utekelezaji wa sera na mtaala mpya.

Matokeo ya utekelezaji wa mtaala huu mpya na sera ya Elimu ya mwaka 2023 italeta tija na nchi yetu itaendelea kwa kasi kubwa.

Bw. Baltazari Luhanga
Mdau wa Elimu.
 
Hili wazo ni nzuri
Itapendeza kila shule ya sekondar kuwe na kitengo cha veta hapo hapo shuleni.
Soma haya mapendekezo.

MAPENDEKEZO YA RASIMU YA RIPOTI YA KAMATI YA KITAIFA YA MABORESHO YA MITAALA AMBAYO YANAENDA KUBADILISHA MFUMO WETU WA ELIMU .

Na Baltazari Luhanga.

1. Mtihani wa darasa la saba utafutwa. Mwanafunzi akianza darasa la kwanza lazima amalize kidato cha nne.

2. Kutakuwa mtihani wa upimaji wa kitaifa wa darasa la sita (Standard Six National Assessment).

3. Mwanafunzi atatakiwa asome fani fulani kabla hajamaliza kidato Cha nne ili aweze kujiajiri au kuajiriwa baada ya kumaliza.

4. Lugha ya kufundishia na kujifunzia itakuwa kiswahili, Kiingereza kitakuwa Kama somo kwa shule za Kiswahili medium na lugha ya kufundishia English, kiswahili kitakuwa Kama somo kwa shule za English medium.

5. Elimu ya msingi itakuwa miaka 6. Mwanafunzi ataanza darasa la kwanza akiwa na miaka 6, tofauti na ya sasa miaka 7.

7. Elimu ya awali mwanafunzi ataanza akiwa na miaka 5.

8. Masomo ya elimu ya msingi yatakuwa KKK, Jiografia, kiswahili, Sanaa na michezo, hisabati, sayansi, historia ya Tanzania na maadili, dini na kiingereza na stadi za kazi itachopekwa.

9. Kiingereza kitafundishwa kuanzia darasa la kwanza kwa shule za Kiswahili na kiswahili kitafundishwa kuanzia darasa la kwanza kwanza kwa shule za kiingereza.

10. Shule zenye uwezo zitafundisha walau somo moja la lugha za kigeni kama kichina au kifaransa.

11. Sekondari kutakuwa na mikondo 2, mkondo wa jumla na amali (ufundi). Mwanafunzi atachagua kutokana na
uwezo, matakwa na malengo yake ya badae.

12. Mkondo wa amali (ufundi) utakuwa na fani za:
-kilimo na ufugaji
-umakenika
-biashara na ujasiriamali
-sanaa bunifu
-elimu ya michezo
-ufugaji wa nyuki
-uchimbaji wa madini
-urembo

13. Mwanafunzi wa mkondo wa amali atatakiwa kuchukua masomo manne (4) ya jumla na moja la fani.

14. Masomo ya jumla la wanafunzi wa amali ni:
-hisabati
-elimu ya biashara
-kiingereza
-historia ya Tanzania na maadili

15. Wahitimu wa amali watapata vyeti viwili yaani:
-cheti cha ujumla cha elimu ya sekondari (NECTA)
-cheti cha amali (NACTVET)

16. Kila shule itakuwa na wakala wa VETA ili kusimamia maswala ya ufundi.

17. Kila shule haitakuwa na mikondo zaidi ya miwili ya ufundi, hii ni kwaajili ya ufanisi na fani ziwe zinaendana na fursa za eneo husika.

18. Kutaanzishwa somo jipya la mawasiliano ya kitaaluma (academic communication) katika A-level na ualimu.

19. Coding itafundishwa shule ya msingi.

20. Information and Computer Studies (ICS) itabadilishwa na kuitwa Computer Science. Somo limesukwa upya.

21. Civics itaunganishwa na historia ya Tanzania na maadili kwa O-level.

22. O-level masomo ya lazima yatakuwa 6 badala 7 ya Sasa.

23. Katika O-level masomo ya Biology na Geography yatakuwa masomo ya kuchagua pia kwasababu maudhui yake yamekuwa kwenye masomo ya jiografia na sayansi ya shule ya msingi kwa mfano afya ya jamii, afya ya uzazi, magonjwa ambukizi nk.

24. Civics, maarifa ya jamii, uraia na maadili yamefutwa. Maudhui yake yameingia katika somo la historia ya Tanzania na maadili.

25. General Studies (GS) katika A-level itafutwa na maudhui yake yatawekwa katika somo la historia ya Tanzania na maadili na mawasiliano ya kitaaluma.

26. Kufuta baadhi ya masomo kumefanyika ili kuondoa tatizo la kujirudia rudia kwa maudhui.

27. Michepuo katika elimu ya O-level imeongezeka kutoka minne (4) hadi tisa (9). Michepuko iliyoongezeka ni:
-sanaa
-lugha
-muziki
-michezo
-TEHAMA

28. Masomo ya O-level yatakuwa:
-biology
-physics
-chemistry
-history
-geography
-historia ya Tanzania na maadili
-hisabati
-kiswahili
-english
-elimu ya biashara
-utunzaji wa taarifa za fedha
-computer science
-bible knowledge
-elimu ya dini ya kiislamu etc

29. Astashahada ya ualimu itafutwa kisha itaanzishwa Stashahada (diploma) ya elimu ya awali, ualimu wa msingi na ualimu wa elimu maalumu. Watakaosoma Stashahada watakuwa waliomaliza kidato cha sita na itasomwa kwa miaka miwili.

30. Walimu wa sekondari wote watakuwa na Shahada (degree). Kwasababu nchi nyingi ndio wanaenda muelekeo huu.

31. Vyuo vilivyokuwa vinatoa Stashahada (diploma) ya ualimu wa sekondari vitatumika kutoa continuous professional development.

32. Walimu watakaofundisha mkondo wa amali (ufundi) watakuwa Wahitimu wa kozi mbalimbali za amali na watapewa astashahada
(cheti) ya ualimu huo kwa miezi 6.

33. Vyuo vya elimu ya juu vitaanzisha kozi za ualimu wa uandisi, urembo, uvuvi, sanaa bunifu nk. Hii itasaidia kupunguza tatizo la uhaba wa walimu katika maeneo hayo ya ufundi.

34. Kutakuwa na internship kwa walimu kwa muda wa mwaka mmoja baada ya kumaliza ualimu ili wawe
na umahiri zaidi. Kisha walimu watapata leseni.

35. Mafunzo kwa vitendo ya walimu tarajali yatafanyika katika shule zilizo karibu na vyuo vya ualimu ili zifanyike kwa umakini zaidi.

36. Kutakuwa na motisha kwa walimu na upandaji wa madaraja utakuwa kwa utaratibu mzuri.

37. Bodi ya usajili wa walimu itaanza kufanya kazi.

38. Utekelezaji wa mtaala mpya na sera ya elimu ya mwaka 2023 itaanza kwa awamu kwa darasa moja moja katika kila level. Hii itasaidia kwenda sawa na bajeti kwasababu kuanza kwa madarasa yote na levels zote ni gharama kubwa sana. Utekelezaji utaanza mwaka 2024 kama sera na mtaala zitapitishwa kama ilivyo.


Maoni yangu:

1. Kutolewe mafunzo kwa watekelezaji wa mtaala huu kwa mfano walimu, workshop instructors nk. Hii itasaidia kuendana na mabadiliko haya hasa hasa kwa walimu waliokwepo kabla ya mabadiliko.

2. Kuongeza wafanyakazi kuendana na mahitaji ya utekelezaji wa mtaala kwa mfano walimu wa kozi na masomo mapya

3. Serikali ijipange kwa upande wa bajeti kugharamia miundombinu, mishahara, vitabu, mitambo nk.

4. Career guidance iwepo kwa wanafunzi watakaochukua mkondo wa amali ili wajue ni fani zipi zinaendana na vipaji vyao, malengo yao, uwezo wao na uhitaji katika soko la ajira.

5. Wananchi waelekezwe zaidi kuhusu mabadiliko ya mtaala na fursa zilizopo pale utekelezaji wa mtaala ukianza.


Mwisho:

Naipongeza Serikali kwa maamuzi haya ya kuboresha mfumo wetu wa elimu, ambao unaenda sambamba na mabadiliko yaliyopo katika dunia ya sasa kwa kuzalisha watanzania ambao watakuwa wana utaalamu, wanajiamini, wana mtazamo chanya na wana fikra tunduizi.

Wadau tuendelee kutoa maoni yetu ili rasimu hizi ziboreshwe na ifike hatua ambayo serikali watafanya maamuzi katika utekelezaji wa sera na mtaala mpya.

Matokeo ya utekelezaji wa mtaala huu mpya na sera ya Elimu ya mwaka 2023 italeta tija na nchi yetu itaendelea kwa kasi kubwa.

Bw. Baltazari Luhanga
Mdau wa Elimu.
 
Hili wazo ni nzuri
Itapendeza kila shule ya sekondar kuwe na kitengo cha veta hapo hapo shuleni.
hii itapumguza wimbi la watu kulalamika juu ya ajira badala yake serekali itatoa mikopo kwa wahitimu wenye ujuzi si nadharia.TUNAHITAJI MAFUNI BOMBA SI HISTORIA YA BOMBA
 
Soma haya mapendekezo hasa nimber 27 na 28.

MAPENDEKEZO YA RASIMU YA RIPOTI YA KAMATI YA KITAIFA YA MABORESHO YA MITAALA AMBAYO YANAENDA KUBADILISHA MFUMO WETU WA ELIMU .

Na Baltazari Luhanga.

1. Mtihani wa darasa la saba utafutwa. Mwanafunzi akianza darasa la kwanza lazima amalize kidato cha nne.

2. Kutakuwa mtihani wa upimaji wa kitaifa wa darasa la sita (Standard Six National Assessment).

3. Mwanafunzi atatakiwa asome fani fulani kabla hajamaliza kidato Cha nne ili aweze kujiajiri au kuajiriwa baada ya kumaliza.

4. Lugha ya kufundishia na kujifunzia itakuwa kiswahili, Kiingereza kitakuwa Kama somo kwa shule za Kiswahili medium na lugha ya kufundishia English, kiswahili kitakuwa Kama somo kwa shule za English medium.

5. Elimu ya msingi itakuwa miaka 6. Mwanafunzi ataanza darasa la kwanza akiwa na miaka 6, tofauti na ya sasa miaka 7.

7. Elimu ya awali mwanafunzi ataanza akiwa na miaka 5.

8. Masomo ya elimu ya msingi yatakuwa KKK, Jiografia, kiswahili, Sanaa na michezo, hisabati, sayansi, historia ya Tanzania na maadili, dini na kiingereza na stadi za kazi itachopekwa.

9. Kiingereza kitafundishwa kuanzia darasa la kwanza kwa shule za Kiswahili na kiswahili kitafundishwa kuanzia darasa la kwanza kwanza kwa shule za kiingereza.

10. Shule zenye uwezo zitafundisha walau somo moja la lugha za kigeni kama kichina au kifaransa.

11. Sekondari kutakuwa na mikondo 2, mkondo wa jumla na amali (ufundi). Mwanafunzi atachagua kutokana na
uwezo, matakwa na malengo yake ya badae.

12. Mkondo wa amali (ufundi) utakuwa na fani za:
-kilimo na ufugaji
-umakenika
-biashara na ujasiriamali
-sanaa bunifu
-elimu ya michezo
-ufugaji wa nyuki
-uchimbaji wa madini
-urembo

13. Mwanafunzi wa mkondo wa amali atatakiwa kuchukua masomo manne (4) ya jumla na moja la fani.

14. Masomo ya jumla la wanafunzi wa amali ni:
-hisabati
-elimu ya biashara
-kiingereza
-historia ya Tanzania na maadili

15. Wahitimu wa amali watapata vyeti viwili yaani:
-cheti cha ujumla cha elimu ya sekondari (NECTA)
-cheti cha amali (NACTVET)

16. Kila shule itakuwa na wakala wa VETA ili kusimamia maswala ya ufundi.

17. Kila shule haitakuwa na mikondo zaidi ya miwili ya ufundi, hii ni kwaajili ya ufanisi na fani ziwe zinaendana na fursa za eneo husika.

18. Kutaanzishwa somo jipya la mawasiliano ya kitaaluma (academic communication) katika A-level na ualimu.

19. Coding itafundishwa shule ya msingi.

20. Information and Computer Studies (ICS) itabadilishwa na kuitwa Computer Science. Somo limesukwa upya.

21. Civics itaunganishwa na historia ya Tanzania na maadili kwa O-level.

22. O-level masomo ya lazima yatakuwa 6 badala 7 ya Sasa.

23. Katika O-level masomo ya Biology na Geography yatakuwa masomo ya kuchagua pia kwasababu maudhui yake yamekuwa kwenye masomo ya jiografia na sayansi ya shule ya msingi kwa mfano afya ya jamii, afya ya uzazi, magonjwa ambukizi nk.

24. Civics, maarifa ya jamii, uraia na maadili yamefutwa. Maudhui yake yameingia katika somo la historia ya Tanzania na maadili.

25. General Studies (GS) katika A-level itafutwa na maudhui yake yatawekwa katika somo la historia ya Tanzania na maadili na mawasiliano ya kitaaluma.

26. Kufuta baadhi ya masomo kumefanyika ili kuondoa tatizo la kujirudia rudia kwa maudhui.

27. Michepuo katika elimu ya O-level imeongezeka kutoka minne (4) hadi tisa (9). Michepuko iliyoongezeka ni:
-sanaa
-lugha
-muziki
-michezo
-TEHAMA

28. Masomo ya O-level yatakuwa:
-biology
-physics
-chemistry
-history
-geography
-historia ya Tanzania na maadili
-hisabati
-kiswahili
-english
-elimu ya biashara
-utunzaji wa taarifa za fedha
-computer science
-bible knowledge
-elimu ya dini ya kiislamu etc

29. Astashahada ya ualimu itafutwa kisha itaanzishwa Stashahada (diploma) ya elimu ya awali, ualimu wa msingi na ualimu wa elimu maalumu. Watakaosoma Stashahada watakuwa waliomaliza kidato cha sita na itasomwa kwa miaka miwili.

30. Walimu wa sekondari wote watakuwa na Shahada (degree). Kwasababu nchi nyingi ndio wanaenda muelekeo huu.

31. Vyuo vilivyokuwa vinatoa Stashahada (diploma) ya ualimu wa sekondari vitatumika kutoa continuous professional development.

32. Walimu watakaofundisha mkondo wa amali (ufundi) watakuwa Wahitimu wa kozi mbalimbali za amali na watapewa astashahada
(cheti) ya ualimu huo kwa miezi 6.

33. Vyuo vya elimu ya juu vitaanzisha kozi za ualimu wa uandisi, urembo, uvuvi, sanaa bunifu nk. Hii itasaidia kupunguza tatizo la uhaba wa walimu katika maeneo hayo ya ufundi.

34. Kutakuwa na internship kwa walimu kwa muda wa mwaka mmoja baada ya kumaliza ualimu ili wawe
na umahiri zaidi. Kisha walimu watapata leseni.

35. Mafunzo kwa vitendo ya walimu tarajali yatafanyika katika shule zilizo karibu na vyuo vya ualimu ili zifanyike kwa umakini zaidi.

36. Kutakuwa na motisha kwa walimu na upandaji wa madaraja utakuwa kwa utaratibu mzuri.

37. Bodi ya usajili wa walimu itaanza kufanya kazi.

38. Utekelezaji wa mtaala mpya na sera ya elimu ya mwaka 2023 itaanza kwa awamu kwa darasa moja moja katika kila level. Hii itasaidia kwenda sawa na bajeti kwasababu kuanza kwa madarasa yote na levels zote ni gharama kubwa sana. Utekelezaji utaanza mwaka 2024 kama sera na mtaala zitapitishwa kama ilivyo.


Maoni yangu:

1. Kutolewe mafunzo kwa watekelezaji wa mtaala huu kwa mfano walimu, workshop instructors nk. Hii itasaidia kuendana na mabadiliko haya hasa hasa kwa walimu waliokwepo kabla ya mabadiliko.

2. Kuongeza wafanyakazi kuendana na mahitaji ya utekelezaji wa mtaala kwa mfano walimu wa kozi na masomo mapya

3. Serikali ijipange kwa upande wa bajeti kugharamia miundombinu, mishahara, vitabu, mitambo nk.

4. Career guidance iwepo kwa wanafunzi watakaochukua mkondo wa amali ili wajue ni fani zipi zinaendana na vipaji vyao, malengo yao, uwezo wao na uhitaji katika soko la ajira.

5. Wananchi waelekezwe zaidi kuhusu mabadiliko ya mtaala na fursa zilizopo pale utekelezaji wa mtaala ukianza.


Mwisho:

Naipongeza Serikali kwa maamuzi haya ya kuboresha mfumo wetu wa elimu, ambao unaenda sambamba na mabadiliko yaliyopo katika dunia ya sasa kwa kuzalisha watanzania ambao watakuwa wana utaalamu, wanajiamini, wana mtazamo chanya na wana fikra tunduizi.

Wadau tuendelee kutoa maoni yetu ili rasimu hizi ziboreshwe na ifike hatua ambayo serikali watafanya maamuzi katika utekelezaji wa sera na mtaala mpya.

Matokeo ya utekelezaji wa mtaala huu mpya na sera ya Elimu ya mwaka 2023 italeta tija na nchi yetu itaendelea kwa kasi kubwa.

Bw. Baltazari Luhanga
Mdau wa Elimu.
NAMBA 4 ni ugoro mtupu lugha ni kingereza tusijidanganye
 
NAMBA 4 ni ugoro mtupu lugha ni kingereza tusijidanganye
Nini tatizo hapo?
4. Lugha ya kufundishia na kujifunzia itakuwa kiswahili, Kiingereza kitakuwa Kama somo kwa shule za Kiswahili medium na lugha ya kufundishia English, kiswahili kitakuwa Kama somo kwa shule za English medium.
 
Nini tatizo hapo?
4. Lugha ya kufundishia na kujifunzia itakuwa kiswahili, Kiingereza kitakuwa Kama somo kwa shule za Kiswahili medium na lugha ya kufundishia English, kiswahili kitakuwa Kama somo kwa shule za English medium.
wafundishwe kwa lugha ya kingereza kuanzia awali kiswahili kiwe somo kwa ngazi ya msingi na sekondari
kiswahili kitatuchelewesha sana hasa katika maswala ya ufundi
 
Back
Top Bottom