Mbrazili Jeff Luis na somo la ubora wa golikipa

Best Daddy

JF-Expert Member
Apr 2, 2019
767
1,292
Historia inatuambia, imekua ni changamoto kubwa sana kupima ubora wa golikipa, kuliko nafasi yeyote uwanjani kutokana na sababu kadha wa kadha(ambazo nitazieleza japo kidogo hapo mbeleni).

Lakini wengi wetu hatukuona tabu, kwanini tuendelee kuumiza akili zetu? Basi tukachagua njia nyepesi kabisa kufikia kwenye hitimisho ya ubora wa golikipa, ambazo ni;

a. Ameruhusu magoli machache = Goli kipa bora✅
b. Ameruhusu magoli mengi = Golikipa mbovu

Ni rahisi, right?. Ila wataalamu wanakuambia kutumia njia rahisi namna hiyo ni kujidanganya. Inatufanya tushindwe kutofautisha mapungufu ya kiulinzi ya timu husika na mapungufu ya golikipa ya moja kwa moja. Kamwe njia hii haiwezi kukupa ubora au mapungufu ya golikipa.

Wanaendelea na kusema, katika match, nafasi ya golikipa sio leading role, inategemea sana na defence ya timu husika. Pia ni nafasi ambayo mchezaji anahusika kwenye movement na matukio machache zaidi katika mechi.

Katika discussion zao, wakauliza swali ambalo nakupa na wewe pia:

Mlinda mlango akifanya huge save 10 katika shot 15 na kuruhusu goli mbili per game, utamuita golikipa mbovu, kwa kigezo cha kuruhusu hayo magoli katika mchezo?

Wakamaliza na kusema, mara nyingi wingi au uchache wa magoli ya kufungwa unategemea sana na ubora au madhaifu ya timu husika katika ulinzi kiujumla, japo haifuti kuwa kuna wakati madhaifu ya golikipa huchangia.

Sasa tunapima vipi ubora wa mlinda mlango? Wataalamu wengi katika soka walishauri mengi, lakini hivi ni baadhi ya vitu wote walivyokubaliana navyo;
1. Save ratio (Uwezo wa kuokoa hatari)
2. Foot work( both in controlling and distributing ball).
3. Strong mentality(Sio golikipa ana mawenge mawenge).

Hizo ni main, lakini nyingine ni kama height, position awareness, speed, attitude e.t.c.

Twende kwa Jefferson(Mbrazil). Pamoja na kuwa ameruhu magoli mengi ila;
1. Shot saved = 63%
2. Accurate passes (distribution) = 88%

Hizo asilimia upande wa saves zinaweza onekana chache sana, lakini tutumie mfano wa David de gea(Golikipa bora pale Epl), upande wa saves alikua na 70.14%.

Je wewe unatumia vigezo gani kupima ubora wa golikipa?

N.B, Hivi ni vigezo kwa ajili ya scouting na sio vigezo kwa ajili ya utoaji wa tuzo za golikipa bora.
 
Historia inatuambia, imekua ni changamoto kubwa sana kupima ubora wa golikipa, kuliko nafasi yeyote uwanjani
Ulivyolinganisha tu 74/% ya De Gea pale EPL ukataka kulingnisha in any how na huyo mwamba wa ligi daraja la nne nimekupuuza. Hizo takwimu za De Gea pengine ukizi Convert kwa hiyo ligi ya Mwamba unaweza pata 740%
 
Historia inatuambia, imekua ni changamoto kubwa sana kupima ubora wa golikipa, kuliko nafasi yeyote uwanjani kutokana na sababu kadha wa kadha(ambazo nitazieleza japo kidogo hapo mbeleni).


N.B, Hivi ni vigezo kwa ajili ya scouting na sio vigezo kwa ajili ya utoaji wa tuzo za golikipa bora.
Kabla ya kupost hizi pumba ulipaswa ujuwe kipa anaitwa Oliveira na kocha anaitwa Oliveira.
 
MAKOSA ya usajili Ni mengi mno.
MAKOSA Yale Yale ya Miaka mitatu ya Karibuni naona yanajirudia Tena.

Wamejaza mawinga wengi mno.


Kuhusu Golikipa.
1. Kwanza anakiuka KANUNI za LIGI Ametoka Daraja la 4 wakati KANUNI ZINATAKA mchezaji wa LIGI KUU Hadi Daraja la 3.

2. Ninauhakika huyo kipa hawezi kumfikia uwezo na uzoefu kakolanya.

3. Amejaza Nafasi ya Bangala bila sababu ya MSINGI.

4. Uzoefu WA wachezaji wengi wanaotoka Nje ya Africa ni DHAIFU.
Thailon Santos.
Flager.
Wiker
Dejan.

5. ANOTHER DEJEN VIONGOZI WASHENZ SANA
 
Mimi ni shabiki wa Yanga..

Naunga mkono hoja kuwa ni Mapema mno kuzijadili sajili zote mpya.

Miez 3 ijayo tunaweza anza Majungu .

Not now
 
Kuna shabiki wa Utopwise aliyepata ugonjwa wa ngiri kwa Mnyama kumsajili huyo kipa?Alichangia mapesa mangapi?Tuanze na hilo.
 
Ulivyolinganisha tu 74/% ya De Gea pale EPL ukataka kulingnisha in any how na huyo mwamba wa ligi daraja la nne nimekupuuza. Hizo takwimu za De Gea pengine ukizi Convert kwa hiyo ligi ya Mwamba unaweza pata 740%
Kama umesoma vizuri unaweza tambua huu uzi pamoja na takwimu zake, haupo kumlinganisha Jefferson na De gea. Siwezi vunja heshima ya De gea kiasi hicho. Ila nilitaka kuonesha hizi asilimia 63% sio chache kama baadhi ya watu wanavyofikiri hasa kwa golikipa alieruhusu idadi ya magoli mengi kwa idadi ile.
 
MAKOSA Yale Yale ya Miaka mitatu ya Karibuni naona yanajirudia Tena.

Wamejaza mawinga wengi mno.


Kuhusu Golikipa.
1. Kwanza anakiuka KANUNI za LIGI Ametoka Daraja la 4 wakati KANUNI ZINATAKA mchezaji wa LIGI KUU Hadi Daraja la 3.

2. Ninauhakika huyo kipa hawezi kumfikia uwezo na uzoefu kakolanya.

3. Amejaza Nafasi ya Bangala bila sababu ya MSINGI.

4. Uzoefu WA wachezaji wengi wanaotoka Nje ya Africa ni DHAIFU.
Thailon Santos.
Flager.
Wiker
Dejan.

5. ANOTHER DEJEN VIONGOZI WASHENZ SANA
Labda ni kweli wachezaji wengi waliotua msimbazi wakitokea nje ya bara la Afrika wameshindwa kufanya makubwa pale msimbazi.

Ila hatuwezi kuhitimisha kuwa huyu jamaa ameshindwa pia, ngoja tum-judge kwa kazi yake.
 
Historia inatuambia, imekua ni changamoto kubwa sana kupima ubora wa golikipa, kuliko nafasi yeyote uwanjani kutokana na sababu kadha wa kadha(ambazo nitazieleza japo kidogo hapo mbeleni).

Lakini wengi wetu hatukuona tabu, kwanini tuendelee kuumiza akili zetu? Basi tukachagua njia nyepesi kabisa kufikia kwenye hitimisho ya ubora wa golikipa, ambazo ni;

a. Ameruhusu magoli machache = Goli kipa bora✅
b. Ameruhusu magoli mengi = Golikipa mbovu

Ni rahisi, right?. Ila wataalamu wanakuambia kutumia njia rahisi namna hiyo ni kujidanganya. Inatufanya tushindwe kutofautisha mapungufu ya kiulinzi ya timu husika na mapungufu ya golikipa ya moja kwa moja. Kamwe njia hii haiwezi kukupa ubora au mapungufu ya golikipa.

Wanaendelea na kusema, katika match, nafasi ya golikipa sio leading role, inategemea sana na defence ya timu husika. Pia ni nafasi ambayo mchezaji anahusika kwenye movement na matukio machache zaidi katika mechi.

Katika discussion zao, wakauliza swali ambalo nakupa na wewe pia:

Mlinda mlango akifanya huge save 10 katika shot 15 na kuruhusu goli mbili per game, utamuita golikipa mbovu, kwa kigezo cha kuruhusu hayo magoli katika mchezo?

Wakamaliza na kusema, mara nyingi wingi au uchache wa magoli ya kufungwa unategemea sana na ubora au madhaifu ya timu husika katika ulinzi kiujumla, japo haifuti kuwa kuna wakati madhaifu ya golikipa huchangia.

Sasa tunapima vipi ubora wa mlinda mlango? Wataalamu wengi katika soka walishauri mengi, lakini hivi ni baadhi ya vitu wote walivyokubaliana navyo;
1. Save ratio (Uwezo wa kuokoa hatari)
2. Foot work( both in controlling and distributing ball).
3. Strong mentality(Sio golikipa ana mawenge mawenge).

Hizo ni main, lakini nyingine ni kama height, position awareness, speed, attitude e.t.c.

Twende kwa Jefferson(Mbrazil). Pamoja na kuwa ameruhu magoli mengi ila;
1. Shot saved = 63%
2. Accurate passes (distribution) = 88%

Hizo asilimia upande wa saves zinaweza onekana chache sana, lakini tutumie mfano wa David de gea(Golikipa bora pale Epl), upande wa saves alikua na 70.14%.

Je wewe unatumia vigezo gani kupima ubora wa golikipa?

N.B, Hivi ni vigezo kwa ajili ya scouting na sio vigezo kwa ajili ya utoaji wa tuzo za golikipa bora.
Nadhani hivi vigezo kipa mpya anavyo
 
Back
Top Bottom