Habari wanaJF
Mara kadhaa nimehoji na kuuliza kwanini iwepo kuoa na kuolewa sababu nini hasa, watu wanazingua wanatoa majibu mepesi et oooh hata mimi sijui, iko hivo ni jadi, matakwa ya Mungu, kivipi kwani kila ndoa ni ya Mungu, kwani kila jadi ni nzuri na haipingwi, kwani kutokuoa haiwezi...