soma

  1. Natafuta Ajira

    Natafuta kazi zinazohitaji mahesabu, kuandika au kutumia kompyuta

    Habari zenu wote? ni matumaini yangu wote ni wazima. Naomba niende moja kwa moja kwenye dhumuni kuu Mimi kijana wa kiume umri miaka 30, mwenyeji wa Dar es salaam ila kwa sasa nimeamishia makazi mkoani Iringa kujaribu maisha na huku baada ya kufanya ivyo nikiwa Dar kwa muda mrefu sana bila...
  2. JamiiForums

    Soma hapa kabla ya kuchapisha andiko lako katika Jukwaa la Stories of Change

    Kwa wote wanaotaka kushiriki shindano la Stories of Change Tafadhali someni kwa makini vigezo hivi. Hakikisha andiko lako limekidhi kabla ya kutaka kuchapisha. Vigezo na masharti ya kushiriki katika shindano hili: Mshiriki anatakiwa kutayarisha andiko linalochochea mabadiliko kwenye nyanja za...
  3. Mfilisiti

    Ukweli unaouma (uhalisia wa kitaa)

    Wakuu poleni na majukumu, moja kwa moja kwenye mada kama inavyojieleza hapo juu huu ndio uhalisia wa kitaa 1: Umekaa zako kwa raha mstarehe, ghafla unakumbuka umri wako🙄 2: Kaka unawaza kumuoa?Mwenzako bado anahesabu viewers za Whatsapp+screenshot za waliom-wish birthday yake. 3: Ewe mwanadamu...
  4. MamaSamia2025

    Mwanaume huna haja ya kuua au kumdhuru mkeo/mpenzi wako asiye mwaminifu. Soma hapa tafadhali

    Kumuua mpenzi au hata kumjeruhi ndo upumbavu wa mwanaume asiyechepuka. Kuna umuhimu wa kila mwanaume kuwa na mchepuko angalau mmoja ili kuepuesha stress zisizoeleweka. Wanaume wenye akili na wanaojitambua lazima awe na mchepuko ili njia kuu inapoleta shida inakuwa rahisi kuachana nae kisha...
  5. Samatime Magari

    TAHADHARI! Kama unategemea kununua Kirikuu/ Suzuki carry Soma hapa

    NI gari flani zamani ukinunua Scania wanakupa kama nyongeza 😎.. . Wadau wengi wamevinunua ili kufanyia biashara ya mizigo sasa basi ni vyema tukapata ABCD zake, maana usipovielewa vitakupasua kichwa.. . Suzuki Carry imezaliwa toka Tanganyika inapata uhuru 1961 mpaka leo bado kinazalishwa and as...
  6. OMOYOGWANE

    Imeandikwa muishi nao kwa akili, akili ya kwanza hii hapa jinsi ya kuishi na wanawake

    Habari wakuu Mwanamke kama namtongoza akiniuliza una mpenzi au mke ?? Nitamjibu kwa kujiamini kabisa ndio nina mke. Watu wengi wanadhani wakisema wanamke basi watakataliwa. Lakini majibu ni kinyume chake Hebu tutumie mfano wa duka lenye wateja wengi na lisilo na wateja, Duka lenye wateja...
  7. Kichwamoto

    Tunaoa ili Iweje? Soma Ujifunze

    Habari wanaJF Mara kadhaa nimehoji na kuuliza kwanini iwepo kuoa na kuolewa sababu nini hasa, watu wanazingua wanatoa majibu mepesi et oooh hata mimi sijui, iko hivo ni jadi, matakwa ya Mungu, kivipi kwani kila ndoa ni ya Mungu, kwani kila jadi ni nzuri na haipingwi, kwani kutokuoa haiwezi...
  8. sky soldier

    Alichofanyiwa Shaffih Dauda ni udikteta, nimeambatanisha post ya Shaffih iliyowatibua madikteta

    Binafsi ni shabiki wa Yanga na linapokuja imapokujaga ishu ya kumtathmini Shaffih huwa hauhitaji degree kujua kwamba ni shabiki wa Simba na mapenzi yake ya simba yanaleta mgongano wa maslahi katika kazi yake ya uchambuzi, mzani wake katika uchambuzi unapoegemea upande flani hapo ndipo anapotoka...
  9. Superbug

    Wadada watano kwa mpigo walinionea aibu kweli mimi kidume ilikuwaje? Soma...

    Nilikuwa natembea barabarani mara paaap mbele yangu kama mita 30 hivi wakajitokeza wadada watano wako pamoja wanakuja uelekeo wangu yani mimi naenda kwao na wao wanakuja kwangu. Basi kidume nilichofanya nikayaelekeza macho yangu kwenye sehemu ya chini ya vitovu vyao pale kwenye V nikiwakazia...
  10. V

    Soma vitabu ongeza maarifa

    Nauza vitabu ya course ya udaktari Kwa wale wanafunzi wa medical doctor Vitabu hivi vitawapa sana madini Niko dar es salaam Contact 0657710078 Bei maelewano
  11. guojr

    Soma Hapa Kama Unataka Kuanzisha Au Kukuza Biashara Yako – Sehemu Ya Pili

    Kwenye hatua ya kwanza kama nilivyosema lazima ujue jamii inachangamoto gani. Changamoto zipo nyingi sana hata mtaani kwako na nyingine ni za kitaifa au kidunia kabisa, kwahiyo kadiri changamoto inavyokua kwa watu wengi basi ndio unajihakikishia soko kubwa. Tunaendela kwa mifano sasa ili upate...
  12. guojr

    Soma Hapa Kama Unataka Kuanzisha Au Kukuza Biashara Yako – Sehemu Ya Kwanza

    Habari ya muda huu wana jukwaa, leo ningependa kuwapa faida ya namna ya kuanzisha au kukuza biasra kwakutumia mbinu ambazo zinafanyakazi hasa katika mazingira yetu ya kiafrika. Wengi wetu tunapotaka kuanzisha biashara tunajiuliza kuwa ni biashara gani inalipa ili uweke pesa zako zikupatie...
  13. Ramsy Dalai Lama

    Ngoja niwaambie ni Nini kimeiangusha Barcelona ungana nami niwajuze

    Barcelona ilikuwa klabu ya kwanza katika mchezo wowote kuingiza $1bn katika mapato ya kila mwaka lakin kwa sasa ina deni karibu $ 1.4bn na hii katika miaka ya karibuni. Barcelona imekuwa katika misimu yote mibaya baada ya usiku wa Berlin mnamo Juni 2015 iliposhinda fainali yake ya nne ya Ligi ya...
  14. Allen loy

    SoC01 Siku zote hakuna njia za panya kwenye mafanikio: Kwa wote walio kata tamaa ya kufanikiwa soma hapa

    Hakuna njia panya ya kwenda mahali pa thamani. Ndugu zangu sikuzote mafanikio yanakuja kwa kujituma kwa bidii sana unatakiwa ujitoe ili ufanikiwe Mafanikio ni kutembeakutoka kutofaulu hadi kutofaulu bilakupoteza shauku. Ndoto zetu zote zinawezakutimia ikiwa tuna ujasiriwa kuzifuata,na siku...
  15. vnn

    SoC01 Njia Pekee ya Kuelekea mafanikio ni kufanya uwekezaji mkubwa katika ubongo wako vijana soma hii!

    Miaka kadhaa iliyopita nilipohitimu elimu ya Chuo Baba yangu yangu mzazi aliniita akaniuliza nikikupa milioni moja unaweza ukaifanyia nini ili uache kusubiri ajira! Kwaweli nilikosa jibu kwa muda ule nilikaa nimemuangalia tu, kisha nikamuomba anipe muda wa kutosha nimpe jibu, nilimwambia...
  16. Mohamed Said

    Soma vitabu hivi ujue historia ya tanu na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

    SOMA VITABU HIVI UJUE HISTORIA YA TANU NA UHURU WA TANGANYIKA Unajua kwa nini kadi ya TANU No. 3 ni ya Abdul Sykes, No. 2 ni ya Ally Sykes na No. 1 ni ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere? Unaijua azma ya Hamza Mwapachu (1913 - 1962) katika kuwakusanya vijana wasomi ndani ya TAA...
  17. I

    Soma hii

    Umemaliza kupiga zako nyeto vizuri tu, ghafla unamskia mamaako dirishani "Na usishike vyombo vyangu na hiyo mikono yako nakwambia" 😅😅😅🙌
  18. I

    Kwa waliosoma economics naomba ufafanuzi wa dhana hizi

    Naomba ufafunuzi jamani wa some terms of game theoroea kwa ufasaha sana mana pale udsm hakuna lecturer anayejua hii topic kisawasawa wote wanapapasa tu na inaonekana walikalili tu. 1. Nash equilibrium na jinsi inavyofanya kazi. Naomba ufafanuzi kwa kiswahili. 2. Zero sume game 3. Pay off...
  19. Mohamed Said

    Soma vitabu hivi uwajue mashujaa wa Uhuru wa Tanganyika

    WATU MASHUHURI KATIKA UHURU WA TANGANYIKA Vitabu hivi vina historia ya kusisimua ya wazalendo waliopigania uhuru wa Tanganyika katika chama cha TANU lakini historia imewasahau. Ukianza kufungua ukurasa wa kwanza hutokiweka chini hadi umemaliza kukisoma. Soma mazungumzo ya Tewa Said Tewa na...
  20. T

    Mtu akisema tahadhari dhidi ya Uviko-19 ni kukosa Imani

    Ameandika Pastor Dr.Zakayo Nzogere (PhD), Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la MICC Mwanza. Pamekuwa na matamko mengi yanayokinzana kutoka kwa watumishi wa Mungu kuhusu UVIKO19. Wapo wanaosema ni maandalizi ya “Mpinga Kristo” na alama ya Mnyama 666; na wengine wakisema ni mlipuko wa kawaida usio na...
Back
Top Bottom