Ndondocha mkuu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 2,354
- 2,763
Wakuu habari za majukumu mbalimbali ya ujenzi wa Taifa.
Ni miezi kadhaa sijaleta thread hapa, tangu nilete ile thread ya jinsi nilivyopoteza 1.8M ndani ya siku chache.
Leo nimekuja tushare mambo mbalimbali ambayo nimeyapitia na nimeyaona hadi umr huu, yanaweza kukufundisha au kukupa exposure zaidi katika hii dunia..
a) kuna kipindi nilikuwa na matatzo fulani ya kifamilia ambayo yalihitaji maombi ikiwemo kuombewa na watumishi wa mungu, niliweza kumtafuta mchungaji mmoja maarufu kidogo katika mkoa niliopo, nilimsimulia yote, nilimuamini sana, lakini aliishia kuniomba ela akisema nimpatie kama sadaka ndani ya bahasha, aliishia kuramba elfu 50 yangu, tangu wakati huo sina imani na watu wanaojiita wachungaji.
b) kuna wakati niliibiwa simu yangu ambayo nilinunua katika kipindi kifupi kwa shilingi laki nne, niliumia sana, nilimtafuta mtaalamu haweze kunisaidia kuipata, mara ya kwanza naendq kwa mganga, aliniaminisha nitaipata simu yangu, huku akinipa mifano ya majiran ambao walipita kwake na kupata vitu vyao, alifanikiwa kuramba elfu 40000 yangu na simu sikupata, tangu wakati huo siwaamini tena hawa waganga hasahasa katika swala la kupata simu iliyopotea.
c) wakuu kuna kipindi nilikuwa navolunteer katika taasisi flani ya elimu bila ya malipo yoyote, lakini swala lililonishangaza ni kuona watumishi ambao wameajiriwa na serikali na wanamshahara mzuri sana wanakuja kunikopa, sio kunikopa bila riba yoyote na kukaa na ela kwa muda mrefu na kuja kuongeza deni juu ya deni, haohao wanakopa milioni 8 ,o au 15 benki lakini hawakukumbuki hata kwa elfu 5 au 10, lakini wakubanwa wanakuazima bila ya huruma, wanachukulia mtu kwa age ya 25'S huna majukumu wakati ni muda sahihi wa mtu kujipanga kimaisha.
d) Wakuu katika umri huu , niliweza kupoteza ela 1.8M kwa muda mfupi sana , ela ambayo niliitafuta kwa miezi zaidi ya 6, niliumia sana, nilikata hadi tamaa,ila kwa muda wa miezi ileile sita nilitengeneza zaidi ya ile hela. Hapa nilijifunza pesa inahitaji nidhamu sana.
e) Wakuu katika swala la kuazima watu ela nimegundua watu wengi sio waaminifu kabisa, unaweza mpa mtu 70000 akakuahd mwsho wa mwez nitakupa lakini ikifika anakupa40000 na ahadi kibao alafu kati ya mwezi anakuazima tena 80000. Au mtu anakuazma elfu 10 harudishi, anajisahau anapata shida kubwa anakuazma laki 1, binafs kwasasa siwez kukupatia. Katika hili nimejifunza unapoahd kumlipa mtu ela yake jitahd umpe ontime, sjida haziishi.
Asante Jf HOME OF GT
Ni miezi kadhaa sijaleta thread hapa, tangu nilete ile thread ya jinsi nilivyopoteza 1.8M ndani ya siku chache.
Leo nimekuja tushare mambo mbalimbali ambayo nimeyapitia na nimeyaona hadi umr huu, yanaweza kukufundisha au kukupa exposure zaidi katika hii dunia..
a) kuna kipindi nilikuwa na matatzo fulani ya kifamilia ambayo yalihitaji maombi ikiwemo kuombewa na watumishi wa mungu, niliweza kumtafuta mchungaji mmoja maarufu kidogo katika mkoa niliopo, nilimsimulia yote, nilimuamini sana, lakini aliishia kuniomba ela akisema nimpatie kama sadaka ndani ya bahasha, aliishia kuramba elfu 50 yangu, tangu wakati huo sina imani na watu wanaojiita wachungaji.
b) kuna wakati niliibiwa simu yangu ambayo nilinunua katika kipindi kifupi kwa shilingi laki nne, niliumia sana, nilimtafuta mtaalamu haweze kunisaidia kuipata, mara ya kwanza naendq kwa mganga, aliniaminisha nitaipata simu yangu, huku akinipa mifano ya majiran ambao walipita kwake na kupata vitu vyao, alifanikiwa kuramba elfu 40000 yangu na simu sikupata, tangu wakati huo siwaamini tena hawa waganga hasahasa katika swala la kupata simu iliyopotea.
c) wakuu kuna kipindi nilikuwa navolunteer katika taasisi flani ya elimu bila ya malipo yoyote, lakini swala lililonishangaza ni kuona watumishi ambao wameajiriwa na serikali na wanamshahara mzuri sana wanakuja kunikopa, sio kunikopa bila riba yoyote na kukaa na ela kwa muda mrefu na kuja kuongeza deni juu ya deni, haohao wanakopa milioni 8 ,o au 15 benki lakini hawakukumbuki hata kwa elfu 5 au 10, lakini wakubanwa wanakuazima bila ya huruma, wanachukulia mtu kwa age ya 25'S huna majukumu wakati ni muda sahihi wa mtu kujipanga kimaisha.
d) Wakuu katika umri huu , niliweza kupoteza ela 1.8M kwa muda mfupi sana , ela ambayo niliitafuta kwa miezi zaidi ya 6, niliumia sana, nilikata hadi tamaa,ila kwa muda wa miezi ileile sita nilitengeneza zaidi ya ile hela. Hapa nilijifunza pesa inahitaji nidhamu sana.
e) Wakuu katika swala la kuazima watu ela nimegundua watu wengi sio waaminifu kabisa, unaweza mpa mtu 70000 akakuahd mwsho wa mwez nitakupa lakini ikifika anakupa40000 na ahadi kibao alafu kati ya mwezi anakuazima tena 80000. Au mtu anakuazma elfu 10 harudishi, anajisahau anapata shida kubwa anakuazma laki 1, binafs kwasasa siwez kukupatia. Katika hili nimejifunza unapoahd kumlipa mtu ela yake jitahd umpe ontime, sjida haziishi.
Asante Jf HOME OF GT