soma

  1. kikoozi

    JamiiForums Tanzania Soma kwa makini unipe ushauri kwa hili

    Habarini za uzima wakuu, poleni na majukumu yanayo wazonga, mungu atupiganie kwenye maradhi yeyote yale. naombeni niwape story fupi kabisa ndeni mnipe ushauri kabla sijafanya maamuzi yangu binafsi ambayo yatatokana na mawazo yenu bora kabisa. Mimi nilitolewa kijijini na shangazi yangu kuletwa...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Ushuhuda wa Mchungaji Godwin Chilewa kuhusu COVID-19: Je, tunamficha nani, kwanini na kwa Faida gani?

    Nimeugua Covid 19, nikatibiwa na kupona (Jina la Bwana lihimidiwe). Kuugua kwangu kumenisaidia kujifunza mengi, na kubaini uongo mwingi wanaoambiwa watu wetu ili kuwapooza, badala ya kufanya jitihada ya dhati ya kuwalinda, na kuwaokoa na janga la COVID 19. Ni kwa sababu hii nimeona vema kuandika...
  3. W

    JamiiForums Tanzania Covid-19 attack levels: Dondoo muhimu za kujua na hatua za kuchukua

    COVID ATTACK LEVELS Level 1 - Inatibika Level 2 - Inatibika Level 3 - Hatari na ngumu kutibika Kwa Level 1 & Level 2 dawa zifuatazo zimewasaidia wengi: Azithromycin, Amoxillian&Clavunate Potassium, Junior Aspirin, Ped zinc, Vitamin C na Prednisolne. Tusisahau: Tangawizi, Malimao na...
  4. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania SOFTWARE Soma vitabu vya kiswahili kwenye hii app

    Humu kuna vitabu mbalimbali vya kiswahili. Tumebadili namna ya ulipaji. Sasa unaweza kusubscribe kwa Tsh 6000 na kusoma vitabu vyote mwaka mzima. Kila mwezi tunaongeza vitabu kadhaa. https://play.google.com/store/apps/details?id=app.b.maktaba
  5. JituMirabaMinne

    JamiiForums Tanzania Kabla hujabadilisha automatic gearbox ya gari lako soma hapa

    Ili gari yenye gearbox ya automatic(automatic transmission) iweze kubadilisha gear kuna taarifa kuu mbili ni lazima zipokelewe na mfumo wa kompyuta(control unit) ndio gear zitaweza kubadilika. Taarifa hizo ni:- 1. Speed ambayo driving shaft/tairi zinazunguka. 2. Speed ambayo engine...
  6. mathsjery

    JamiiForums Tanzania Sikai na SMS kwenye simu, nikishasoma nafuta

    Je, labda huwa nakosea? Nikishasoma SMS nafuta, huwa sikai na SMS kwenye simu. Sababu ilikuwa ni jinsi navyojikuta nimetumiwa text nyingi na mtu ambaye naweza kuwa namfahaamu na nime msave kwa jina. Halafu wakati huo huo natumiwa text na huyo kwa namba ambayo sijaisave siku zinaenda kwa kasi...
  7. School face

    JamiiForums Tanzania Hii tabia Musoma inakera sana

    Habari wana JF, Moja kwa moja niende kwenye mada. Kumekuwa na tabia ya ajabu sana na ya kusikitisha sana hasa kwenye kumbi mbalimbali za starehe yaani ukiingia kwenye kumbi nyingi za starehe hapa Mjini Musoma Kuna kuwa na vijana wengi sana wa kike na wakiume. Lakini jambo linalo nisikitisha...
  8. K

    JamiiForums Tanzania Ukitaka mawazo chanya, soma posts na mada za wapinzani mitandaoni

    Pitia mitandao yote utagundua watu wanojenga hoja za kisera, kisheria, kikatiba, kiuchumi, kijamii na anga nyingine ni makundi haya Wanaharakati Wafuasi wa vyama vya siasa vya upinzani Baadhi ya Wastaafu katika utumishi wa Umma hasa wale ambao hawana bodi Wala chombo Cha kuongoza Baadhi ya...
  9. E

    JamiiForums Tanzania Advanced Physics na Advanced Chemistry tunayo soma form five na six ndio inayosomwa U.S, China na mataifa mengine duniani.

    Habari za Leo wakuu, Kumbe Advanced Physics na Advanced Chemistry tunayosoma form five na six ndio hiyo hiyo inayosomwa U.S, China, Ufaransa na mataifa mengine. Tofauti ni moja tu sisi hutufanyi practical za tunacho kisoma. Ila hesabu, na maelezo yote ni yaleyale. Principal ni zile zile. Na...
  10. Kategele

    JamiiForums Tanzania Kuishi kwingi kuona mengi: Soma kisa nilichokiona Kawe

    Picha linaanza napokea simu kwa ndugu zangu upande wa mama watoto wangu wanasema, samahani tunakuja kwenye maombezi kwa Mwamposa wewe kama mwenyeji tunaomba utupokee ili utupeleke kwa Mwamposa tukaombewe. Nikasema ok poa nitawapeleka nyie njooni. Ijumaa wakaingia ndani ya jiji la Dsm...
  11. Youth Worker Tanzania

    JamiiForums Tanzania Kwa yote utakayofanya, wewe ndie muhusika mkuu kwa asilimia mia moja, juu ya maamuzi yako utakayoyatoa

    Hakuna atakayekuja chumbani au mezani kisha akakulazimisha kuelewa unayojifunza darasani kwa ngazi yeyote uliyopo. Vema ukajitambua aina ya usomaji ulionao ,Kwa maana ni kwa njia ipi unaitumia ili kuelewa yale unayojisomea. Kuna mtu uelewa kwa kusikiliza,mwingine kwa kupitia discussion au yupo...
  12. Mao Tanzania

    JamiiForums Tanzania Pendekezo: Tanzania tuwe na ufalme, tuteue ukoo mmoja!

    Za pilika ! Nimekuwa nikifuatilia michakato ya Uchaguzi ya vyama vingi toka 1995. Mimi ni mdau wa "utulivu" yaani tuwe na jamii tulivu. Kwanini naongelea UTULIVU? . Utulivu ndo hasa kitu pekee halisi kinachoweza kuwepo katika kundi la binadamu wanao kaa/Ishi pamoja. Kiasili hakuna usawa wa...
  13. yuda75

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usikimbilie kumtambulisha mpenzi wako soma kwanza mchezo

    Sikuizi mapenzi ni kusomana sana tena kwa umakini wa hali ya juu, unaweza mpeleka mpenzi wenu kwenu akakuta mambo sivyo na alivyo kuwa anategemea so tarajia atabadilika mana mategemeo yake ni tofauti na alicho kuta kwenu au kwa ndugu zako SOMA MCHEZO Unaweza ukamtambulisha mpenzi wako kwenu...
  14. D

    JamiiForums Tanzania GE2020 Tazama hii video ya kivuko alichozuiwa kupanda ndugu Tundu Lissu kwa madai kuwa ni kibovu kikiwa Mwibara kisha soma ufafanuzi wa yaliyotokea

    Kwenye video hapa chini kinaonekana kivuko ambacho kipo upande wa Mwibara. Kilitoka Ukerewe kwenda Mwibara ambapo kimemuacha ndugu Lissu akiwa Ukerewe kwenye mkutano. Yani Lissu amefika Ukerewe na kivuko kikatoka Ukerewe (Na tuliambiwa kuwa ni kibovu) Tazama mbele ya kivuko yanaonekana magari...
  15. safuher

    JamiiForums Tanzania Je, wewe ni mlaji kupindukia na unashindwa kuacha tabia hiyo? Soma hapa uwaidhike

    Suala la kula kupindukia hata kama mtu hakipendi chakula hiko kivile ni suala limezoeleka hapa duniani pengine wewe msomaji ni katika wao. Kula chakula kingi sana ni ulafi na kushindwa kujizuia na kuidhibiti nafsi yako ipasavyo. Kwa kawaida mwili wa binadamu tumbo lake ili ajihisi ameshiba...
  16. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Nguzo Kuu Tano za Maisha: Soma utakapoishia panakutosha

    NGUZO KUU TANO ZA MAISHA Na, Robert Heriel Maandishi ya Robert Heriel kwa Lugha ya Kiswahili. Maisha ni kuishi, na kuishi ndio maisha yenyewe. Hapana shaka ndoto ya kila mwanadamu ni kuishi maisha mazuri na ndio sababu watu wanahangaika kuhakikisha maisha yao yanakuwa mazuri. watu wengi...
  17. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania GE2020 Membe, soma alama za nyakati

    Siasa ni mchezo mmoja wa ajabu. Siasa haitaki hasira wala kuilazimisha. Taabu anayopata Mh Magufuli kujinadi sasa hivi haikutegemewa, pamoja na mazuri mengi aliyofanya. Ndugu yetu Membe kaingia siasa kwa mdundiko wa wengi. Wapiga mdundiko walipotuliza ngoma sasa ndo tunaona mambo dhahiri...
  18. Its Pancho

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kijana unayetaka kuoa au mwenye mpenzi soma haya

    Vijana wengi siku hizi tumekuwa na makasiriko mengi kuhusu mahusiano. Mara nyingi kesi ikiwa ni usaliti. Sasa unapaswa kuelewa haya nitaanza na wanawake kisha nitafatia wanaume. elewa kwamba. 1; Wanawake wengi Siku hizi wana wanaume wawili. Yaani waziri wa fedha na waziri wa ndani.. 2...
  19. S

    JamiiForums Tanzania GE2020 Shiriki katika historia hii itakayoandikwa siku ya upigaji kura

    Si wananchi, si Polisi, si Wanajeshi si Vyombo vya Usalama si wafanyakazi serikalini,wote wameshaichoka CCM kwa jinsi inavyowahangaisha, njooni huku twendeni kule watu hawana raha na maisha wapo mbioni tu wakitakiwa kuilinda CCM, ambayo bila ya kuwatisha watu kwa barua za kuhudhuria mikutano na...
  20. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Siri ya kutokukosa hela tena (Kutokufulia) hii hapa. Soma hutajuta...

    Watoto hufanya kile wanachokipenda ila mtu mzima kabarikiwa uwezo wa kuujua uhalisia, kubuni mipango na kuifata. Kuna kitu muhimu ambacho hakikwepeki mimi na wewe tunapotumia pesa, si kingine bali ni "HESABU", yawezekana ni wengi tu tunazijua hesabu lakini hapa ni kuhusu kuzitumia...
Back
Top Bottom