Alichofanyiwa Shaffih Dauda ni udikteta, nimeambatanisha post ya Shaffih iliyowatibua madikteta

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,029
Binafsi ni shabiki wa Yanga na linapokuja imapokujaga ishu ya kumtathmini Shaffih huwa hauhitaji degree kujua kwamba ni shabiki wa Simba na mapenzi yake ya simba yanaleta mgongano wa maslahi katika kazi yake ya uchambuzi, mzani wake katika uchambuzi unapoegemea upande flani hapo ndipo anapotoka nje ya vigezo vya uchambuzi, kwa hili pekee anastahili kulaumiwa lakini kilichofanyika leo dhidi yake ni udikteta wa wazi kabisa wa tff.

Licha ya shaffih kuwa na conflict of interest kwenye kazi yake ya uchambuzi linapokuja swala la kushindwa kuzuia ushabiki wake kwa watanj, lakini kuna muda huwa anarudi mstarini katika kuweka mambo yawe neutral.

Katika sakata lile la gsm, Shaffih aliweza kuweka maoni yake haya ambayo ndio chanzo ya kuwatibua tff ambao wamelipiza kwa kumfungia na faini kwa juu, naweza kusema ni utoto (very childish)



TFF NI NYUMBA YA KUPANGA?

TFF ni taasisi yenye kusimamia maslahi ya mpira wetu, TFF sio nyumba ya kupanga ambayo Baba mwenye nyumba aseme hiki tufanye hiki tusifanye hata kama hakina maana

TFF sio nyumba ya kupanga ambayo Mwenye nyumba aseme leo nyama hapana, aseme sitaki Mtu abandike picha ukutani na kuhojiwa kusiwepo! TFF ni mali yetu wote

Shida kubwa iliyopo Shirikisho ni mentality ya nyumba ya kupanga, wakisema kitu sisi Wapangaji tusihoji kwakuwa hatukuchangia tofari wala madirisha, wala hatukutoa mia ya uwanja, SIO KWELI

Wakati mmesaini mikataba yote klabu hawajui kitu zaidi ya kupelekewa figure na kuambiwa watekeleze, hakuna kuhoji bali kutekeleza, huo sio uongozi bali DICTATORSHIP

Klabu zimeenda kutekeleza kitu ambacho hawajui msingi wake, ndani ya miaka miwili wadhamini wawili wanaondoka bila fidia kwa klabu, shida kubwa ikiwa ni ninyi TFF na Mentality za BABA MWENYE NYUMBA

TPLB ipo kwa ajili ya maslahi ya klabu zote ila mmeitoa meno, mmeifanya kama kamati na ninyi mmejipa majukumu yote, TPLB haina Viongozi bali CEREMONIAL LEADERS, Kila kitu kinafanyika Karume

Matokeo yake ndio haya! Mguto hana makosa, Kasongo hana makosa tena wasipewe jumba bovu tatizo lote ni ninyi hapo KARUME, ndio maana siku zote huwa nawaambia bodi iwe huru isajiliwe kama Kampuni

Kila siku agenda lakini mpo kwenye total failure! Nyie msimamie mpira, nyie msimamie timu za taifa, nyie msimamie Ligi, Guys muelewe DIVISION OF POWER haikwepeki, mjitathimini ikiwemo hata kujiuzulu sio kwa ubaya

Kila mkataba kisheria ambao TPLB atasaini ninyi mnapata 10% kisheria, tatizo nini mtake kila kitu mfanye ninyi??? Kuna siri gani ambayo hatuijui

Whenever we are given an opportunity to elect leaders, we are given a blank cheque! We elect hyenas to take care of goats
 
Binafsi ni shabiki wa Yanga na linapokuja imapokujaga ishu ya kumtathmini Shaffih huwa hauhitaji degree kujua kwamba ni shabiki wa Simba na mapenzi yake ya simba yanaleta mgongano wa maslahi katika kazi yake ya uchambuzi,..
"mjitathmini ikiwemo hata kujiuzulu"..
Tatizo lilikuwa hapa, kitumbua cha watu kuweka mchanga

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Shafii ni Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa TFF kwanin hayo malalamiko yake asiyapeleke TFF anayaleta mtandaoni amekosea
 
Alikosea kama mjumbe huwa anaingia kwenye vikao, maana yake na yeye ajiuzulu nafasi ya ujumbe, kwani wakat mikataba inasainiwa yeye kama mjumbe hakuwepo?

Na kama alikuwepo mbona alinyamaza kimya huko huko mpaka ikasainiwa au hata kama hakuwepo je alihoji kupitia vikao vyao halali? Angewasilisha barua yake huko Ili asipopata majibu ndio alete Kwa umma akiambatanisha na hiyo barua Ili umma uwahoji viongozi wa TFF, hiki alichokifanya hafai hata kuwa mjumbe
 
Alikosea kama mjumbe huwa anaingia kwenye vikao, maana yake na yeye ajiuzulu nafasi ya ujumbe, kwani wakat mikataba inasainiwa yeye kama mjumbe hakuwepo?
Kwa mawazo yako suala la kusaini mkataba linawahusu wajumbe wa kamati zote za TFF? Mjumbe wa kamati ya waamuzi anahusikaje na kusaini mkataba wa udhamini wa ligi?
 
Duuuu, ma-dictator wamempiga rungu la kichwa dictator, apo mimi mwananchi nasema ‘tawire’…
 
za ndani zinasema yule ka anataka awe raisi wa milele karmue
 
Kwa ninavyofahamu Shaffih ni shabiki wa Yanga tangu zamani. Ila majukumu yamemfanya awe neutral. Kwa jinsi Simba ilivyofanya vizuri misimu minne mfululizo ikafanya wachambuzi wengi wasingiziwe kuwa ni Simba kwa vile walikuwa wanatoa maoni chanya kuhusu kiwango cha Simba
 
kuna fungu limempita pembeni...akaamua kumwaga mboga....wao wakamwaga ugali na wakapasua na sahani zote......wamebaki na jiko wanaweza kupika tena.....
 
Kwa mawazo yako suala la kusaini mkataba linawahusu wajumbe wa kamati zote za TFF? Mjumbe wa kamati ya waamuzi anahusikaje na kusaini mkataba wa udhamini wa ligi?
Yeye ni mjumbe wa TFF anaweza akahoji jambo lolote ambalo anaona haliko sawa hata kama hausiki kwenye kamati, alichofanya ni uhaini kuja kurusha kombola kwenye mitandao halafu yuko huko huko TFF angekuwa nje ni sawa
 
Alikosea kama mjumbe huwa anaingia kwenye vikao, maana yake na yeye ajiuzulu nafasi ya ujumbe, kwani wakat mikataba inasainiwa yeye kama mjumbe hakuwepo?

Na kama alikuwepo mbona alinyamaza kimya huko huko mpaka ikasainiwa au hata kama hakuwepo je alihoji kupitia vikao vyao halali? Angewasilisha barua yake huko Ili asipopata majibu ndio alete Kwa umma akiambatanisha na hiyo barua Ili umma uwahoji viongozi wa TFF, hiki alichokifanya hafai hata kuwa mjumbe
Yale yale ya Nduguyai
 
Binafsi ni shabiki wa Yanga na linapokuja imapokujaga ishu ya kumtathmini Shaffih huwa hauhitaji degree kujua kwamba ni shabiki wa Simba na mapenzi yake ya simba yanaleta mgongano wa maslahi katika kazi yake ya uchambuzi, mzani wake katika uchambuzi unapoegemea upande flani hapo ndipo anapotoka nje ya vigezo vya uchambuzi, kwa hili pekee anastahili kulaumiwa lakini kilichofanyika leo dhidi yake ni udikteta wa wazi kabisa wa tff.

Licha ya shaffih kuwa na conflict of interest kwenye kazi yake ya uchambuzi linapokuja swala la kushindwa kuzuia ushabiki wake kwa watanj, lakini kuna muda huwa anarudi mstarini katika kuweka mambo yawe neutral.

Katika sakata lile la gsm, Shaffih aliweza kuweka maoni yake haya ambayo ndio chanzo ya kuwatibua tff ambao wamelipiza kwa kumfungia na faini kwa juu, naweza kusema ni utoto (very childish)



TFF NI NYUMBA YA KUPANGA?

TFF ni taasisi yenye kusimamia maslahi ya mpira wetu, TFF sio nyumba ya kupanga ambayo Baba mwenye nyumba aseme hiki tufanye hiki tusifanye hata kama hakina maana

TFF sio nyumba ya kupanga ambayo Mwenye nyumba aseme leo nyama hapana, aseme sitaki Mtu abandike picha ukutani na kuhojiwa kusiwepo! TFF ni mali yetu wote

Shida kubwa iliyopo Shirikisho ni mentality ya nyumba ya kupanga, wakisema kitu sisi Wapangaji tusihoji kwakuwa hatukuchangia tofari wala madirisha, wala hatukutoa mia ya uwanja, SIO KWELI

Wakati mmesaini mikataba yote klabu hawajui kitu zaidi ya kupelekewa figure na kuambiwa watekeleze, hakuna kuhoji bali kutekeleza, huo sio uongozi bali DICTATORSHIP

Klabu zimeenda kutekeleza kitu ambacho hawajui msingi wake, ndani ya miaka miwili wadhamini wawili wanaondoka bila fidia kwa klabu, shida kubwa ikiwa ni ninyi TFF na Mentality za BABA MWENYE NYUMBA

TPLB ipo kwa ajili ya maslahi ya klabu zote ila mmeitoa meno, mmeifanya kama kamati na ninyi mmejipa majukumu yote, TPLB haina Viongozi bali CEREMONIAL LEADERS, Kila kitu kinafanyika Karume

Matokeo yake ndio haya! Mguto hana makosa, Kasongo hana makosa tena wasipewe jumba bovu tatizo lote ni ninyi hapo KARUME, ndio maana siku zote huwa nawaambia bodi iwe huru isajiliwe kama Kampuni

Kila siku agenda lakini mpo kwenye total failure! Nyie msimamie mpira, nyie msimamie timu za taifa, nyie msimamie Ligi, Guys muelewe DIVISION OF POWER haikwepeki, mjitathimini ikiwemo hata kujiuzulu sio kwa ubaya

Kila mkataba kisheria ambao TPLB atasaini ninyi mnapata 10% kisheria, tatizo nini mtake kila kitu mfanye ninyi??? Kuna siri gani ambayo hatuijui

Whenever we are given an opportunity to elect leaders, we are given a blank cheque! We elect hyenas to take care of goats

wewe utakuwa Farhan Jr....
 
Back
Top Bottom