simu

  1. C

    JamiiForums Tanzania Je, kuna simu inayoweza ku-operate kwa mfumo wa PC au Komputa

    Wakuu nauliza na pia nataka kujua kama kuna simu inayo-operate au kufanya kazi kama kompyuta inavyofanya kazi, Hapa nazungumzia jinsi upangaji wa mafaili unavyofanyika katika kompyuta na je simu pia inaweza kufanya kama vile kompyuta inafanya Na pia jinsi kompyuta inavyofanya kazi kama multi...
  2. JamiiForums Tanzania Ni hatua zipi za kufuata ili kupata simu iliyoibiwa/kupotea?

    Habari za Jumamosi ya leo waungwana, Tafadhali, kwa mwenye kufahamu hatua za kufuata ikiwa unataka kuipata simu iliyopotea kwa kutumia IMEI# naomba anifahamishe. Hii ni baada ya kutoa taarifa Polisi.
  3. C

    JamiiForums Tanzania Tatizo la simu kuweka Mistari kwenye kioo

    Wakuu, habari za Asubuhi Simu yangu ina tatizo la kuweka Mistari kwenye kwenye kioo chake na baada ya muda hiyo mistari hupotea. Sasa wakuu hapo shida itakua ni kitu gani maana hiyo mistari naona kama inaondoa muonekano mzuri wa simu.
  4. JamiiForums Tanzania Msaada jinsi ya ku unlock simu aina ya amazon fire

    Habari za majukumu wandugu, naombeni msaada wa program itakayoweza kunisaidia kuondoa simlock katika simu aina ya amazon au kama kuna mtu anaweza kufanya kazi hii aje PM Natanguliza shukrani.
  5. JamiiForums Tanzania Wapi nitawapata wauzaji wa jumla wa vioo na touch za simu?

    Habari za majukumu naombwa kujuzwa juu ya biashara ya vioo vya simu vya bei ya jumla mi nifundi simu pia naduka la accesories nahitaji kupunguza gharama za upataji wa vioo na touch haswa kwa simu za Kichina maana naona wasambazaji naochukua kwao hapa nchini awaishiwi visababu na kupandisha bei...
  6. JamiiForums Tanzania Kuifanya simu za Huawei v19 pro ziweze kutumia mitandao ya ndani ya nchi

    Wakuu habarini za jioni. Naombeni msaada namna ya kuifungua simu za huawei v19 pro ziweze kutumia mitandao ya ndani ya nchi, kwani nimenunua simu tajwa hapo juu kila ninapoweka laini za mitandao ya Tanzania hazisomi isipokuwa kwa emergency calls tu, hivyo naombeni msaada kwa hilo wakuu...
  7. JamiiForums Tanzania Viongozi wawe na utamaduni wa kupokea simu na kujibu jumbe fupi ktk kutatua kero za wananchi

    Mimi ni mfatiliaji mzuri wa Kipindi cha Mhe. Polepole chenye jina la Papo kwa Papo! Kumekuwa na tabia ya baadhi ya Viongozi kutokupatikana kwenye simu! Na hii ndio picha iliyopo kwenye Jamii! Viongozi wengi wa Serikali, RC, RAS, DC, Mawaziri, Wabunge, Makatibu Wakuu, nk wamekuwa na tabia ya...
  8. JamiiForums Tanzania Ni nani aliyewadanganya watu wengi kuwa kugeuza simu wakati wanapoongea na mtu ni jambo bora zaidi?

    Kuna mambo mengi ambayo tunayaona mitaani mpaka wengine tunashangaa. Mtu anapigiwa simu anatazama jina anapokea kisha huigeuza na kuanza mazungumzo. Watu wanajifanya kujua kuliko aliyetengeneza simu. Huu ujuaji ungeambatana na uvumbuzi wa simu mpya ingependeza zaidi. Mtu hata kuunda batteries...
  9. JamiiForums Tanzania Mazungumzo ya simu ya Rais Trump akimshinikiza Katibu Mkuu wa Jimbo la Georgia kubadili matokeo ya uchaguzi ya jimbo la Georgia

    Rais wa Marekani, Donald Trump alimshinikiza Katibu Mkuu wa jimbo la Georgia kwa chama cha Republic, Brad Raffensperger kutafuta idadi ya kura za kutosha kubadilisha matokeo ya jimbo hilo akimtishia kuweza kutenda 'kosa la jinai' katika mazungumzo ya simu yaliyodumu kwa muda wa saa moja, gazeti...
  10. JamiiForums Tanzania Tigo Customer Care kuna shida gani hampokei simu za wateja?

    Tangu Alhamis ya week iliyopita nilitoa pesa kwa wakala wa tigo pesa mara mbili bila mimi kujua. Mara ya kwanza nilitoa 45,000 lakini nikaambiwa muamala wangu umekataliwa. Na wakala hakuona sms ya muamala. Nikazani ni tatizo tu la kawaida. tu. Kwa vile kulikuwa na pesa kwenye account nikatoa...
  11. JamiiForums Tanzania Mawaziri wa Afya watoa namba za simu kwa ajili ya kupokea maoni, kero, ushauri au taarifa kutoka kwa wananchi

    Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima pamoja na Naibu wake Dkt. Godwin Mollel wametoa namba za simu kwa ajili ya kupokea maoni, kero, ushauri au taarifa kutoka kwa wananchi. Wamesema lengo la kutoa namba hizo ni kwa ajili ya kurahisisha upatikanaji wa...
  12. JamiiForums Tanzania I have dream: Ipo siku moja nami nitachat na Rais Magufuli kwenye simu

    Nasema ipo siku moja tu, Na imeisha hiyo ikienda imeenda ikirudi pancha Niwatakie jumapili njema🤦🤪🏃
  13. M

    JamiiForums Tanzania Waziri Ndugulile na Serikali ya CCM tafadhali kama mmebariki Uhuni huu unaofanywa na Makampuni ya Simu nchini mtuambie

    Haiwezekani naacha Kuungana na Binadamu Wenzangu wote duniani Kusheherekea mwaka huu mpya wa 2021 badala yake naupokea huku nikiwa na Hasira na Uhuni kama siyo Utapeli tunaofanyiwa na Makampuni ya Simu nchini Tanzania na hapa binafsi nauongelea sana huu wangu wa Morocco Smartphone Network...
  14. JamiiForums Tanzania Picha wanazopenda kuangalia wanawake kwenye simu zao

    Wanawake bwana huwa ni viumbe wa aina yake kama mambo yao yalivyo tu. Unaweza mkuta katulia zake ukafikiri kuna jambo moja serious Sana analifanya kumbe, Ataperuze picha kulingana na tukio lililoko mbele yake au analolitamani litokee, 1. Kama ni mja mzito ; Atakua anaangalia vinguo vya...
  15. JamiiForums Tanzania Kwa mahitaji ya mafundi wazuri wa garden watafute instagram kwa jina la true garden designers au wapigie simu namba 0687239674

    Kama unatafuta mafundi wa garden/bustani nzuri na zakuvutia kwaajili ya majumbani,maofisini,shuleni,hotelini n.k tutafute kwa namba za simu 0687239674,0717580898 WhatsApp/calls popote tunafika Tz kwa Sasa tupo Dar es salaam..na Bei zetu ni nafuu.
  16. JamiiForums Tanzania Wakulima India wabomoa minara 1500 ya simu

    Maandamano ya wakulima yanayoendelea nchini India hasa hasa jimbo la Punjab yamepelekea minara ya simu ipatayo 1500 kuharibiwa. Uharibifu huo ni kwa kuiba majenereta yanayoendesha mitambo hiyo na kukatwa kwa nyaya za mawasiliano zinazoiunganisha na minara mingine. Katika moja ya video...
  17. JamiiForums Tanzania TCRA yapewa miezi mitatu kumaliza changamoto za bando na vifurushi zinazotolewa na kampuni za simu za mkononi kwa wananchi

    Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dk. Faustine Ndugulile ametembelea TCRA na kuipa miezi mitatu kumaliza changamoto za bando na vifurushi zinazotolewa na kampuni za simu za mkononi kwa wananchi kwani hawana imani na vifurushi vya intaneti. Pia, Waziri Ndugulile ameiagiza TCRA...
  18. JamiiForums Tanzania WhatsApp kutofanya kazi kwenye baadhi ya simu za Android na iPhone mwaka 2021

    Programu tumishi ya mawasiliano ya Whatsapp haitafanya kazi katika baadhi ya simu kuanzia mwaka 2021, baadhi ya vyombo vya habari vimeripoti. Programu hiyo haitafanya kazi katika simu za Android zinazotumia toleo la 4.0.2 au ndogo zaidi ya hiyo, na kwa simu za iPhone zinazotumia toleo la 9 (iOS...
  19. C

    JamiiForums Tanzania Simu (Tecno Pouvoir 3) ilidondoka kwenye maji, Je, kuna uwezekano ikarejea katika hali yake ya kawaida?

    Kama kichwa hicho cha uzi kinavyojieleza hapo juu Ni kwamba hiyo simu ilidondoka kwenye maji mtoni ikaja kupatikana baada ya saa kama 1 hivi baadae Je, kuna uwezekano ikarejea hali yake ya kufanya kazi kama mwanzo au tu niachane nayo nisije nikapoteza pesa na mafundi pamoja na muda wangu?
  20. JamiiForums Tanzania Rafiki yangu ni Wakala wa huduma za kifedha kwa mitandao ya simu ila katapeliwa kwa njia hii

    Habari zenu wote humu ndani? Kisa kipo hivi Rafiki angu anasimulia kwamba alikuja jamaa kibandani kwake akasema kwamba kuna mtu wake anataka kumtumia hela ila hana simu ila ana namba ya jamaa kichwani, na pia ni namba ya voda. Rafiki angu huyo akamwambia chukua namba yangu hii ya Wakala (zile...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…