Mara kadhaa kaka akinipigia ananiambia mbona namba yako kuna mtu huwa anapokea.Basi nikawa napuuzia kuwa labda huwa anakosea. Ni line ambayo ina zaidi ya miaka 8 na nimesajili kwa kutumia kitambulisho cha NIDA.
Basi juzi juzi jamaa mwingine ananiambia mbona namba yako kuna mtu mwingine anapokea ikipigwa.Ikabidi nianze kufuatilia.Nikaipiga namba yangu kutumia simu hiyo hiyo ilimo line ila kwa kutumia mtandao mwingine. Duuh jamaa akapokea na nikamsalimia na kukata simu.
Ikabidi niwapigie wenye mtandao na kuwaelewesha lakini wananijibu kwamba inawezekana nime forward call lakini mimi nikiangalia kwenye setting forward call ziko disabled.
Je, waungwana nifanyeje maana ina onekana kabisa line moja inamilikiwa na watu wawili?
Basi juzi juzi jamaa mwingine ananiambia mbona namba yako kuna mtu mwingine anapokea ikipigwa.Ikabidi nianze kufuatilia.Nikaipiga namba yangu kutumia simu hiyo hiyo ilimo line ila kwa kutumia mtandao mwingine. Duuh jamaa akapokea na nikamsalimia na kukata simu.
Ikabidi niwapigie wenye mtandao na kuwaelewesha lakini wananijibu kwamba inawezekana nime forward call lakini mimi nikiangalia kwenye setting forward call ziko disabled.
Je, waungwana nifanyeje maana ina onekana kabisa line moja inamilikiwa na watu wawili?