Natamani enzi naanza maisha ningeijuaga JamiiiForums au ningepata mawazo na idea ambazo nazitoa mimi kila siku au ninazokuta watu wamezitoa bure humu humu JF.
Leo nimekaaa nimewaza sana namna ya kumsaidia mtu aliekata tamaa hana pesa au kama anayo imebaki ya ngama yani ikiisha na hyo tu Ndio...
Imedhihirika bila chenga kupitia kesi ya ugaidi inayowakabili Mbowe na wenzake kuwa waendesha mashtaka wa Serikali ni vilaza wa kuandaa mashtaka na kuandaa mashahidi wao. Aidha Polisi wetu wameonekana ni weupe kichwani kuhusu sheria za jinai za nchi hii.
Hivyo ili kuficha aibu hii kwa Serikali...
Freeman Mbowe na wenzake wameletwa tayari. Lakini ulinzi mkali umeimarishwa. Askari wengi. Pia kuna zuio la watu kuingia ndani ya mahakama. Wanasema ni mawakili 20 tu, wanahabari 10 (leo wameruhusiwa), ndugu 5, Viongozi 5, lakini simu marufuku.
Askari magereza wanalalamika kwamba jana tumefanya...
baada
ccm
dunia
dunia nzima
imeshindwa
itv
kelele
kesi
kesi ya mbowe
kuendelea
maana
mafisadi
mahakama
mambo
mawakili
mbowe
mkapa
mtu
nje
peter kibatala
polisi
shahidi
simu
uhuru wa mahakama
ulinzi mkali
uongo
uwanja
uwanja wa mkapa
vibaya
Habari wakuu .Simu yangu aina ya Samsung galaxy S6 edge iliibiwa na nikafanikiwa kuipata ila bahati mbaya niliikuta wameiflash tayari.
Nilivopeleka kwa fundi akairudisha sawa kwa kuipiga file la Samsung alilolidownload mtandaoni. Shida imekuja kwamba tangu simu ipigwe lile file siwezi kusign in...
Wadau,
Kwa wenye ufahamu naomba kujua ikiwa nataka kusafiri na line ya simu (sim card), nifanyeje ili niweze kukaa nayo nje ya nchi kwa muda mrefu bila kufungiwa.
Natanguliza shukrani
Habari wadau.. simu yangu display inazima zima na inachelewa sana kurudi kwenye hali yake ya kawaida yaani kuwaka tena.Sasa nimeamua kuweka screen timeout ya mwisho kabisa kwenye simu yangu ambayo ni 30 dk ili isizimezime.
Sasa nataka kujua kama kuna jinsi ya kuongeza screen timeout zaidi ya...
Nawasalimu kwa jina la JMT
Nimekaa nikawaza, kumbe kupitia mitandao ya simu Kama vile Vodacom, Airtel, Tigo, Halotel, nk inaweza ikachochea maendeleo ya moja kwa moja kwa wateja wake bila shuruti, hii inawezekana kupitia mfumo TOZO Kama ilivyoanzishwa na serikali.
Tunajua kwamba, vijana wengi...
Sijui Mimi ndo nina shida au vipi!
Mtoto wa watu (house girl) anahaki ya kuwasiliana na watu wake!
Lakini pale anapopigiwa simu na mabwana zake au kuchat na kitochi pachapacha mbele yangu huwa nachukia sana, huwa natamani nifurushe kabisa!
Siyo bek3 tu, hata wadogo zake na mke wangu wa kike...
Habari, ningependa kujua model ya simu ambayo inaweza ku-record video zenye quality nzuri.
- preferably those with video stabilizer (stabilization)
Brands: Xiaomi, Oppo, One Plus, etc.
Sorry, iphone is not my preferred brand.
Your help pls.
Ni wakati mwafaka sasa kwa mitandao ya simu kuleta vifurushi ambavyo mteja atapewa option ya kulist namba za watu anaotaka watumie kifurushi alichonunua kwa pamoja. Yani kama nina mama yangu kule kijijini, mke au rafiki nikinunua kifurushi niwawezeshe kukitumia.
Hii itaondoa uhitaji wa Hotspot...
Sio busara hata kidogo, leo imetulazimu watu kama wa 3 hivi kwenda ofisini kwao baada ya simu za meneja kutopokelewa juzi tuliandika sms na pamoja na kuwapa check namba watuangalizie pensheni na mafao yatakuwa tayari lini, tulipofika ofisini hawana majibu.
Leo waziri Mkuu ametangaza bungeni...
TUNDU LISSU: "hajawahi kunipigia simu, zaidi ya kwamba nilimsikia akizungumzia kushambuliwa kwangu kwenye vyombo vya habari...."
TUNDU LISSU: "....alichokisema hakikuwa necessary, ni bora sana angekaa kimya...."
Msikilize mwenyewe. Kisha toa maoni yako au toa "like" basi....
Wakuu. Heshima kwenu.
Kama mada inavyojieleza wakuu nahitaji kutumia Laptop kutokea kwenye simu wakuu.
Vitu gani vinawezekana na vipi haviwezekani...?
Naweza kuona interface ya laptop kwa bluetooth nikafanya ninachoweza kufanya kwenye laptop kwa kutumia simu yangu...?
Kama ipo hiyo app...
Juzi kati kuna mfanyakazi mwenzangu mdada aliniletea "external" yake baada ya mimi kua nimemuomba movies na yeye kudai ana ma series ya kufa mtu. Huyu binti ni mtu na heshima zake, hatuna urafiki kivile zaidi ya kuonana tu kazini mara kwa mara.
Sasa baada ya ku connect ile external nikamuuliza...
Hayo si maneno yangu,ni maneno ya Wakili Msomi ingawa lipo katazo la Mh wa mjengoni kwamba tusitumie maneno wakili Msomi.
Ikiwa kesi ya Mh Mbowe ni nyepesi kuliko ya kibaka aliyekwapua simu Kariakoo kwanini Serekali kupitia ofisi ya DPP isiiondoe kukwepa kuaibika siku za usoni ?.
Nimemsikiliza...
Mauzo ya simu kwa sasa yameongezeka sana. Kutokana na uwepo wa ushindani mkubwa katika soko. Pia tukiangalia na kazi ya simu za mkononi. Zipo kukurahisishia upatikanaji wa taarifa. Na upatikanaji wa huduma nyingine nyingi ambazo zinatuwezesha. Kuongeza ufanisi katika kazi zetu na masomo yetu...
Kununua Simu kwa Mtu kumewaweka Watu wengi kwenye matatizo kutokana na Simu husika kuwa na historia ya kuhusika katika matukio ya Uhalifu.
Hakikisha Simu unayonunua ni halali kutoka kwa Muuzaji unayeweza kuthibitisha kwa risiti kwamba alikuuzia Simu hiyo. Usishawishike na bei ndogo...
Leo naomba niwamegee story fupi!
Chanzo cha yote haya, niliwahi tokea kumzimikia mtoto mmoja nzuri sana enzi hizo akiwa beki3 maeneo ya tabata!
Nakumbuka nikiwa naanza maisha ya kujitegemea, nilipanga chumba maeneo ya Tabata!
Mwenye nyumba yetu alikuwa na bomba la maji hivyo watu walikuwa...
Ndugu wana Jf Nahitaji msaada wenu jinsi ya kuunganisha Smart tv na Simu, yaani ninachokifanya au ninachoangalia kwenye simu kionekane kwenye Tv (Mirrow view).
Simu yangu haina Screen cast or smart view kwahiyo nashindwa ku Connect.
Ila nasikia unaweza kutumia njia ya Wi-Fi so kwa anayefahamu...
Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesaini marekebisho ya Kanuni za Tozo za Miamala ya kutuma na kutoa Fedha na kupunguza viwango vya tozo kwa 30%
Pia Serikali imejadiliana na watoa huduma za simu ambao nao wameridhia kupunguza viwango vya tozo wanazotoza kati ya mtandao na mtandao mwingine kwa...
dhihaka
mama samia
miamala
mwigulu nchemba
ongezeko la tozo
rais samia
samia
samia suluhu
samia suluhu hassan
serikali
shilingi
simu
suluhu
tena
tozo
tozo za miamala
watanzania
wizara ya fedha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.