Goguryeo
JF-Expert Member
- May 17, 2019
- 2,503
- 4,502
Binafsi nashauri timu apewe Mwinyi Zahera aisaidie kuifikisha mwisho wa msimu wakati Simba wakitafuta mbadala wa Sven ambaye atakua ni wa muda mrefu.
Mwinyi si kocha mbaya japo anaongea mno kitu ambacho akipewa anagalizo anaweza kujirekebisha au wadau mnasemaje?
Wewe kama mdau wa mpira, unapendekeza kocha gani apewe mikoba hii Kwa muda huu ambapo anatafutwa kocha mkuu wa muda mrefu?
Mimi naona matola kama hatoshi hivi jumlisha na tetesi nilisikia anataka kutimkia Kenya akawe kocha mkuu huko.
Mwinyi si kocha mbaya japo anaongea mno kitu ambacho akipewa anagalizo anaweza kujirekebisha au wadau mnasemaje?
Wewe kama mdau wa mpira, unapendekeza kocha gani apewe mikoba hii Kwa muda huu ambapo anatafutwa kocha mkuu wa muda mrefu?
Mimi naona matola kama hatoshi hivi jumlisha na tetesi nilisikia anataka kutimkia Kenya akawe kocha mkuu huko.