The Initiator huru
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 1,531
- 1,733
Nampongeza Kocha wa Simba kwa kazi nzuri anayofanya hakika anastahili, Mitano tena.
Kwa falsafa yake yeye anachojali ni kuvuka stage moja na kuendelea na mashindano , hii itatufikisha mbali huenda mwaka huu tukatinga nusu fainali.
Nasema uongo ndugu zangu?
Tuleteeni utopolo mapinduzi cup
Kwa falsafa yake yeye anachojali ni kuvuka stage moja na kuendelea na mashindano , hii itatufikisha mbali huenda mwaka huu tukatinga nusu fainali.
Nasema uongo ndugu zangu?
Tuleteeni utopolo mapinduzi cup