Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,744
Yanga tuna bao 2 Simba 0. Ushihidi ni huu uzi. Yanga tumeadhamilia kushinda hii match. Wakati Simba tayari wanaonekana kushindwa hii match mapema sana. Hivyo nawashauri wana Yanga tuanze sherehekea Mapinduzi Cup.
Na hili kombe kwa kweli halina sababu ya kutotua Jangwani. Iwe mvua iwe jua tunashinda hili Kombe. Nimewaona wachezaji wa Simba. Wameshachoka tayari kabla ya game.
Tusiposhinda hii game leo mimi nitatembea bila nguo.
Na hili kombe kwa kweli halina sababu ya kutotua Jangwani. Iwe mvua iwe jua tunashinda hili Kombe. Nimewaona wachezaji wa Simba. Wameshachoka tayari kabla ya game.
Tusiposhinda hii game leo mimi nitatembea bila nguo.