Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,154
SIMBA SC YAACHANA NA KOCHA SVEN
DAR ES SALAAM: JANUARI 07, 2021
#HABARI: KLABU ya SIMBA SC imetangaza kuachana na kocha wake Mkuu Sven Vanderbroeck kwa makubaliano ya pande zote mbili.
Taarifa kutoka katika Klabu hiyo imeeleza kuwa, nafasi ya Kocha huyo itakaimiwa na kocha msaidizi, Selemani Matola.
Vanderbroeck akiwa na Simba amefanikiwa kuchukua Ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, FA, Ngao ya Jamii na kuifikisha timu hiyo hatua ya makundi katika ligi ya Mabingwa Afrika.
DAR ES SALAAM: JANUARI 07, 2021
#HABARI: KLABU ya SIMBA SC imetangaza kuachana na kocha wake Mkuu Sven Vanderbroeck kwa makubaliano ya pande zote mbili.
Taarifa kutoka katika Klabu hiyo imeeleza kuwa, nafasi ya Kocha huyo itakaimiwa na kocha msaidizi, Selemani Matola.
Vanderbroeck akiwa na Simba amefanikiwa kuchukua Ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, FA, Ngao ya Jamii na kuifikisha timu hiyo hatua ya makundi katika ligi ya Mabingwa Afrika.