simba

  1. Chizi Maarifa

    Huwa Sipendi kuangalia mechi za Simba naibia naangalia Mpira ukiisha naanza Umia Rohoni

    Mimi sipendi kushabikia Simba sababu mimi ni Yanga kweli kweli. Ila ninaufahamu mpira wa miguu. Kuna wakati ushabiki naweka pembeni. Sisi Yanga tunashindwa wapi kucheza mpira wanaocheza Simba? Mazoezini Kocha wetu anafundisha nini? Sioni anachofundisha au maybe michezaji yetu ishakuwa migume...
  2. kitambitz

    Human Resource Manager Needed at Simba Logistics | Job Opportunity

    Human Resource Manager Simba Supply Chain Solutions Limited and Simba Logistics Limited are looking for an astute, mature and reliable Human Resource Professional between the ages of 35 and 45 years. This position will be on a two-year fixed contract. This opportunity is for candidates who...
  3. T

    Je, Shomari Kapombe wa SIMBA SPORT CLUB ajiondoe haraka Taifa Stars?

    Maneno maneno Huwa yanaumba Kapombe sasa yule mkata kamba yako naye kaitwa stars sasa je ni wakati wa kuamini kwamba ile kamba yako ilikuwa inakatwa na yeye? Kama kweli una uhakika kamba yako huwa inakatwa na yule kijana mliyeitwa naye stars ya sasa ni bora ukajitoa kwa maslah mapana ya club...
  4. F

    ubingwa wa enyimba champions league 2003, na mamelodi 2016 kama naiona kwa simba vile . Babra na Mo wananitisha mimi Mwanayanga

    Habari wadau.. Nimeona documentary ya enyimba success timu ya kwanza nigeria ku win caf champions league.. nimeiangalia kwa umakini nikajua ilikuwaje? Kwa nilichokiona kwa enyimba kama nakiona kwa Mo na simba yake ya zama hizi. Enyimba ilikuwa timu ya kawaida sana nigeria haijawai...
  5. Replica

    ASFC: African Lyon 0-3 Simba | Benjamin Mkapa Stadium

    Michezo ya kombe la shirikisho inaendelea na sasa ni klabu ya soka ya African Lyon dhidi ya Simba SC kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. ====== 00' Muamuzi anapiga filimbi kuashiria mwanzo wa mchezo 09' Ibrahim Hajibu anaweka kamba ya kwanza kwa Simba, African Lyon 0-1 Simba 17'...
  6. Shadida Salum

    Kombe la Shirikisho Azam: Simba kukipiga dhidi ya African Lyon

    Baada ya kutoa kichapo cha goli 1-0 kwa Al Ahly ya Misri katika mchezo wa Klabu Bingwa Afrika, Simba SC hii leo inashuka tena katika dimba la Mkapa kukipiga na African Lyon. Mchezo huo wa Kombe la Shirikisho la Azam Simba itakuwa ugenini na utapigwa majira ya saa moja usiku kwa saa za Afrika...
  7. O

    Another locally produced car by Simba Motor Corporations of Kenya. The car is known as the Proton Saga

    The proton Saga will come in three variants; Standard MT- 1.1 MILLION kes. Standard AT- 1.2 MILLION kes. Premium AT- 1.3 MILLION kes.
  8. Mtu Asiyejulikana

    Uchawi wa Simba Hadharani sasa. Hivi mpira wetu Unaelekea wapi?

    Huu ndo Uchawi Mkubwa wa Simba. Duniani hamna Siri. Mpira ni mchezo wa wazi unachezwa kwenye Mwanga. Tumeona kilichotokea. Hapa Simba wamemchukua kimazingara Messi na kumpa ngozi na nywele nyeusi. Wakambadilisha na jina. Huu uchezaji si wa kawaida kwa huyu bwana mdogo. Mpira wety unaelekea...
  9. kitonsa

    TANZIA Mwanamuziki Waziri Sonyo afariki dunia

    Mwanamuziki aliyewahi kuimba kwenye bendi ya Chuchu sound na TOT Plus, Waziri Sonyo ameaga dunia jana tarehe 23 Februari saa moja usiku maeneo ya Kibaha. Chanzo cha kifo hakijawekwa wazi ingawa kuna taarifa kuwa alikwenda kutazama mechi ya mpira wa miguu na aliporudi alijipumzisha hadi mauti...
  10. M

    Wale Mashabiki wa Simba SC tunaokerwa na Uchezaji wa Clatous Chota Chama tujitokeze Kumkosoa hapa tafadhali

    Sina shida na Kipaji chake Kikubwa alichonacho ila Kiufundi kwa Kocha Mweledi na ambaye haingiliwi na Uongozi wa Timu hawezi Kumuanzisha Clatous Chama katika Mechi za Ushindani hasa. Hii ni Mechi yangu ya Saba namtizama (namfuatilia) Clatous Chama na Kugundua kuwa ndiyo Mchezaji Kinara wa...
  11. Kipenzi Changu

    Simba Sc ndiyo kinara wa points katika makundi yote CAF Champions

    Kama hujui basi jua. Timu kigogo Africa Simba ndio kinara wao. Habari za Simba Sc zimezagaa dunia nzima. Kwa hiyo sina haja ya kueleza saaaaana. Kifupi ni kwamba kuna Wababe halafu kuna Mbabe
  12. hiram

    Simba wamenikumbusha miaka saba iliyopita

    NDIYO terehe 1 machi 2014 Yanga alimuua Al Ahly 1 - 0 goli la Canavaro dakika ya 82.
  13. Replica

    Klabu Bingwa Afrika: Simba SC ya Tanzania yashinda 1-0 dhidi ya Al Ahly ya Misri katika Uwanja wa Benjamin Mkapa - Dar

    Timu ya soka ya Simba leo iko dimbani kupambana na Al Ahly ya Misri katika mchezo wa hatua ya makundi ukiwa ni mzunguko wa pili kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa majira ya saa kumi jioni. Pamoja na timu zote kuwa na alama tatu baada ya kushinda mechi zao za mzunguko wa kwanza, Al Ahly inaongoza...
  14. demigod

    Kauli mbiu ya Total War yawakera baadhi ya mashabiki wa Simba SC

    Kwa utafiti wangu wa kina nilioufanya inaonekana mashabiki wengi hawakupenda kauli mbiu yao mpya kuelekea mechi yao dhidi ya Al Ahly. Wengi wao wameonekana kuwa na hofu kubwa sana ya matokeo dhidi ya wageni hao kiasi kwamba kauli mbiu ikashindwa kuinua hamasa ya ushindi. Wapo wengi wanao amini...
  15. Utopologist

    Kauli mbiu kuelekea Simba v Al Ahly | "Total war - Point of no return"

    “Mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati yetu Simba na Al Ahly kutoka nchini Misri itapigwa saa 10:00 jioni siku ya Jumanne Februari 23, 2021. Ni mechi kubwa sana kwa Simba, Tanzania na Afrika Mashariki.”- Haji Manara . 🖋️ “Mabingwa wa Afrika ambao wametoka kushiriki ubingwa wa dunia wamefanikiwa...
  16. M

    Form ya Simba na Vita kuelekea mpambano wao

    Hii ndio "form" ya Simba na Al Ahly kuelekea mpambano wao tarehe 23/2/2021. Yaani matokeo ya mechi kadhaa kabla ya mpambano wao na matokeo ya mipambano yao kadhaa yaani "head to head". FORM ALL All Home Away Feb 12, 2021 VIT 0 - 1 SIM W Feb 07, 2021 SIM 2 - 2 AZA D Feb 04, 2021 JIJ 1 - 2 SIM W...
  17. M

    "Form" ya Simba na ile ya Al Ahly kuelekea mpambano wao

    Hii ndio "form" ya Simba na Al Ahly kuelekea mpambano wao tarehe 23/2/2021. Yaani matokeo ya mechi kadhaa kabla ya mpambano wao na matokeo ya mipambano yao kadhaa yaani "head to head". FORM ALL All Home Away Feb 12, 2021 VIT 0 - 1 SIM W Feb 07, 2021 SIM 2 - 2 AZA D Feb 04, 2021 JIJ 1 - 2 SIM W...
  18. Kipenzi Changu

    Wachezaji Simba SC waoga hela, kila mtu alamba $5,000

    Simba Sc ndio habari ya dunia
  19. Kipenzi Changu

    Shabiki wa Yanga: Simba SC zinacheza hela, sio wachezaji

    Hawa watu wanahitaji msaada wa kisaikolojia. TFF watoe onyo kwa Yanga na mashabiki wao,ipo siku watasababisha vurugu kubwa sana itakuwa too late. Wasiachwe hivi. Kwa upuuzi huu kuna siku watakuja kuzua vurugu kubwa. Cheki tofauti kabisa na mashabiki wa Simba Sc,ni wastaarabu...
  20. Kasomi

    Simba wamepewa ulinzi

    Tunashukuru serikali kupokea Ombi letu la Wana wa Msimbazi kupewa ulinzi. Sasa mashabiki wote wa Simba jiandaeni kwa ulinzi
Back
Top Bottom