Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,444
- 7,808
Baada ya michezo ya kimataifa leo Simba wanatupa karata nyingine kwenye ligi kuu Tanzania Bara dhidi ya Mtibwa Sukari kutoka Manungu Turiani.
========
00' Mpira umeanza dimba la Mkapa
06'Mtibwa wanapata kona pacha lakini zote zinashindwa kuzaa goli
09' Chama anaiwekea Simba goli la kwanza baada ya kupiga mkwaju wa 'free kick' uliongia moja kwa moja golini
19' Bwalya anaifungia Simba goli la Pili
42' Medie Kagere MK47 anaipatia Simba goli la tatu kabla ya Mapumziko
KIPINDI CHA PILI
51' Medie Kagere anatia kamba goli la nne
69' Miquissone Chinga Boy anaweka kimiani goli la tano
FULL TIME: Simba SC 5 - 0 Mtibwa Sugar
========
00' Mpira umeanza dimba la Mkapa
06'Mtibwa wanapata kona pacha lakini zote zinashindwa kuzaa goli
09' Chama anaiwekea Simba goli la kwanza baada ya kupiga mkwaju wa 'free kick' uliongia moja kwa moja golini
19' Bwalya anaifungia Simba goli la Pili
42' Medie Kagere MK47 anaipatia Simba goli la tatu kabla ya Mapumziko
KIPINDI CHA PILI
51' Medie Kagere anatia kamba goli la nne
69' Miquissone Chinga Boy anaweka kimiani goli la tano
FULL TIME: Simba SC 5 - 0 Mtibwa Sugar