Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,744
Mara nyingi nimekuwa nikijihusisha na kuiombea mabaya club ya Simba. lakini imekuwa kinyume sasa. Naacha hizo habari kwa matches za Kimataifa.
Nmegundua nitapata ugonjwa wa moyo bure na kufa kwa kihoro. Tubaki kutaniana matches za ndani. Za nje nakubali Simba ni Team kubwa kwa Afrika zama Hizi.
Mniwie radhi Watanzania wenzangu. Na ile ahadi ya kuwa kama simba ingeshinda leo ngempa mtu ujauzito bure. Nipo tayari kuitimiza. Mwanadada jitokeze tuma picha zako nikuone na uwe tayari kupimwa afya na akili.
Yanga tuna mengi ya kujifunza toka kwenu Simba. Inatosha mimi kusema Hongereni sana Bhanyambala.
Nmegundua nitapata ugonjwa wa moyo bure na kufa kwa kihoro. Tubaki kutaniana matches za ndani. Za nje nakubali Simba ni Team kubwa kwa Afrika zama Hizi.
Mniwie radhi Watanzania wenzangu. Na ile ahadi ya kuwa kama simba ingeshinda leo ngempa mtu ujauzito bure. Nipo tayari kuitimiza. Mwanadada jitokeze tuma picha zako nikuone na uwe tayari kupimwa afya na akili.
Yanga tuna mengi ya kujifunza toka kwenu Simba. Inatosha mimi kusema Hongereni sana Bhanyambala.