Kitendo ambacho Simba imefanya ni kitendo cha Uzalendo na Ushujaa Uliotukuka. Ni kitendo cha Kuigwa kwa Kila Mtanzania na Mwafrika kwa Ujumla.
Simba imepambania Taifa la Tanzania ikiwa imeweza waunganisha hata na wachezaji wa nchi nyingine kuipambania Tanzania.
Sasa mwakani Tanzania tunaingiza...
Sijaanza kupokea lawama zake juzi, jana au leo na bahati nzuri au sijui mbaya Mmoja wa Wachezaji wenzake pamoja na Ndugu wa Mtaalam wake wamenipa Taarifa kamili.
Naheshimu sana Uchezaji wa Nahodha wangu Boko ila sipendezwi na hii tabia yake ya kupenda Kuwaroga Wachezaji wenzake hasa wa...
Habari mbaya sana kwa deportivo la utopolo ambao kwa sasa wanalalamika kwa nini team ya 13 kwa ubora Africa ambayo very soon itaingia top 10 imeamua kuachana na yutong la sportspesa la 2010 (linalofanana na team ya 74 kwa ubora afrika mbaya zaidi bila aibu sportspesa wanatoa pesa sawa kwa...
Nilikua Niko kwenye maombolezo,sasa nasitisha maombolezo kuanzia usiku huu nitafanya sherehe kwa siku 21 kwa matokeo ya Leo ya Simba dhidi ya As Vita .
Mara nyingi nimekuwa nikijihusisha na kuiombea mabaya club ya Simba. lakini imekuwa kinyume sasa. Naacha hizo habari kwa matches za Kimataifa.
Nmegundua nitapata ugonjwa wa moyo bure na kufa kwa kihoro. Tubaki kutaniana matches za ndani. Za nje nakubali Simba ni Team kubwa kwa Afrika zama Hizi...
Simba 4-1 as vital
Al merehk 2-2 alhaly kwa matokeo haya rasmi simba anakua kinara wa kundi kwan mechi ya mwisho watakapo kutana simba na alhaly ata kama simba atafungwa atabaki kua kinara kwani akuna wa kumfikia kwa point msimamo upo ivi
Simba p 13
Alhaly p 8
As vital P 4
All merekh p 2...
00' Mwamuzi anapuliza kipenga kuashiria mwanzo wa mchezo
30' Luis Miquissone anapiga goli la kwanza kwa upande wa Simba
32' Goli la Simba halidumu baada ya Zemanja Soze wa AS Vita kusawazisha dakika mbili baada ya goli la kuongoza la Simba
45+1' Cloutas Chama anaifanya Simba kumaliza kipindi...
Timu ya Soka ya Simba leo kwenye mchezo wake wa klabu bingwa inatarajiwa kuingia na bus jipya la wachezaji lilionunuliwa na mdhamini wa team hiyo Mohamed Dewji
Bus jipya la Simba likibandikwa sticker
mambo ni faya fire fireeee mootoooooo..ewaaaahhhhhhhhh kings of East africa wanakamata nafasi ya 13 huku vijana wa waziri mkuu wa awamu YA TANO asiyejulikana kama atarudi madarakani wakiwa nafasi ya 59 na deportivo la utoPolo kama kawaida yao wako nafasi ya 74
TUMETOLEWA RASMI!!!!
Ungana nami kuanzia saa 4 kamili kupata updates za video, Mechi ya Equotorial guniea vs taifa stars
HIGHLIGHTS KIPINDI CHA KWANZA
1. CHUPU CHUPU
2. MANULA ANATUSAVE
3. MWAMBA.
KIPINDI CHA PILI
ASANYE MANULA
VIJANA WA EWUATRIAL WAMEDOMINATE SANA
MSUVA...
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limemteua Inspekta Hashimu Abdallah kuwa Ofisa Usalama wa mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF CL) kati ya Simba SC na AS Vita Club FC (DR Congo) utakaochezwa Aprili 3, 2021 saa 10;00 jioni katika Uwanja wa Benjamin Mkapa Dar es Salaam, Tanzania...
Njia pekee ya kumuenzi kwa mema yake na uchapakaji kazi ni ninyi Kuleta Kombe la CAF hapa Tanzania. Hili ndilo Deni mlilo nalo kwa Marehemu JPM aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Tunaomba Mlete Kombe la CAF TANZANIA. HALAFU SISI NA NINYI YANGA MTAVAA JERSEY ZENU ZA NJANO NASI...
Labda niwaambieni tu Uongozi wa Simba SC kuwa Rais mpya wa CAF Bwana Patrice Motsepe haungwi (hakuungwa) Mkono na Rais wa TFF Bwana Wallace Karia ambaye inajulikana alikuwa ni Mtu wa aliyekuwa Rais wa CAF Bwana Ahmad Ahmad.
Hivyo kwa hili Tanzania (hasa TFF) inatakiwa kuwa makini nae sana huyu...
ANGALIZO
Nitakayoyaandika (Kuyaeleza) hapa ni Maoni na Mtizamo wangu Mimi All - Rounder na sikulazimishi uukubali bali uheshimu tu tafadhali.
PONGEZI
Nisiwe mchoyo wa Pongezi kwa Mafanikio haya makubwa ambayo kwa sasa Klabu ya Simba imeyafikia ikiwemo Ushindi wake wa jana wa Magoli 3 kwa 0 na...
Timu ya Mpira wa Miguu ya Simba SC leo itakuwa na kibarua cha kumenyana na timu ya Al Merrikh kutoka nchini Sudan katika dimba la Benjamin Mkapa. Mchezo wa kwanza uliopigwa Uwanja wa Al Hilal nchini Sudan, timu hizi zilitoshana nguvu kwa kutofungana.
Kikosi cha Simba SC kitakachoanza leo dhidi...
Al Ahly walijifanya vidume. Tulipowaambia tuwazungushe zungushe waijue mitaa wakajidai walishacheza hii game kwao Misri. Matokeo yake ndo hayo
El Merreikh hawa wamekuwa watiifu wakati tukiwazungusha mitaa mbalimbali waifahamu Tanzania. Na Wakulungwa wamewahikikishia ushindi upo. Na zaidi zaidi...
Tanzania tuna bahati moja kubwa Sana, uwanja wa uhuru upo karibu Sana na Uwanja wa Mkapa. Ziwekwe screen mbili kubwa na mashabiki wajazane humo.
Halafu kelele za kushangilia zichuliwe na wireless michro phone mpaka kwenye spika kubwa zitakazowekwa Uwanja wa Taifa ili kutoa feedback kwa...
Mpenzi wa timu ya Simba Ally Rashidi Kuntika (71)katika mamlaka ya mji mdogo wa Namtumbo mkoani Ruvuma alidondoka ghafla na kufariki dunia papohapo mara baada ya mchezaji wa timu ya Simba Chris Mugalu kukosa kufunga goli la penati dhidi ya timu ya Tanzania Prison...
Nimerudia kuangalia tena rafu ile ya kishamba aliyocheza yule mchezaji, nimejiridhisha kwamba kadi nyekundu pekee haitoshi , yule mchezaji anastahili adhabu zaidi, ikibidi hata kufungiwa michezo kadhaa.
Hili likifanyika litaongeza nidhamu kwa wachezaji wengine, haiwezekani tukaacha wachezaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.