Ingawa Ahly kashinda moja laki alikua kwenye Hali ngumu kuliko Simba

lee Vladimir cleef

JF-Expert Member
Feb 5, 2013
9,137
33,201
Al Ahly walikua na hofu, waliona Ingekua Ni fedheha Sana kwao kufungwa Mara ya pili na Simba,

Ingekua Ni fedheha Sana kufungwa nyumbani mechi ya marudiano baada ya kufungwwechi ya Kwanza,

Inajiona Ni timu Bora kuliko Simba,kufungwa Mara mbili na Simba Ni fedheha Sana,

Simba ilikua inacheza kwa tahadhari zaidi kuliko Al Ahly ikizingatia mechi za robo fainali,

Al Ahly walicheza kufa na kupona kutunza heshima bila kujali mechi za robo finali.

Mazingira ya Misri Ni rafiki zaidi kwa Al Ahly kuliko Simba,

Waliutumia vema uwanja wa nyumbani,

Al Ahly Kama kawaida ya timu za kiarabu walitamani Sana kufunga Simba Kapu la magoli lakini Simba walikua imara zaidi nyuma.

SIMBA
Imekomaa,kwa Sasa Ni moja ya timu kubwa Afrika na hakuna Tena timu ya kuibababisha.

Simba Sasa haichagui timu ya kucheza nayo,wao waichagulie timu yoyote, Simba itacheza nayo tu.
Ilicheza vizuri Sana leo,kipindi Cha kwanza ilijilinda zaidi,

AA wakashambuli zaidi,

kipindi Cha pili Simba walishambulia zaidi,
AA wakajilinda zaidi,

Nimefarijika Sana,Simba hii sio timu ya kufungwa kizembe kwenye mashindano haya.
 
Mechi ya leo Simba wameupiga mwingi.hii mechi pia imempa kocha nafasi ya kuona combination ya Nyoni na Mibangi Mkude pale kati, kocha ajue nini cha kurekebisha endapo mkata umeme Lwanga siku atakosekana kwa majeraha au kadi.
Ila Mkude mechi za mbeleni uko atupishe kwakweli,hata mechi ya As Vita pale kwa Mkapa Mkude ali-flop sana tu.
 
Al Ahly walikua na hofu, waliona Ingekua Ni fedheha Sana kwao kufungwa Mara ya pili na Simba,

Ingekua Ni fedheha Sana kufungwa nyumbani mechi ya marudiano baada ya kufungwwechi ya Kwanza,

Inajiona Ni timu Bora kuliko Simba,kufungwa Mara mbili na Simba Ni fedheha Sana,

Simba ilikua inacheza kwa tahadhari zaidi kuliko Al Ahly ikizingatia mechi za robo fainali,

Al Ahly walicheza kufa na kupona kutunza heshima bila kujali mechi za robo finali.

Mazingira ya Misri Ni rafiki zaidi kwa Al Ahly kuliko Simba,

Waliutumia vema uwanja wa nyumbani,

Al Ahly Kama kawaida ya timu za kiarabu walitamani Sana kufunga Simba Kapu la magoli lakini Simba walikua imara zaidi nyuma.

SIMBA
Imekomaa,kwa Sasa Ni moja ya timu kubwa Afrika na hakuna Tena timu ya kuibababisha.

Simba Sasa haichagui timu ya kucheza nayo,wao waichagulie timu yoyote, Simba itacheza nayo tu.
Ilicheza vizuri Sana leo,kipindi Cha kwanza ilijilinda zaidi,

AA wakashambuli zaidi,

kipindi Cha pili Simba walishambulia zaidi,
AA wakajilinda zaidi,

Nimefarijika Sana,Simba hii sio timu ya kufungwa kizembe kwenye mashindano haya.
Ni kweli simba wamekomaa sana,japokuwa mie ni yanga na siioendi simba bit penye ukweli simba ni timu bira kabisa kwa sasa
 
Mechi ya leo Simba wameupiga mwingi.hii mechi pia imempa kocha nafasi ya kuona combination ya Nyoni na Mibangi Mkude pale kati, kocha ajue nini cha kurekebisha endapo mkata umeme Lwanga siku atakosekana kwa majeraha au kadi.
Ila Mkude mechi za mbeleni uko atupishe kwakweli,hata mechi ya As Vita pale kwa Mkapa Mkude ali-flop sana tu.
Tumuache kocha ndio anajua atumie mchezaji gani kwa mechi gani mkuu, yeye ndio yupo nao mazoezini
 
Al Ahly walikua na hofu, waliona Ingekua Ni fedheha Sana kwao kufungwa Mara ya pili na Simba,

Ingekua Ni fedheha Sana kufungwa nyumbani mechi ya marudiano baada ya kufungwwechi ya Kwanza,

Inajiona Ni timu Bora kuliko Simba,kufungwa Mara mbili na Simba Ni fedheha Sana,

Simba ilikua inacheza kwa tahadhari zaidi kuliko Al Ahly ikizingatia mechi za robo fainali,

Al Ahly walicheza kufa na kupona kutunza heshima bila kujali mechi za robo finali.

Mazingira ya Misri Ni rafiki zaidi kwa Al Ahly kuliko Simba,

Waliutumia vema uwanja wa nyumbani,

Al Ahly Kama kawaida ya timu za kiarabu walitamani Sana kufunga Simba Kapu la magoli lakini Simba walikua imara zaidi nyuma.

SIMBA
Imekomaa,kwa Sasa Ni moja ya timu kubwa Afrika na hakuna Tena timu ya kuibababisha.

Simba Sasa haichagui timu ya kucheza nayo,wao waichagulie timu yoyote, Simba itacheza nayo tu.
Ilicheza vizuri Sana leo,kipindi Cha kwanza ilijilinda zaidi,

AA wakashambuli zaidi,

kipindi Cha pili Simba walishambulia zaidi,
AA wakajilinda zaidi,

Nimefarijika Sana,Simba hii sio timu ya kufungwa kizembe kwenye mashindano haya.
Walibebwa'sana na refa kwani marefa wengi wanawaogopa wamisri kwa hofu ya kuondolewa ikiwa hawatazibeba timu zao ziwapo nyumbani.
Inahitaji akili na nguvu ya ziada timu yoyote iwapo misri.Simba wamecheza sana na wamechezewa rafu nyingi huku refa hatoi adhabu yoyote kitu kilichowapanikisha akina Nyoni kuona kadi ni za upande mmoja tu.
Kiuhalisia simba walikuwa wanasawazisha na kuahinda.Kocha wa'simba aliamua kutoa lawama kwa mashabiki kwa kumuanzisha Kagere ambaye hakuwa chochote lakini pia Mkude alichemka mno na hapo ndo tujue kuwa kiungo cha Mzamiri na Lwanga ni unbeaten.

Bado Mgalu na Bocco ndiyo foward bora kwa sasa.

Heko kocha wetu heko wachezaji wetu heko wanachama wa simba tuendelee kuipenda timu yetu na kuiombea.

Sisi ni simba.

Next level.

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Mechi ya leo Simba wameupiga mwingi.hii mechi pia imempa kocha nafasi ya kuona combination ya Nyoni na Mibangi Mkude pale kati, kocha ajue nini cha kurekebisha endapo mkata umeme Lwanga siku atakosekana kwa majeraha au kadi.
Ila Mkude mechi za mbeleni uko atupishe kwakweli,hata mechi ya As Vita pale kwa Mkapa Mkude ali-flop sana tu.
Fraga pia anakuja.

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Cha msingi zaidi tunaomba tuondoe tofauti zetu Manji arudi apewe timu ya yanga aendelee na biashara zake tuwe na yanga imara kama ilivyo simba imara huku azamu yetu ikiendelea kuwa'sawa.
Tutashiriki michuano kwa ushindani na ushirikiano mkubwa tukiwa wamoja.

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Al Ahly walikua na hofu, waliona Ingekua Ni fedheha Sana kwao kufungwa Mara ya pili na Simba,

Ingekua Ni fedheha Sana kufungwa nyumbani mechi ya marudiano baada ya kufungwwechi ya Kwanza,

Inajiona Ni timu Bora kuliko Simba,kufungwa Mara mbili na Simba Ni fedheha Sana,

Simba ilikua inacheza kwa tahadhari zaidi kuliko Al Ahly ikizingatia mechi za robo fainali,

Al Ahly walicheza kufa na kupona kutunza heshima bila kujali mechi za robo finali.

Mazingira ya Misri Ni rafiki zaidi kwa Al Ahly kuliko Simba,

Waliutumia vema uwanja wa nyumbani,

Al Ahly Kama kawaida ya timu za kiarabu walitamani Sana kufunga Simba Kapu la magoli lakini Simba walikua imara zaidi nyuma.

SIMBA
Imekomaa,kwa Sasa Ni moja ya timu kubwa Afrika na hakuna Tena timu ya kuibababisha.

Simba Sasa haichagui timu ya kucheza nayo,wao waichagulie timu yoyote, Simba itacheza nayo tu.
Ilicheza vizuri Sana leo,kipindi Cha kwanza ilijilinda zaidi,

AA wakashambuli zaidi,

kipindi Cha pili Simba walishambulia zaidi,
AA wakajilinda zaidi,

Nimefarijika Sana,Simba hii sio timu ya kufungwa kizembe kwenye mashindano haya.
Mnajifariji baada ya kipigo
 
Walibebwa'sana na refa kwani marefa wengi wanawaogopa wamisri kwa hofu ya kuondolewa ikiwa hawatazibeba timu zao ziwapo nyumbani.
Inahitaji akili na nguvu ya ziada timu yoyote iwapo misri.Simba wamecheza sana na wamechezewa rafu nyingi huku refa hatoi adhabu yoyote kitu kilichowapanikisha akina Nyoni kuona kadi ni za upande mmoja tu.
Kiuhalisia simba walikuwa wanasawazisha na kuahinda.Kocha wa'simba aliamua kutoa lawama kwa mashabiki kwa kumuanzisha Kagere ambaye hakuwa chochote lakini pia Mkude alichemka mno na hapo ndo tujue kuwa kiungo cha Mzamiri na Lwanga ni unbeaten.

Bado Mgalu na Bocco ndiyo foward bora kwa sasa.

Heko kocha wetu heko wachezaji wetu heko wanachama wa simba tuendelee kuipenda timu yetu na kuiombea.

Sisi ni simba.

Next level.

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app

Pumba
 
Mnajifariji baada ya kipigo
Hivi wajinga kama nyie bado mpo.
Ukiwa na akili hii ni wazi hata umasikini lazima ukuvae.Hatupo kwenye usimba na uyanga huko tulishahama tupo level zingine kabisa za mafanikio ya pamoja kama taifa.
Simba hata ingefungwa kumi haipotezi chochote .Waarabu walidhibitiwa hadi mwisho wakaamua kulinda tu goli lao lile moja la piga nikupige walilomsukuma Manula ndo wakafunga.Wamelindwa na waamzi mwanzo mwisho.

Wewe ni shabiki yanga wa hovyo.Huko uliko tulishahama.Sisi na Yanga hatuna utani wa kijinga kama wa kwako.Tunataka tusonge mbele mpira burudani siyo uadui.

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom