johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,976
Mkurugenzi wa TBC Dkt. Ryoba amesema shirika lake litaonesha mikutano ya vyama vyote vya siasa wakati wa kampeni.
Dr Ryoba amewataka viongozi wa kisiasa kutumia lugha za staha na kuzingatia maadili ya viongozi.
Kadhalika Dr Ryoba amesema atakuwa na kikao na viongozi wa vyama vya siasa ili kuweka utaratibu mzuri wa matangazo nyakati za kampeni.
Chanzo: Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Dr Ryoba amewataka viongozi wa kisiasa kutumia lugha za staha na kuzingatia maadili ya viongozi.
Kadhalika Dr Ryoba amesema atakuwa na kikao na viongozi wa vyama vya siasa ili kuweka utaratibu mzuri wa matangazo nyakati za kampeni.
Chanzo: Star tv
Maendeleo hayana vyama!