Troll JF
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 7,804
- 12,224
Wakuu leo nimemuona Maalim Seif akiwa na Fimbo maarufu kama Mkongojo, silamlaumu ila at 77 ni kawaida kwa mtu kuanza kupata mashambulizi. Kinachoniumiza kwanini mzee haamini katika Succession plan?
Kampeni zinahitaji Nguvu ya ziada zisiwe zile za Lowassa 2015 alikua hawezi hata kumaliza dakika 10.
Huyu Mzee kasahau nini kwenye siasa hata kimvuto analazimisha na Alivyohama chama ndo kajichanganya zaidi na Amewachanganya wapiga kura wake.
Kampeni zinahitaji Nguvu ya ziada zisiwe zile za Lowassa 2015 alikua hawezi hata kumaliza dakika 10.
Huyu Mzee kasahau nini kwenye siasa hata kimvuto analazimisha na Alivyohama chama ndo kajichanganya zaidi na Amewachanganya wapiga kura wake.