Historia yangu ni ndefu kidogo ila nitaifupisha
Mwaka fulani baada ya vurugu za hapa na pale Geita Secondary, Butimba Day na Mwanza Sec nilitimuliwa, nikahamia Manguanjuki (Lake) iliyoko Singida kuanza kidato cha tatu.
Pale nilikuwa huru sana, nikawa na tumia hela hovyo hovyo bahati mbaya sana...