Elon Musk aliwatoa watoto wake wote watano katika shule walizokuwa wanasoma, akaanzisha shule yake karibu na zilipo ofisi za kampuni yake ya Space X. Shule hii haifuati mitahala ya shule yoyote. Pale wanajifunza hesabu, Physics, mambo ya space wakiandaliwa kuwa ma engineer wa kampuni zake.
Pia...
Tazama jengo la shule lililojengwa zaidi ya miaka 85 iliyopita likihamishwa zima zima kama lilivyo katika mji wa Shanghai, China, kwa kutumia teknolojia iliyopewa jina "Mashine Inayotembea"
Jengo hilo lililopo katika eneo la Wilaya ya Huangpou lilijengwa mwaka 1935 kwa ajili ya Shule ya...
Katika muendelezo wa michezo ya uvunjifu wa sheria, makada wa CCM wameanza utaratibu haramu wa kuwachukua watoto wa shule na kuwaelekeza kumpigia Magufuli kura
Huku watoto wakiwa kwenye uniform za shule wanafundishwa namna ya kumpigia kura Magufuli.
Tunaitaka NEC ije iuelezee umma kama...
Mkuu wa wilaya ya Hai mh Ole sabaya amempongeza OCD wake kwa kuweza kuwabaini wanafunzi watatu waliochoma shule wakati wenzao wakiwa msikitini.
Ole sabaya amemtaka OCD awahoji watuhumiwa hao ambao ni watoto kwa " kuwabembeleza" ili waweze kuwataja watu walio nyuma ya hujuma hiyo ya kuchoma...
Toka wilayani hai mkoa wa Kilimanjaro Wanafunzi wa 3 wanashikiliwa na Polisi kwa kujaribu kuchoma Bwalo la chakula la shule ya Othman bin Hasani
Source Radionesterio
========
Wanafunzi watatu wanaosoma masomo ya Dini Katika Chuo kinachotoa mafunzo ya Quran na hadithi za Mtume cha Othuman...
Vyombo vya Dola wilayani Hai vimefanikiwa kukamatwa kwa watu watatu kwa tuhuma za kuchoma moto bweni la kulia chakula la wanafunzi wa Madrasa lililopo ndani ya Msikiti wilayani Humo mkoani Kilimanjaro.
Bweni hilo liliungua kwa moto siku mbili zilizopita Ikiwa ni tukio la pili baada ya mabweni...
Bweni la shule ya Sekondari ya wasichana ya Uchira Islamic iliyoko wilaya ya Moshi vijijini mkoani Kilimanjaro, limeteketea kwa moto jioni ya Oktoba 16, 2020 na chanzo cha moto huo bado hakijajulikana mpaka sasa, hakuna kifo cha mwanafunzi yeyote.
Source:
Kumekua na ongezeko kubwa la wazazi kukupeleka watoto wadogo kuanzia chekechea. Kweli wazazi tumekua na majukumu mengi huku usaidizi katika malezi ukiwa changamoto kubwa sana.
Lakini kwa niliyoyaona na kuyasikia wazazi tujitafakari tena, watoto wengi wanaopelekwa bweni wanateseka mnoo. Wengine...
wakuu nina kijana wangu anamaliza darasa la 7 mwakani.
nataka akiwa tayari kuenda o level nimpeleke shule ambayo haijali tu masomo ya kawaida bali michezo pia. nataka kutengeneza bonge la central defender kwa ajili ya professsional football na Taifa Stars.
asanteni.
Nimeshuhudia hapa Kisarawe wanafunzi wa vidato vya tano na sita wa shule ya Minaki wanateswa na polisi ili wataje walioshiriki kuchoma moto shule hiyo siku ya Jumanne.
Kama una mtoto wako Minaki, chukua hatua haraka. Ni siri kubwa na watoto wanapigwa na kupewa mateso mengine.
Wanasheria...
Video inayoonesha wasichana wa shule wakiwa wamejipanga msururu kwa ajili ya kunyunyiziwa dawa kama sehemu ya hatua za kukabiliana na kusambaa kwa virusi vya corona imeleta mgawanyiko miongoni mwa Wakenya mtandaoni.
Video fupi ya sekunde 30 iliyopakuliwa kwenye Twitter na gazeti nchini humno...
Katibu mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Dkt Idrissa Muslim anawatangazia Walimu, Wanafunzi na Wananchi kua, Wizara itazifunga Shule zote za Zanzibar kuanzia tarehe 24/10/2020 na kufunguliwa tarehe 2/11/2020 kwa ajili ya kupisha Uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 28 mwaka huu...
Shule za mkoloni zinaonesha kuchoka na kulegea.
Watoto wa kusoma wanaongezeka kila mwaka shule haziongezeki.
Kanda ya ziwa hakuna chuo kikuu cha serikali ni vijitawi tu.
Jana nilimuona mgombea anasema ataongeza madarasa matatu kweye shule yenye madarasa 10 na wanafunzi 3300+ nikapenda kujua...
Wanajamii, hii imekaaje?
Leo nimepigiwa simu na jamaa yangu yupo Chato, amekuta wanafunzi wa shule ya sekondari Mujumuzi (ya binafsi) wameandamana barabarani wakidai baadhi walimu wao kurudishwa kazini baada ya walimu hao kupinga utaratibu wa shule hiyo kuwafanyisha mitihani 9 kwa siku moja...
Tangu Zama za Shauritanga ilipoteketea, wimbi la shule kuungua na kuteketea kwa moto halijawahi kukoma. Kama sio madarasa yanaungua, Basi ni mabweni.
Katika matukio haya ambayo yamekuwa yakichunguzwa kwa muda mrefu na Jeshi la polisi na zimamoto, hawajawahi kutupa chanzo hasa ni Nini, pia...
Mwanzoni mwa miaka ya 80. Nakumbuka darasa letu aliyekuwa akivaa viatu alikuwa mmoja tu. Hiyo ilikuwa mkoani kimanjaro.
Na 98% ya wanafunzi wa shule yetu tulikuwa hatuvai viatu. Hii ilikuwa ni shule ya msingi.
So kama ulienda shule bila kuvaa viatu karibu huu ni uzi wetu.
Mwalimu mama mmoja anamacho makubwa aliitwa Iganas.
Alikuwa Mwalimu wa hesabu darasa la sita.
Alikuwa anafundisha kisha anauliza kuna mtu hajaelewa kinafiki na kwa hofu wote tunasema hapana.
Anatoa swali kupima uelewa, kila anayekosa anararuliwa fimbo sio chini ya Tatu za mgongo.
Nilikuwa...
Serikali kupitia wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi;
Naomba ifikilie kurasimisha vituo vya watoto chekechea viwe (basic schools).
Ambapo Watoto watafundishwa kwa miaka mitatu katika vituo hivyo vya chekechea kwa maana ya baby class mwaka mmoja, middle class mwaka wa pili na top class mwaka...
Lengo la uzi halipo kisiasa wala kuegemea au kushambulia upande wa chama chochote cha kisiasa.
Leo nilikuwa nasikiliza redio stesheni ya Uhuru FM.
Walikuwa wanahoji wanafunzi wa kidato cha 5 na 6 shule ya Secondary Jangwani kuhusu "kwanini Magufuli miaka mitano mingine"
Ila kuna...
Wakuu Salaam;
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imefuta mtaala wa ualimu wa ngazi ya cheti kwa elimu ya awali na msingi ikiwa ni hatua ya kuboresha elimu nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Naibu Katibu Mkuu wizara hiyo, Dk Ave Maria Semakafu amesema hatua hiyo inakwenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.